Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manji anapata watetezi toka chadema?


Aisee... Lakini haishangazi maana bavicha wanasubiri hela zirudi mtaani ili muwe mnaziokota na wakuzirudisha mnaamini ni hao kina Manji

Tatizo nyie mnaweka sana uvyama ,mbona Askofu Mwamakula na Tundu Lissu walimetetea Ole Sabaya kwamba Takukuru wasimshikilie maana ni haki yake kupelekwa mahakamani ndani ya masaa 24 na si kumshikilia tu kwa siku hizo zote zaidi ya 7 bila kumpeleka mahamakani.

Mimi simtetei manji bali natetea haki yake kama mtanzania na kwa mujibu wa STK(Sheria/taratibu/Kanuni),hata wewe Nzi wa kijani ukionewa lazima tukutetea haijalishi wewe ni ccm.cuf au adc maana "MAENDEREO" hayana chama.

Tangu jiwe asepe mzunguko wa fedha umeongezeka mtaani,watu wanavyojenga na kununua viwanja wanaongeza circulation ya pesa! Nzi wa kijani mna akili ya kijinga sana ,nani alikwambia kwamba ipo siku watu watakuwa wanaokota pesa mitaani? Unajua manji alivyoondoka watu wangapi walikosa ajira? Wafanyabiashar wangapi wa mbaazi waliathirika? je effect ya mzunguko huo wa manji unaijua?
 
Ndungai alitafuna mabilioni india kifisadi alipoumbuliwa na CAG akamfanyia fitna atolewe kafara kienyeji kinyume cha Sheria
Hawa wapuuzi wamelishwa tango pori kwamba manji alitaka kuiba coco beach wakati yeye alitaka kuuziwa na halmashauri husika sasa kosa lake ni lipi? Kuhusu mikopo hakuna mfanyabiashara mkubwa ambaye hana mikopo! Kama alikopa bila kulipa taratibu za kibank zingechukua mkondo na si utaratibu wa bashite na jiwe waliouchukua kumnyang'anya mali zake na kujimiliksha wao.
 
Zianze na ununuzi wa Ndege kwanza tujue kama wanatenda haki
Kwahiyo hutaki ahojiwe kwasababu wengine hawajahojiwa? Huko Bavicha mnalishwa nini?? Kichwa chako kimejaa minyoo tu.
 
Tatizo nyie mnaweka sana uvyama ,mbona Askofu Mwamakula na Tundu Lissu walimetetea Ole Sabaya kwamba Takukuru wasimshikilie maana ni haki yake kupelekwa mahakamani ndani ya masaa 24 na si kumshikilia tu kwa siku hizo zote zaidi ya 7 bila kumpeleka mahamakani.

Mimi simtetei manji bali natetea haki yake kama mtanzania na kwa mujibu wa STK(Sheria/taratibu/Kanuni),hata wewe Nzi wa kijani ukionewa lazima tukutetea haijalishi wewe ni ccm.cuf au adc maana "MAENDEREO" hayana chama.

Tangu jiwe asepe mzunguko wa fedha umeongezeka mtaani,watu wanavyojenga na kununua viwanja wanaongeza circulation ya pesa! Nzi wa kijani mna akili ya kijinga sana ,nani alikwambia kwamba ipo siku watu watakuwa wanaokota pesa mitaani? Unajua manji alivyoondoka watu wangapi walikosa ajira? Wafanyabiashar wangapi wa mbaazi waliathirika? je effect ya mzunguko huo wa manji unaijua?
Ujinga mtupu
 
Na kuombwa radhii.[emoji23][emoji23] duuh Kama itakuwa ivyo basi tutakuwa tumeonekana wadanganyika ni nyuki wa canteen
Ngoja uoneee kwanza ni mbongo kabisa ujuee ndio maana hata alikuwa diwani wa kijichi kwaiyo soon atakuwa ikulu kuzungumza na mama kuusu mstakabali wake mpya..kazi iendeleeeeee
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
we mwehu nini kwahiyo kama amefanya rushwa ulitaka wamchekee na kumkaribisha kwa bashishi...utopolo bana hizo ni kesi zilizokuepo
 
Tatizo nyie mnaweka sana uvyama ,mbona Askofu Mwamakula na Tundu Lissu walimetetea Ole Sabaya kwamba Takukuru wasimshikilie maana ni haki yake kupelekwa mahakamani ndani ya masaa 24 na si kumshikilia tu kwa siku hizo zote zaidi ya 7 bila kumpeleka mahamakani.

Mimi simtetei manji bali natetea haki yake kama mtanzania na kwa mujibu wa STK(Sheria/taratibu/Kanuni),hata wewe Nzi wa kijani ukionewa lazima tukutetea haijalishi wewe ni ccm.cuf au adc maana "MAENDEREO" hayana chama.

Tangu jiwe asepe mzunguko wa fedha umeongezeka mtaani,watu wanavyojenga na kununua viwanja wanaongeza circulation ya pesa! Nzi wa kijani mna akili ya kijinga sana ,nani alikwambia kwamba ipo siku watu watakuwa wanaokota pesa mitaani? Unajua manji alivyoondoka watu wangapi walikosa ajira? Wafanyabiashar wangapi wa mbaazi waliathirika? je effect ya mzunguko huo wa manji unaijua?
Acha kudemka wewe taahira!

Kwa akili yako Manji anaonewa? Nyie vijana wa bavicha mlibalehe juzi juzi hata hamjui kuwa Manji tuhuma zake zipo tangu 2010 na hata viingozi wako wanajua uhuni wa Manji ulipo.

Ndio bavicha mnasubiri hela zimwagike mtaani ili muanze kuokota na mnaamini watakaozimwaga ni hao kina Manji,

Huu ujinga wa kufikiri kumtetea mtu yeyote ili kumkomoa marehemu ni wa kujitakia tu.
.
Wanaokomolewa ni bibi, babu na ukoo wako unaoliwa na umasikini huko vijijini kwenu.
 
Wewe muonevu huwezi kujua kwa sababu ni mnufaika wa huo uonevu
Unaweza kuweka ushahidi hapa kwamba alikuwa anaonewa?

Hivi inakuwaje chama cha dr Slaa kile ambacho kilipata umaarufu kwa kupinga ufisadi sasa hivi kimegeuka ndio cha kutetea mafisadi?
 
Back
Top Bottom