Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Loliondo gate ilikaaje Kwa hiyoWale wameshakufa haliyakua ni makafiri, sasa unataka mzee wetu Yusuf awaongelee kwa kipi haswaa! Na istoshe huyo nyerere unajua alichokifanya kwenye revolution day huko ZNZ halafu unataka watajwe, kwa lipi!!
Ile ilienda, lakini wajukuu tutairudisha tu, ni suala la muda tu.Loliondogate iliishia wapi
Mwinyi mzuri amekufa,Wazuri hawakufi
Kale kakikundi chote r.i.p zao ni basdei zetuTunasubiri afe ili tufufue kauli yake ya wazuri hawafi
Vifijo na rendemboKale kakikundi chote r.i.p zao ni basdei zetu
Mkuu, Loliondo na Twiga walikwenda kipindi gani?Ila na Mafisadi nao Waache Wizi na hii iwe moja ya Kimuenzi Mzee wa Ruksa Maana Shekh yule alikuwa hana Ka Ufisadi rohoni mwake.
Loliondo gate ilikaaje Kwa hiyo
Mkuu, Loliondo na Twiga walikwenda kipindi gani?
Nani aliuza sehemu ya nchi kwa waarabu?
Bado mmojaKwa machozi Yale ya Babu yetu, mzuri amekufa!
Aliyefariki hakuwa na familia inayomtegemea???!!! huu ndio ubinafsi wa watu weusi unaotukwamisha kuendelea, kila mtu anawaza tumbo lake kuneemeka kupitia ofisi za umma.
Hawa wazee wawe wanapimwa akili kabla ya kufanyiwa mahojiano ama
kwa hiyo angetaja jina la Mkapa angekuwa sio Mdini ?Huyu babu ni mdini sn, hajataja jina la Mkapa na Magu na wakati alikuwa RC kipindi cha Mkapa
Si uende sehemu husika/tajwaUna ushahidi sehemu iliuzwa kwa waarabu?
Tanzania imejaliwa kuwa na wazee wenye uwezo mkubwa sana wa Uchawi na Unafiki.Salaam, shalom!!!
Akizungumza Kwa uchungu mkubwa na majonzi alipokuwa akimuelezea HAYATI Mwinyi, amesema kuwa Mzee Mwinyi alikuwa mtu mwenye kheri, mpole na mstaarabu na muwajibikaji.
Amedai kuwa ulitokea mgogoro kati ya wakulima na wafugaji akiwa mkuu wa mkoa na katika tukio Hilo, alifariki mtu Mmoja, alipoitwa IKULU, Mzee Mwinyi alimtaka ajiuzulu Ili kuonyesha uwajibikaji.
Mzee Makamba akamwomba msamaha Rais Mwinyi na kumwambia amsamehe Kwa kuwa ana familia inayomtegemea, akanukuu maandiko yasemayo, baba hatahukumiwa Kwa dhambi alizofanya mtoto,baada ya kusema hayo, Mzee Mwinyi alitabasamu na kumwambia nimekusamehe,usirudie tena.
Amesema HAYATI Mwinyi amemfaa sana Kwa kumteua Ukuu wa wilaya, Kisha baada ya miezi SITA akamteua ukuu wa Mkoa, na baadaye Mh KIKWETE akaendelea kumwamini.
Akibubujikwa na machozi Kwa Huzuni kubwa, amesema kuwa Ili Nchi iwe salama, inahitaji kuwa mikononi mwa mtu aina ya Mzee Mwinyi, na mtu hiyo wa aina ya Mzee Mwinyi, ni Mh Samia Suluhu Hassan.
Mzee Makamba ameendelea kusema Mzee Mwinyi apumzike Kwa Amani na huko aendako awasalimu waliotangulia HAYATI Mzee Nyerere, HAYATI Mzee Mkapa na HAYATI Magufuli.
Source: Tanzania Broadcasting Corporation ( T. B. C).
Maombolezo yaendelee😪🙏
Ushahidi kama iliuzwa?Ile ilienda, lakini wajukuu tutairudisha tu, ni suala la muda tu.
Si uende sehemu husika/tajwa
Nikumbushe, wamasai wameondolewa kule kisa?
Wewe ni mama January?kwa hiyo angetaja jina la Mkapa angekuwa sio Mdini ?
Mama January hata sadaka anazopeleka kanisani kila Jumapili pamoja na usafiri wa kwenda na kurudi anapewa na huyu Mzee ujue hivyo
Hata wewe utazeeka, muhimu uzeeke vizuri.Tanzania imejaliwa kuwa na wazee wenye uwezo mkubwa sana wa Uchawi na Unafiki.
Bahati nzuri huwa hawsjifichi
Nadhani humfahamu Mzee huyu licha ya mkewe kuwa mkristu anaijua Biblia ndani nje na huinukuu mara kwa mara. Mdini ni wewe unayetuza Hitler wa KiyahudiHuyu babu ni mdini sn, hajataja jina la Mkapa na Magu na wakati alikuwa RC kipindi cha Mkapa