Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Zitolewe nyingi kama hizo pikipiki ili tuona jinsi wasimamizi wasaidizi wa kura watakavyoengua vichwa.Hapa pia nitataraji nione mtunisha kifua atakavyobimbirita sarakasi.
 
Actually hata kama ingekuwa ni full term president na kumaliza kipindi cha kwanza cha miaka 5 lakini anapokuja kugombea kipindi cha pili bado forms zinpaswa kutolewa kwa ambao wako interesting na sio kwa mgombea mmoja ambae ni Rais tu , hiyo haitendi haki.
Ilianzia kwa JPM kama sikosei. Na Mungu akakataa.
Enzi za nyuma zilitolewa forms zaidi ya moja.
 
Tlaaltlaa mtamuua na Kipara kipya
 
Alijifnya mungu
 
hii habari imeifanya Jioni kuwa njema sana
hqbari imefanya Jioni kuwa njema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…