Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
That's what I like about jiwe he was full of himself, aggressive and revengeful. He knew revenge must be absolute. Jamaa hata kifo chake kabla sijajua yaliyotokea mzena i knew alifanya kiburi huko😂 na kweli kama alivosema Mabeyo ubishi na kibuli vilitawalaWakati Magufuli ni waziri wa ujenzi ...huyu mwamba aliwahi pishana nae sana..
Alivyokuwa Rais akaanza nae...
Too bad
Sometimes watu wakikebehi kifo chake naona haina maana sababu alijua atakata moto na ameenda huko kwa kiburi