Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Aliyekuwa na Marehemu Magufuli pale Morogoro na Kufungua Kiwanda ni Rostam Aziz,na Ile siku ndio Tiketi ya Msiba mzito iliandaliwa.Andika wewe ambae haupuyangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuwa na Marehemu Magufuli pale Morogoro na Kufungua Kiwanda ni Rostam Aziz,na Ile siku ndio Tiketi ya Msiba mzito iliandaliwa.Andika wewe ambae haupuyangi
Huyo shetani wako yupo motoniKila aliyechekelea kifo cha JPM lazima asepe...bado watatu.
Manji hajawahi kuwa mchadema,lowassa kafia ccm, membe kafia ccm, chadema ipo,na itaendelea kuwepo.Na hiyo laana ndio inawatafuna now hadi watubu
Sasa huamini nini hapo?, Kumbuka tunatembea na kifo ndugu.Sidhani
Juzi tu RC Chalamila kamtaja pale Kariakoo
Weka ushaidi kama aliwai kufurahia kifo cha shetani wenu!Najiuliza tu huyu nae sijui alifurahia alipokufa JPM! Nae hajachukua muda kaondoka! Tuombeane kwa kweli!
Vijana walikuwa watumishi tu wakusupply Mzigo Wa Boss wao.Kipind Wana jitafuta walikuaga Wana mkatabaa na EATV Sasa wakawa wamesitisha mkatabaa na EATV Wakawa na mgogoro..
Kipindi icho icho Wakawa wanafukuzia kuanza kuonyesha ze comedy kwenye television ya TAIFA
Manji alitoa pesa yake mfukoni kulipia gharama zoteee na mishahara na marupurupu yoote kwa kina masanja na wenzake WOTE..
Unaweza ku search interview ya masanja akisimulia historia ya Maisha yake kwenye kipindi Cha ""THE CLASSIC WITH MASANJA" PRESENTER NI JABIR SALEH WA EFM RADIO
Kuna watu wana macho na midomo ya husuda hata akiangalia mboga jikoni inachacha!Yule zezeta aliyepewa cheo cha kuwa RC Dar ana mdomo mchafu ,sana
Juzi kati lilimuongelea Manji na leo kafariki
Zinadisapoint sanaKwanini mkuu [emoji23] [emoji23]
Mimi naona Ngoma droo tu.Kila aliyechekelea kifo cha JPM lazima asepe...bado watatu.
Nani alikwambia alikua billionea??Mabilionea wa TZ wana pukutika doh
Angekuwepo Mwendazake angetupiwa lawamaMfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.
Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.
Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.
Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.
Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.
Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao
APUMZIKE PANAPOMSTAHILIMfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.
Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.
Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.
Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.
Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.
Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao
Ni kweli hata mimi nilisikia Interview yao EFM RadioKipind Wana jitafuta walikuaga Wana mkatabaa na EATV Sasa wakawa wamesitisha mkatabaa na EATV Wakawa na mgogoro..
Kipindi icho icho Wakawa wanafukuzia kuanza kuonyesha ze comedy kwenye television ya TAIFA
Manji alitoa pesa yake mfukoni kulipia gharama zoteee na mishahara na marupurupu yoote kwa kina masanja na wenzake WOTE..
Unaweza ku search interview ya masanja akisimulia historia ya Maisha yake kwenye kipindi Cha ""THE CLASSIC WITH MASANJA" PRESENTER NI JABIR SALEH WA EFM RADIO
Kivipi mkuu tiketi iliandaliwa pale?Aliyekuwa na Marehemu Magufuli pale Morogoro na Kufungua Kiwanda ni Rostam Aziz,na Ile siku ndio Tiketi ya Msiba mzito iliandaliwa.
Asingeoza?Imagine angekufa kipindi cha JPM 😎
Apumzike mahali pema peponi, Amen