Mtuambie mapema khs hali ya Lissu, siku akivuta msije kuanza kusema hajarecover mana mnaongea utadhani nyie ndio mna muda wa watu kufa.Lawama zote kwa magufuri aliemuweka ndani kwa visasi, tangu pake haja recover tena.
Hii ilikuwa noma hii ..!!"Siongei na mbwa, naongea na mfuga mbwa"
Pumzika Boss
Umechelewa sasa.maana aliyeitwa mbwa kafa,na aliyita mbwa naye kafa.Kwa kutaka kujua tu, je kuna ushahidi wa Manji kutamka maneno "Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa"
Kwani uongo?mbona mazuri mnataka asifiwe yeye tu
Leseni utaificha mfukoni, hy id n kama uso kila mahali watu wanakuonaId yako imemaliza mkuu maana ni zaidi ya leseni...
Unajua nini wewe mbuzi wa kafaraId yako imemaliza mkuu maana ni zaidi ya leseni...
Lawama zote kwa "magufuri".
Unajua nini wewe mbuzi wa kafara
Huu msemo wa tuishi na watu vizuri umekaa kijamaa sana yaani uko nyuma ya muda kabisaaaDunia tunapita tuishi na watu vizuri...!
na ndio maana nikakujibu kuwa wewe mbuzi wa kafara huna unachojuaHata nikikujibu kwa mujibu wa ID yako utashinda kesi
Acha ungosha! Huyu ni Mwislamu, anazikwa.Sad part ni zile kuni wanazochoma maiti wahindi dah😭R I.P mtani wa jadi ulitukimbiza sana simba tunakuombe upumzike kwa amani🤲🏽
Msimtoe.Yeye ndiye aliyesababisha sonona kwa Yusuph na kupelekea ugonjwa hadi umauti.Haikwepeki.Kila baya alitupiwa JPM
Unamaanisha nini bwana magego ya mjusi?Muda wetu ni mfupi mno hapa duniani, nothing to proud!
Mkuu mbona wawili wasamehewe makosa na mmoja alazwe anapostahili?dunia hii si yetu, nakumbuka watu hawa watatu walivyokuwa wakishambuliana katika media lakini wote marehemu. Almaruhumu Sheikh Baswalehe(Allah amsamehe makosa yake) , Yussuf Manji(amsamehe makosa yake) na Mheshimiwa Raginal Mengi (Allah amlaze anaposatahili)- HAWA WOTE SASA MAREHEMU. Tunatakiwa tuwe chawa wa Allah na sio Chawa wa binaadam wenzetu
Ubaguzi hadi kwa marehemu.Ndiyo ujifunze kitu na kikukae kichwani.Mkuu mbona wawili wasamehewe makosa na mmoja alazwe anapostahili?
Kwamba jasusi la kimataifa alikua na mkono kwenye msiba mzito sio?Aliyekuwa na Marehemu Magufuli pale Morogoro na Kufungua Kiwanda ni Rostam Aziz,na Ile siku ndio Tiketi ya Msiba mzito iliandaliwa.
Nakubali chiefNothing is permanent for a man who was born from a woman