Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Ndio maana nikasema wajinga ni wengi na miongoni mwao ni hao poli-ccm wanaotumika kuminya sauti za raia kwa vitisho vikali! Huku wanasiasa wakijineemesha kwa mtaji wa wajinga hao
Mfano sasa wamejua Manji huenda akafungua kesi nyingi kudai mali zake ambazo aliporwa kienyeji kishetani na magufuli ndiyo maana wametumia Takukuru kumtisha aogope awe kimya waendelee kutaifisha vitu vyake kwa njia za uonevu unyanyasaji uovu mkubwa
 
Mfano sasa wamejua Manji huenda akafungua kesi nyingi kudai mali zake ambazo aliporwa kienyeji kishetani na magufuli ndiyo maana wametumia Takukuru kumtisha aogope awe kimya waendelee kutaifisha vitu vyake kwa njia za uonevu unyanyasaji uovu mkubwa
Unajuaje kama alikuwa anaonewa?
 
Msije kushangaa kesho kutwa anaingia ikulu kuzungumza na mama
 
Visasi visasi visasi tunatengeneza taifa la visasi yanga walikuwa na ela gani ambayo manji alibeba?

Upumnavu mtupu hii ni vita ya kibiashara baina ya GSM Mo na Manji

Siasa yetu imekuwa ya kipumbavu sana
Manji hana time na Yanga hao GSM wasiwe na shaka kumbuka Manji karejea Tanzania kuja kuangalia mambo yake binafsi siyo club wala chochote, hofu za kudai haki zake zilizoporwa kienyeji kwa njia haramu za kishetani ndiyo imepelekea Takukuru utumike kumtisha aogope kudai haki zake
 
Kuna vitu huelewi.

CAG mara nyingi anakagua taratibu kama zilifuatwa ama lah. Mnaweza kufuata taratibu na mkala hela na CAG asijue lakini uchunguzi utajua.

CAG anakagua kama taratibu zilizowekwa za matumizi zinafuatwa, uchunguzi kama wa TAKUKURU unahakikisha kama kweli hicho kitu kilifanyika, bei yake halisi, anataftwa muuzaji, wanajirodhisha uhalali wa lisiti iliyoletwa, wanawez kuomba bank statement ya account ya muuzaji nk.

Uchunguzi hugundua mambo mengi zaidi kuliko ukaguzi.
Shukrani kwa kutuelimisha,
 
Hii nchi ya ajabu sana. Kwa nini wasichunguze waliichukua pesa kwenye magunia?. Waliosukuma kwenye matoroli
 
Msije kushangaa kesho kutwa anaingia ikulu kuzungumza na mama
Na kuombwa radhii.😂😂 duuh Kama itakuwa ivyo basi tutakuwa tumeonekana wadanganyika ni nyuki wa canteen
 
Visasi visasi visasi tunatengeneza taifa la visasi yanga walikuwa na ela gani ambayo manji alibeba?

Upumnavu mtupu hii ni vita ya kibiashara baina ya GSM Mo na Manji

Siasa yetu imekuwa ya kipumbavu sana
Tulia mamlaka zifanye kazi. Kama hana hatia ataachwa huru.
 
Hii nchi ya ajabu sana. Kwa nini wasichunguze waliichukua pesa kwenye magunia?. Waliosukuma kwenye matoroli
Ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kuna ufisadi mkubwa kuliko huko waanze na hapo kwanza
 
Back
Top Bottom