Yusuf Manji arejea Tanzania


Acha kuleta story za vijiwe vya kahawa; unajua undani wa biashara za Manji? CRDB wanatengeneza faida kila mwaka? Default mkubwa CRDB sio Manji…
 
Kati ya waliokupa likes, maskini wako 53 na wenye uwezo wa kati 4. Hakuna anayefanya biashara kutengeneza hasara.
 
Manji karudi kweli lakini yupo mikononi mwa TAKUKURU(mwananchi)
 
Makonda anaishi kama digidigi sasahivi ameamua kuwa mkulima huko shambani na anajificha kwelikweli maana anajua ipo siku watakula ule mtigo wake alioubebelea shuwainy kabisa
 
Manji karudi kweli lakini yupo mikononi mwa TAKUKURU(mwananchi)View attachment 1806742
Kuwa mikononi mwa TAKUKURU ni Jambo la Kawaida sana kutokana na Shutuma zake ambazo hata hivyo nyingi zilikuwa ni za Kumbambikia kwakuwa kuna Mtu ( sasa hayupo duniani ) alimchukia tokea alipokuwa Waziri. Nina uhakika huko TAKUKURU atapangua hayo Madai yake yote na kuwa Huru ndani ya nchi yake ya Tanzania.
 
We kenge unajua huyoo manji anamaujingaa mangapii ya huko nyuma..hiv watanzania wamejaza mavi vichwani au mikojoo...huyoo manji anapaswaa mpaka sasa awe pale segeremea kwa upuuzi aliofanya kwenye nchi hii..ulizia narco ya kigamboni alichokuwa anataka kuifanyia serikali..acheni upuuzi nyie walala hoiii...mijitu mingine inakera had unataka kuyachapa risasi kwa kutumia wifi...kenge kabisaaaa..mnakumbatia mafisadii ya ajab kabisaa hapa...
 
Yeye Fisadi na Muuaji huyo nani ni bora?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…