Ni kweli! Dhalimu yule!Lawama zote kwa magufuri aliemuweka ndani kwa visasi, tangu pake haja recover tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli! Dhalimu yule!Lawama zote kwa magufuri aliemuweka ndani kwa visasi, tangu pake haja recover tena.
NdioAsingeoza?
Sawa.Ndio
Miaka yote mitatu haja recover, kwahy ikitokea Na kwa Lissu bado mtasema haja recover. Kwan Kat Ya lisuu na Manji nani alipewa dozi nene?Lawama zote kwa magufuri aliemuweka ndani kwa visasi, tangu pake haja recover tena.
Kula unga unahusianaje na JPM?Lawama zote kwa magufuri aliemuweka ndani kwa visasi, tangu pake haja recover tena.
Umemuona mtoto wa GSM ana mika 14 yupo kweny biashra , kule Arusha kweny ishu ya matibabu na vipimo bure juzi alichangia mil 2 kwa level yake .Hivi ilikuaje alianzisha biashara zote akiwa na miaka 21?
Kafukue Kaburi wakwambie Nini Chanzo Ila kikubwa ni mmoja alikua Boss mwingine kijakazi by the time sasa ulipofika muda Meza ikapinduka ndio hapo itoshe kusema ukitaka kwenda kulipa kisasi basi jiandalie makaburi mawili na majeneza mawili moja lako na jingine la yule unaeenda kumlipiza kisasi maana kufa kupo asikwambie mtuTulikuwa kwenye kahawa mmoja wetu akasema huyu manji aliwahi kumwambia Magufuli kipindi akiwa waziri kuwa hawezi kuongea na mbwa Bali ataongea na mwenye mbwa(jakaya jigwete)Mwenye kujua issues ilikuwa Nini?
Mdomo wake ni wa mauti.Yule zezeta aliyepewa cheo cha kuwa RC Dar ana mdomo mchafu ,sana
Juzi kati lilimuongelea Manji na leo kafariki
In Paradise P stands for ParadiseMay His Soul Rest in Peace
Kumuongelea vipi?Yule zezeta aliyepewa cheo cha kuwa RC Dar ana mdomo mchafu ,sana
Juzi kati lilimuongelea Manji na leo kafariki
Na KIFO ni alama ya ushindiMaisha ni ya kupita tu
Ila yy alifanya transformation kubwa sanaUmemuona mtoto wa GSM ana mika 14 yupo kweny biashra , kule Arusha kweny ishu ya matibabu na vipimo bure juzi alichangia mil 2 kwa level yake .
Wewe jua hivyo tuKivipi mkuu tiketi iliandaliwa pale?
Dhambi Haipo.Death is inevitable.
Usiogope kufa, ogopa kufa katika dhambi.
Poleni wafiwa.
Angefariki kipindi cha Mwamba Jiwe Magufuli, ingesemwa Mwamba anahusika. Sijui Sasa hivi watasemaje!!Mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia jana Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wake, Mehbub Manji akizungumza na Mwananchi Digital muda mfupi uliopita.
Yusuf Manji alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group Limited (QGL), kampuni inayojihusisha na sekta mbalimbali kama vile magari, ujenzi, vifaa vya kilimo, utalii, huduma za afya, na mali isiyohamishika.
Manji pia alifahamika kwa kujihusisha na shughuli za kijamii na misaada mbalimbali nchini Tanzania. Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga.
Pia Manji alijihusisha na siasa kupitia Chama cha Mapinduzi na kufanikiwa kuwa Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu Manispaa ya Temeke. Septemba 6, 2017 alipoteza sifa ya Udiwani kutokana na kutohudhuria vikao zaidi ya sita na vikao vya kamati vya maendeleo ya halmashauri ya Temeke zaidi ya vitatu.
Atakumbukwa kwa mafanikio makubwa na mchango wake katika uchumi wa Tanzania.
Pia soma
- Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao