Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wanazimika Kama taaa ""THE MOMENT FOR LIFE""Dons wa awamu ya nne wanaondoka!!
Waliowika kwenye mchakato wa urais 2015 wanaondoka :-
Membe,Lowasa,Manji....!!!?Ni kama JPM aliwafunngulia njia ya kwenda huko!!!
Sa hivi watoto wake wanachekea chooniDons wa awamu ya nne wanaondoka!!
Waliowika kwenye mchakato wa urais 2015 wanaondoka :-
Membe,Lowasa,Manji....!!!?Ni kama JPM aliwafunngulia njia ya kwenda huko!!!
Wanabaki vijana walaa mishangazii tu , hatariiiMabilionea wa TZ wana pukutika doh
Ninamkumbuka alivyowahonga pilau wanaccm wa Mbagala kwani walikula na kubeba yekiawei mpaka likawashinda, wakamchagua kuwa diwani wao, hata hivyo hakuwahi kuhudhuria vikao vya madiwani.Mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.
Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.
Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.
Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.
Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.
Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao
Ililuwaje wakawekwa kwenye payrollYusuf manji alikua Ni tajiri asie kua na makuu MTU wa watuu
Masanja wa ze comedy na clue yao wote waliwai kuwekwa kwenye payroll list ya bosi manji
Alikua Ni bonge la deal maker kiungo mshambuliaji Kama vile Pele wa Brazil
JPM alisingiziwa mabaya mengi sana na ChademaMagufuli alikuwa anatupiwa kila baya jamani, binadamu kazi sana
Apumzike kwa amani Manji
Na hiyo laana ndio inawatafuna now hadi watubuJPM alisingiziwa mabaya mengi sana na Chadema
Lakini mkuu kuna tofauti gani ya kuzikwa kwenye makaburi ya umma na kuzikwa nyumbani kwako?Hapa ndio Mungu alituletea usawa.
Uwe Tajiri sana, Uwe fukara sana.
Kukata moto kupo palepale.
Kumbe tukifa Mali zote tunaziacha, na kwamba wakati wa Kufa, Pesa haziwezi kuzuia huo mchakato.
Maana yake ni kwamba, Hata utoe Makafara uwe Tajiri, hata Udhulumu mtu, KUFA UTAKUFA TU.
SWALI NI JE..... UMEJENGA KWENU??? AU NDO UTAACHA WOSIA WA ,NIKIFA, MNIZIKE MAKABURI YA KINONDONI😂😂🥱
To Allah we belong and to him we will returnMfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.
Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.
Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.
Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.
Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.
Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao
You gotta scores to settle nigga?!Wewe Mwalimu wako wa Madrasa ndio kakufundisha hivyo? FaizaFoxy
Embu tupe uhusiano hapo.RIP Manji,, Ikiwa ni siku ya kupinga matumizi ya madawa ya kulevya,,
Na hy laana itawatafuna 2025 na tena wasithubutu kumsema vibaya JPM kwenye kampeniNa hiyo laana ndio inawatafuna now hadi watubu
Kipind Wana jitafuta walikuaga Wana mkatabaa na EATV Sasa wakawa wamesitisha mkatabaa na EATV Wakawa na mgogoro..Ililuwaje wakawekwa kwenye payroll
Mzilankende mnyago,Dunia tunapita tuishi na watu vizuri...!