Yusuph Makamba: Hayati Mwinyi ni hazina ya Mwenyezi Mungu kwa nchi yetu

Halafu anasema Rais Mwinyi akatabasamu!

Mtu kafa wao wanatabasamu! Wanapeana mistari ya maandiko halafu "akatabasamu."

Vichwa vibovu, uko sahihi kabisa.
Wewe ndio hujaelewa, Mzee Makamba alikuwa anamuelezea JINSI Mwinyi alivyomsamehe kumfuta ukuu wa Mkoa baada ya Kutokea KIFO katika Mkoa wake kilichotokana na ugomvi wa wakulima na wafugaji.
 
Wewe ndio hujaelewa, Mzee Makamba alikuwa anamuelezea JINSI Mwinyi alivyomsamehe kumfuta ukuu wa Mkoa baada ya Kutokea KIFO katika Mkoa wake kilichotokana na ugomvi wa wakulima na wafugaji.
Sijaelewa nini ????

Mzee Makamba kaongea pumba msibani!

Kasema alimwambia Mwinyi amsamehe kwa vile ana familia ya kutunza, akanukuu maandiko. Mwinyi akatabasamu, akamsamehe.

Uhoro mtupu. Familia ya marehemu imetunzwa na nani ? Mwinyi anatabasamu, raia kufa ni jambo la kutabasamu ? Wote wawili walikuwa tone deaf and out of touch, hawaelewi uzito wa dhamana za uongozi. Makamba anadhani tunafurahi kusikia tabasamu zao na kusameheana kwao kwa saab wana familia za kutunza? Pumba tupu.
 
Hapo Mwinyi alikengeuka, alipasa kufukuza Makamba Kwa kuwa alitoa sababu za kibinafsi.

Kumbe umeelewa vizuri🙏
 
Wazuri hawafi bali wabayo ndo wanaokufa, hiyo ndo kauli tunaishi nayo
 
Hamna lolote,,,Mwinyi aliaandaa viongozi wezi kama akina jakaya ambao mpaka Leo Taifa hili linaliwa na familia zisizozidi 10. Wakiwepo watoto wa Masuria wao kina mwigulu. Afe kabisa asitudanganye hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…