Jinai haifi.Kipindi hiki cha awamu ya sita, kuhojiwa na TAKUKURU haitishi sana kama ktk awamu ya tano ambayo watendaji walioteuliwa na mwendazake hawakuwa huru na walikuwa ktk shinikizo la kukomoana na pia awamu ya tano haikusisitiza haki kutendeka.
Hivyo tufuatilie kwa ukaribu kuona kama haki itatendeka kufuatana na matamko ya awamu ya sita.
Ungejiridhisha kwanza na kazi za CAG au ungesoma ripoti zake kwanza.Kuna vitu huelewi.
CAG mara nyingi anakagua taratibu kama zilifuatwa ama lah. Mnaweza kufuata taratibu na mkala hela na CAG asijue lakini uchunguzi utajua...
Wewe ndio huelewiHuyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe....
TAKUKURU hamna kitu pale ni lidudu fulani la kuonea wanyonge tu. Huyo wameamua kuji-show kwake kwake ksbb mwenda zake aliwaonyesha njia kwamba anaweza kuonewa. Kwa hiyo na wao wanapita humo humo ili waonekane tu wapo wanafanya kazi,lakini kiuhalisia hao ndio wala rushwa wakubwa. Wamchunguze Cheng tuoneUnunuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kuna ufisadi mkubwa kuliko huko waanze na hapo kwanza
Wao wanachojua kuropoka tu hao, na chuki kwa awamu ya sitaUnajuaje kama kadhia yake tayari haikuwa TAKUKURU?
Kwa style alioondoka mayo ni lazima ahojiweMatajiri wataanza kuogopa kurudi Tanzania hata uwekezaji itapungua zaidi
Mambo ya kibiashara ni Kukaa mezani na kuyamaliza, hii itajenga mahusiano mazuri na wawekezajiView attachment 1806523
Daah Manji kajamba kwenye Maji.
Gari ile ile, unaimiliki wewe, lazima ui tune iwe kinanda au?!
Manji huyo 😅😅😅Sina mbavu...hahahah
Una akili kubwa sanaHiyo Ni trick ya kumpokea.. ujasusi w mtulizo
Unauhakuka aligushi magufuli alimitishia sou motto.ilihali manji alinunua tigo kihalahi rejea kuuzwa kwa tigo baada ya kusikia manji anarudi.wanataka kumtoa manji balabalani asifungue kesi kudai Mali zake.Ile ya kugushi hisa za Tigo sijui kama itamwacha salama huyu mtu.
Huyu jamaa biashara zake nyingi ni magumashi matupu.
kumbe we msukuma ni jingaaaKwa nini wasimkamate akiwa huko nje?
Namna ulivyomjibu na muda uliojibu ni viashiria tosha kuwa wewe unaweza ukawa ndiye Madam Samia Suluhu Hassan mwenyewe.Unajuaje kama kadhia yake tayari haikuwa TAKUKURU?
Anayo haki iyo, kwani si mtanzania,na mama ni Raisi wa watanzania woteMsije kushangaa kesho kutwa anaingia ikulu kuzungumza na mama
Acha kudemka wewe taahira!
Kwa akili yako Manji anaonewa? Nyie vijana wa bavicha mlibalehe juzi juzi hata hamjui kuwa Manji tuhuma zake zipo tangu 2010 na hata viingozi wako wanajua uhuni wa Manji ulipo.
Ndio bavicha mnasubiri hela zimwagike mtaani ili muanze kuokota na mnaamini watakaozimwaga ni hao kina Manji,
Huu ujinga wa kufikiri kumtetea mtu yeyote ili kumkomoa marehemu ni wa kujitakia tu.
.
Wanaokomolewa ni bibi, babu na ukoo wako unaoliwa na umasikini huko vijijini kwenu.