Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Yusuf Manji mikononi mwa TAKUKURU baada ya kurejea nchini

Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Huo utakuwa ufala basi! Yaani hujui hata majukumu ya TAKUKURU yanavyotofautiana na CAG?
 
Kipindi hiki cha awamu ya sita, kuhojiwa na TAKUKURU haitishi sana kama ktk awamu ya tano ambayo watendaji walioteuliwa na mwendazake hawakuwa huru na walikuwa ktk shinikizo la kukomoana na pia awamu ya tano haikusisitiza haki kutendeka.

Hivyo tufuatilie kwa ukaribu kuona kama haki itatendeka kufuatana na matamko ya awamu ya sita.

Amekuja tena kwenye shamba la bibi? Wajinga ndio waliwao
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
tuacheni tabia ya kila kinachofanywa na wateule wa Mh. Rais tunamtuhumu yeye hivi ameteua watumishi ili iweje?
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Punguza mihemko bro, manji ni janja janja wa kihindi, sio kama ni mwekezaji ndio asifate taratibu za nchi.
 
Kwahiyo hutaki ahojiwe kwasababu wengine hawajahojiwa? Huko Bavicha mnalishwa nini?? Kichwa chako kimejaa minyoo tu.
Wewe mbweha uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha ufala umbumbumbu hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, nani kakuambia wewe una Akili ya kujua chochote? Anza kuwa na Akili za kujua kuwa yapo maovu mengi kabla ya ujio wa Yusuph Manji na bado Takukuru hawajawahi kuwahoji wezi wenzako acha upumbavu wako kuwa mnufaika wa huo wizi wa ununuzi Ndege isiwe sababu ya kujitoa fahamu zote kishamba hivyo
 
we mwehu nini kwahiyo kama amefanya rushwa ulitaka wamchekee na kumkaribisha kwa bashishi...utopolo bana hizo ni kesi zilizokuepo
Utopolo ni kuwaacha wezi ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ufisadi wa Ndungai india upotevu wa trilion 1.5 kisha kuhangaika na Manji kwa kosa lingine ambalo siyo Rushwa
 
Meenyewe nimehisi kitu kama hicho na baadae ataonekana hata hatia
Karibu boss Manji
Wanamtisha aogope kufungua kesi nyingi hasa kwa Bashite ambaye ni chanzo cha manyanyaso dhidi yake yaliyopelekea kuporwa mali zake nyingi
 
Acha kudemka wewe taahira!

Kwa akili yako Manji anaonewa? Nyie vijana wa bavicha mlibalehe juzi juzi hata hamjui kuwa Manji tuhuma zake zipo tangu 2010 na hata viingozi wako wanajua uhuni wa Manji ulipo.

Ndio bavicha mnasubiri hela zimwagike mtaani ili muanze kuokota na mnaamini watakaozimwaga ni hao kina Manji,

Huu ujinga wa kufikiri kumtetea mtu yeyote ili kumkomoa marehemu ni wa kujitakia tu.
.
Wanaokomolewa ni bibi, babu na ukoo wako unaoliwa na umasikini huko vijijini kwenu.
Watetezi wa Yusuph Manji siyo Bavicha acha kuwasingizia Bavicha Tambua kuwa Manji alikuwa kawekeza miradi mingi mikubwa na pindi mlepenyeza uonevu unyanyasaji wenu wengi walipoteza ajila kwake na wengi wao wanalia na Bashite hadi sasa
 
Bashite na kikundi chake ndiyo wamekula njama Yusuph Manji aanze kutishwa ikibidi akimbie tena arejee alipotoka kwani wana hofu kubwa huenda akawafungulia kesi kudai mali zake walizompora kienyeji kwa njia haramu za kishetani
 
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
 
Hofu kwa Manji ni kudai mali zake ambazo baadhi ya waonevu walijimilikisha kienyeji sasa wanaona hali itakuwa tete mwenyewe akianza kudai
 
Kama mlimshindwa kipindi cha Jiwe ndiyo mumuweze leo; kwanza jiulizeni kwa nini ameamua kurudi sasa na si wakati mwingine wowote !!
 
Hapa nawaza kimoyo moyo jinsi ambavyo huyu Manji alijipanga kurudi anavyojisemea kimoyo moyo!

”Dah...kmmmk sijapiga hela mda mrefu sana toka yule kooma toka bush anletee ushubwada bora ata kadedi tu kmanyoko zake hhhhoouwh(anapiga muhayo)...Wacha nidondoke zangu Bongo bana nikafanye yangu sasa, mwanangu wa Msogani kashanipanga kwamba sahizi utawala tu haina kwelekweche so hapa mapema sana yani!”...”Wale waxenge wa TAKUKURU sahizi haina shanapa nawazimia Fegi za matako tu afungwi mtu wala nini yani utawala tu!”
Sina mbavu...hahahah
 
Back
Top Bottom