Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Unataka wahalifu wasidakwe!!?
 
Hayati Magufuli na Sukuma gang yako acha kunyanyasa Wafanya biashara na wawekezaji
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Ukiona ivyo ujue jalada lake bado lipo mezan mwaa boss mpya wa TAKU so lzm ayamalize viporo
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Masikini! Alafu umeandika kwa kujiamini!

Yani hii jf imebeba kila kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kipindi hiki cha awamu ya sita, kuhojiwa na TAKUKURU haitishi sana kama ktk awamu ya tano ambayo watendaji walioteuliwa na mwendazake hawakuwa huru na walikuwa ktk shindikizo la kukomoana na pia awamu ya tano haikusisitiza haki kutendeka.

Hivyo tufuatilie kwa ukaribu kuona kama haki itatendeka kufuatana na matamko ya awamu ya sita.
Upo sahihi mkuu hata kesi za uhujumu uchumi zimepungua sn, ilikuwa awamu ya kipumbavu sn
 
IMG_0522.jpg
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Unawasemea wawekezaji ?!!!

Umeyafumba macho kuwaona kuwaona akina Dangote ,Mwanamfalme wa Dubai ,Mwanamfalme wa Saudia na wengineo wakitiririka kama mvua katika nchi hii ya amani ?!!

#KaziIendelee
Wakati wanakuja hakukuwa na huo unyanyasaji wako ambao umeuanza tena na hakika endapo watajua umeanza manyanyaso yao hawatakuwa tayari kutekeleza ahadi zao sawasawa
 
Takukuru mnafanya mambo ya kipuuzi ,mtafanya matajiri wasirudi nchini ,jiwe na bashite walimfirisi ,quality plaza imebaki magofu lakini bado tu mnaye,mmechukua fedha zake zote kwenye account lakini bado tu mnae!! Acheni ujinga takukuru.....BOT viongozi wa serikali wamepiga mabilioni lakini hakuna hata mmoja mliyemuohoji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manji anapata watetezi toka chadema?


Aisee... Lakini haishangazi maana bavicha wanasubiri hela zirudi mtaani ili muwe mnaziokota na wakuzirudisha mnaamini ni hao kina Manji
 
Manji hana kinga ya kutokushtakiwa, au kukwepa uwajibikaji kwa njia yoyote.
Anza na ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato kienyeji pasipo idhini ya bunge washitakiwe wote walioshiriki kwanza kabla ya kuangalia chochote
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manji anapata watetezi toka chadema?


Aisee... Lakini haishangazi maana bavicha wanasubiri hela zirudi mtaani ili muwe mnaziokota na wakuzirudisha mnaamini ni hao kina Manji
Zipo wapi zile trilion 1.5 ?
 
Manji ahojiwe kama hana hatia ataachiwa huru, sioni sababu ya kulalamika, his past record speaks for itself hasa linapozungumziwa suala la kodi, na Samia kuwepo madarakani hakuna maana kwamba ndio alegeze kila kitu kijiendee tu, wabongo kulia lia sasa too much.
Wambie waanze kuwahoji wote walioshiriki kwenye ununuzi wa Ndege kufunga maduka ya kubadili fedha za kigeni na zipo wapi fedha zao?
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Dah! Umenisaidia sana kujua kumbe taarifa za uchunguzi kama kuna Rushwa imefanyika anayezifanya ni CAG halafu akijiridhisha anawapa TAKUKURU.
Ndio uzuri wa wajuzi kuwemo humu hata sisi tunaokota nondo
 
Back
Top Bottom