Yusuph Makamba: Hayati Mwinyi ni hazina ya Mwenyezi Mungu kwa nchi yetu

Yusuph Makamba: Hayati Mwinyi ni hazina ya Mwenyezi Mungu kwa nchi yetu

Wale wameshakufa haliyakua ni makafiri, sasa unataka mzee wetu Yusuf awaongelee kwa kipi haswaa! Na istoshe huyo nyerere unajua alichokifanya kwenye revolution day huko ZNZ halafu unataka watajwe, kwa lipi!!
Loliondo gate ilikaaje Kwa hiyo
 
Ila na Mafisadi nao Waache Wizi na hii iwe moja ya Kimuenzi Mzee wa Ruksa Maana Shekh yule alikuwa hana Ka Ufisadi rohoni mwake.
Mkuu, Loliondo na Twiga walikwenda kipindi gani?

Nani aliuza sehemu ya nchi kwa waarabu?
 
Aliyefariki hakuwa na familia inayomtegemea???!!! huu ndio ubinafsi wa watu weusi unaotukwamisha kuendelea, kila mtu anawaza tumbo lake kuneemeka kupitia ofisi za umma.

Hawa wazee wawe wanapimwa akili kabla ya kufanyiwa mahojiano ama

Halafu anasema Rais Mwinyi akatabasamu!

Mtu kafa wao wanatabasamu! Wanapeana mistari ya maandiko halafu "akatabasamu."

Vichwa vibovu, uko sahihi kabisa.
 
Huyu babu ni mdini sn, hajataja jina la Mkapa na Magu na wakati alikuwa RC kipindi cha Mkapa
kwa hiyo angetaja jina la Mkapa angekuwa sio Mdini ?

Mama January hata sadaka anazopeleka kanisani kila Jumapili pamoja na usafiri wa kwenda na kurudi anapewa na huyu Mzee ujue hivyo
 
Salaam, shalom!!!

Akizungumza Kwa uchungu mkubwa na majonzi alipokuwa akimuelezea HAYATI Mwinyi, amesema kuwa Mzee Mwinyi alikuwa mtu mwenye kheri, mpole na mstaarabu na muwajibikaji.

Amedai kuwa ulitokea mgogoro kati ya wakulima na wafugaji akiwa mkuu wa mkoa na katika tukio Hilo, alifariki mtu Mmoja, alipoitwa IKULU, Mzee Mwinyi alimtaka ajiuzulu Ili kuonyesha uwajibikaji.

Mzee Makamba akamwomba msamaha Rais Mwinyi na kumwambia amsamehe Kwa kuwa ana familia inayomtegemea, akanukuu maandiko yasemayo, baba hatahukumiwa Kwa dhambi alizofanya mtoto,baada ya kusema hayo, Mzee Mwinyi alitabasamu na kumwambia nimekusamehe,usirudie tena.

Amesema HAYATI Mwinyi amemfaa sana Kwa kumteua Ukuu wa wilaya, Kisha baada ya miezi SITA akamteua ukuu wa Mkoa, na baadaye Mh KIKWETE akaendelea kumwamini.

Akibubujikwa na machozi Kwa Huzuni kubwa, amesema kuwa Ili Nchi iwe salama, inahitaji kuwa mikononi mwa mtu aina ya Mzee Mwinyi, na mtu hiyo wa aina ya Mzee Mwinyi, ni Mh Samia Suluhu Hassan.

Mzee Makamba ameendelea kusema Mzee Mwinyi apumzike Kwa Amani na huko aendako awasalimu waliotangulia HAYATI Mzee Nyerere, HAYATI Mzee Mkapa na HAYATI Magufuli.

Source: Tanzania Broadcasting Corporation ( T. B. C).

Maombolezo yaendelee😪🙏
Tanzania imejaliwa kuwa na wazee wenye uwezo mkubwa sana wa Uchawi na Unafiki.

Bahati nzuri huwa hawsjifichi
 
Huyu babu ni mdini sn, hajataja jina la Mkapa na Magu na wakati alikuwa RC kipindi cha Mkapa
Nadhani humfahamu Mzee huyu licha ya mkewe kuwa mkristu anaijua Biblia ndani nje na huinukuu mara kwa mara. Mdini ni wewe unayetuza Hitler wa Kiyahudi
Bonkers
 
Back
Top Bottom