Takukuru bado inafanya kazi. Uchunguzi ni muhimu kama mtu ana tuhuma. Muhimu Tuma na hatia visiwe vya kubambikiza.Alichowasema mama kuhusu takukuru ndicho anachokifanya yeye!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takukuru bado inafanya kazi. Uchunguzi ni muhimu kama mtu ana tuhuma. Muhimu Tuma na hatia visiwe vya kubambikiza.Alichowasema mama kuhusu takukuru ndicho anachokifanya yeye!!!!
Umesema. Mengine mbwembwe tu, naona matumizi mabaya ya rasilimali watu, muda n.kHajakurupuka kuja. Naishia hapo
Si kwa awamu hiiWasije wakambambikizia kesi ya uongo, maana TAKUKURU ni mabingwa wa kutengeneza kesi za kubumba!
Mfano sasa wamejua Manji huenda akafungua kesi nyingi kudai mali zake ambazo aliporwa kienyeji kishetani na magufuli ndiyo maana wametumia Takukuru kumtisha aogope awe kimya waendelee kutaifisha vitu vyake kwa njia za uonevu unyanyasaji uovu mkubwaNdio maana nikasema wajinga ni wengi na miongoni mwao ni hao poli-ccm wanaotumika kuminya sauti za raia kwa vitisho vikali! Huku wanasiasa wakijineemesha kwa mtaji wa wajinga hao
Kwa hiyo ni sawa manji nae aje ajipigie za kwakwe?Zipo wapi zile trilion 1.5 ?
Unajuaje kama alikuwa anaonewa?Mfano sasa wamejua Manji huenda akafungua kesi nyingi kudai mali zake ambazo aliporwa kienyeji kishetani na magufuli ndiyo maana wametumia Takukuru kumtisha aogope awe kimya waendelee kutaifisha vitu vyake kwa njia za uonevu unyanyasaji uovu mkubwa
Manji hana time na Yanga hao GSM wasiwe na shaka kumbuka Manji karejea Tanzania kuja kuangalia mambo yake binafsi siyo club wala chochote, hofu za kudai haki zake zilizoporwa kienyeji kwa njia haramu za kishetani ndiyo imepelekea Takukuru utumike kumtisha aogope kudai haki zakeVisasi visasi visasi tunatengeneza taifa la visasi yanga walikuwa na ela gani ambayo manji alibeba?
Upumnavu mtupu hii ni vita ya kibiashara baina ya GSM Mo na Manji
Siasa yetu imekuwa ya kipumbavu sana
Wewe muonevu huwezi kujua kwa sababu ni mnufaika wa huo uonevuUnajuaje kama alikuwa anaonewa?
Shukrani kwa kutuelimisha,Kuna vitu huelewi.
CAG mara nyingi anakagua taratibu kama zilifuatwa ama lah. Mnaweza kufuata taratibu na mkala hela na CAG asijue lakini uchunguzi utajua.
CAG anakagua kama taratibu zilizowekwa za matumizi zinafuatwa, uchunguzi kama wa TAKUKURU unahakikisha kama kweli hicho kitu kilifanyika, bei yake halisi, anataftwa muuzaji, wanajirodhisha uhalali wa lisiti iliyoletwa, wanawez kuomba bank statement ya account ya muuzaji nk.
Uchunguzi hugundua mambo mengi zaidi kuliko ukaguzi.
Jamaa Bomu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimesoma ikabidi ninyamaze
Unataka wahalifu wasidakwe!!?
Wahalifu wa ununuzi wa Ndege wamedakwa wapi? Waliotafuna trilion 1.5 wamedakwa wapi?Unataka wahalifu wasidakwe!!?
Na kuombwa radhii.😂😂 duuh Kama itakuwa ivyo basi tutakuwa tumeonekana wadanganyika ni nyuki wa canteenMsije kushangaa kesho kutwa anaingia ikulu kuzungumza na mama
Ndungai alitafuna mabilioni india kifisadi alipoumbuliwa na CAG akamfanyia fitna atolewe kafara kienyeji kinyume cha SheriaUhalifu gani zaidi ya visasi tu,maana kina bashite na jiwe ndio walikuwa wapigaji namba moja...upigaji hauwezi kuisha,hata wewe na mimi tukipewa madaraka tutapiga tu!!
Tulia mamlaka zifanye kazi. Kama hana hatia ataachwa huru.Visasi visasi visasi tunatengeneza taifa la visasi yanga walikuwa na ela gani ambayo manji alibeba?
Upumnavu mtupu hii ni vita ya kibiashara baina ya GSM Mo na Manji
Siasa yetu imekuwa ya kipumbavu sana
Ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kuna ufisadi mkubwa kuliko huko waanze na hapo kwanzaHii nchi ya ajabu sana. Kwa nini wasichunguze waliichukua pesa kwenye magunia?. Waliosukuma kwenye matoroli