Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Kwa sababu ya Wapumbavu wanaukubali kuitwa wanyonge ndani ya nchi yao baada ya miaka 60 ya uhuru bila ya kujiuliza tunakuwaje wanyonge ndani ya nchi yetu kwa miaka 60 huku kundi la watu wachache wakiwa mamilionea na mabilionea katika kipindi kifupi tu?
Wenye akili hatuafiki ila tunaponzwa na wajinga wengi kwa kisingizio cha demokrasia!
 
Kipindi hiki cha awamu ya sita, kuhojiwa na TAKUKURU haitishi sana kama ktk awamu ya tano ambayo watendaji walioteuliwa na mwendazake hawakuwa huru na walikuwa ktk shindikizo la kukomoana na pia awamu ya tano haikusisitiza haki kutendeka.

Hivyo tufuatilie kwa ukaribu kuona kama haki itatendeka kufuatana na matamko ya awamu ya sita.
CCM ni ile ile mzee baba!
Hakuna cha mwendazake wala cha mkaazake, wizi ni uleule.

Once a thief, always a jambazi.
 
Demokrasi ipi? Ya kubambikia kesi Viongozi wa upinzani ili kuwafunga na kuua chama chao? Au ya kuua raia wakati wa uchaguzi ili kuiba uchaguzi kupitia polisiccm na Tume FAKE ya uchaguzi?
Wenye akili hatuafiki ila tunaponzwa na wajinga wengi kwa kisingizio cha demokrasia!
 
Demokrasi ipi? Ya kubambikia kesi Viongozi wa upinzani ili kuwafunga na kuua chama chao? Au ya kuua raia wakati wa uchaguzi ili kuiba uchaguzi kupitia polisiccm na Tume FAKE ya uchaguzi?
Ndio maana nikasema wajinga ni wengi na miongoni mwao ni hao poli-ccm wanaotumika kuminya sauti za raia kwa vitisho vikali! Huku wanasiasa wakijineemesha kwa mtaji wa wajinga hao
 
Hapo kuna Rushwa gani mpaka Takukuru waanze kumhoji manji ?hii itapelekea kuzuia uwekezaji tena kwani watakosa imani na Tanzania kwa kuona vyombo hujishughurisha na uchunguzi hata usio na Rushwa
Kama ana tuhuma tuache vyombo vishughulike naye kupa ukweli.

Unaijua sheria ya kupambana na kuzuia Rushwa,Je unayajua majukumu ya PCCB kisheria?
 
1622690574243.jpeg

CCM ni ile ile mzee baba!

Hakuna cha mwendazake wala cha mkaazake, wizi ni uleule.

Once a thief, always a jambazi.
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Sina shaka wewe ni MWANA- UTOPOLO!
 
Zile pesa alizoporwa na manyang'anyi na waporaji ndizo zilikuwa za yanga,manyang'anyi yarudishe ili na aweze kulipa,
-->>Nilidhani sasa yanga inafufuka kumbe tena Giza Nene...!
 
Yanga hawana tatizo na Manji, Kati ya wadhamin anayependwa na Yanga namba moja ni Manji, hata kama alifaidika na pesa za Yanga, Wana Yanga wanamtaka Manji,kama ilivyo kwa MO Dewji, iwe ananufaika na Simba, mashabiki wa Simba wanamtaka MO. Hawa takukuru watafute sababu zingine tu.
 
Takukuru mnafanya mambo ya kipuuzi ,mtafanya matajiri wasirudi nchini ,jiwe na bashite walimfirisi ,quality plaza imebaki magofu lakini bado tu mnaye,mmechukua fedha zake zote kwenye account lakini bado tu mnae!! Acheni ujinga takukuru.....BOT viongozi wa serikali wamepiga mabilioni lakini hakuna hata mmoja mliyemuohoji.
 
Visasi visasi visasi tunatengeneza taifa la visasi yanga walikuwa na ela gani ambayo manji alibeba?

Upumnavu mtupu hii ni vita ya kibiashara baina ya GSM Mo na Manji

Siasa yetu imekuwa ya kipumbavu sana
 

Psychology of Political Persuasion and Propaganda, Hii story itatrend sana TZ kulikoni mambo mengine mengi yanayohusu ukuaji wa uchumi na maendeleo yetu watz.​

Sisi timu la WANANCHI ni wengi kweli kweli tuko makini sana.
 
Takukuru mnafanya mambo ya kipuuzi ,mtafanya matajiri wasirudi nchini ,jiwe na bashite walimfirisi ,quality plaza imebaki magofu lakini bado tu mnaye,mmechukua fedha zake zote kwenye account lakini bado tu mnae!! Acheni ujinga takukuru.....BOT viongozi wa serikali wamepiga mabilioni lakini hakuna hata mmoja mliyemuohoji.
Jamani hee,msimfanyie udhalili...!
 
Back
Top Bottom