Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Kipindi hiki cha awamu ya sita, kuhojiwa na TAKUKURU haitishi sana kama ktk awamu ya tano ambayo watendaji walioteuliwa na mwendazake hawakuwa huru na walikuwa ktk shinikizo la kukomoana na pia awamu ya tano haikusisitiza haki kutendeka.

Hivyo tufuatilie kwa ukaribu kuona kama haki itatendeka kufuatana na matamko ya awamu ya sita.
Jinai haifi.
Huyu alihusika na umilikishwaji wa nyumba zilizokuwa za kiwanda cha urafiki pale Ubungo akazikarabati kidogo kisha akavuta mkopo mrefu kutoka NSSF Whether alilipa ila nakumbuka kuna kashfa ilizuka baada ya hapo ila sujui iliishagaje.
 
Kuna vitu huelewi.

CAG mara nyingi anakagua taratibu kama zilifuatwa ama lah. Mnaweza kufuata taratibu na mkala hela na CAG asijue lakini uchunguzi utajua...
Ungejiridhisha kwanza na kazi za CAG au ungesoma ripoti zake kwanza.
 
Ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kuna ufisadi mkubwa kuliko huko waanze na hapo kwanza
TAKUKURU hamna kitu pale ni lidudu fulani la kuonea wanyonge tu. Huyo wameamua kuji-show kwake kwake ksbb mwenda zake aliwaonyesha njia kwamba anaweza kuonewa. Kwa hiyo na wao wanapita humo humo ili waonekane tu wapo wanafanya kazi,lakini kiuhalisia hao ndio wala rushwa wakubwa. Wamchunguze Cheng tuone
 
huyu teja na mlanguzi wa unga karuhusiwa je kurejea nchini? au mama kaanza kudemka na mziki wa the so called wafanyabiashara?
 
Kama alikuwa na makosa asichunguzwe kisa tu yeye ni "mwekezaji"?
Acheni Serikali ifanye kazi zake, kama Manji hana hatia basi ataachiwa.
 
Ile ya kugushi hisa za Tigo sijui kama itamwacha salama huyu mtu.
Huyu jamaa biashara zake nyingi ni magumashi matupu.
Unauhakuka aligushi magufuli alimitishia sou motto.ilihali manji alinunua tigo kihalahi rejea kuuzwa kwa tigo baada ya kusikia manji anarudi.wanataka kumtoa manji balabalani asifungue kesi kudai Mali zake.
 

Attachments

Unajuaje kama kadhia yake tayari haikuwa TAKUKURU?
Namna ulivyomjibu na muda uliojibu ni viashiria tosha kuwa wewe unaweza ukawa ndiye Madam Samia Suluhu Hassan mwenyewe.

By the way, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Acha kudemka wewe taahira!

Kwa akili yako Manji anaonewa? Nyie vijana wa bavicha mlibalehe juzi juzi hata hamjui kuwa Manji tuhuma zake zipo tangu 2010 na hata viingozi wako wanajua uhuni wa Manji ulipo.

Ndio bavicha mnasubiri hela zimwagike mtaani ili muanze kuokota na mnaamini watakaozimwaga ni hao kina Manji,

Huu ujinga wa kufikiri kumtetea mtu yeyote ili kumkomoa marehemu ni wa kujitakia tu.
.
Wanaokomolewa ni bibi, babu na ukoo wako unaoliwa na umasikini huko vijijini kwenu.

Manji anatumia fedha za babu yake wewe kubwa jinga.

Mmezoea mpige nyinyi tu nzi wa kijani wakipiga wengine ndio mnaanza kupiga YOPE.

Kama alikuwa anaiba tangia 2010 mbona hamkumpeleka UBAONI? Rostam mbona naye mmemkumbatia na taifa gesi au yeye siyo mwizi?
 
Back
Top Bottom