Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tatizo la jamaa toka kanda ya ziwa wanaonesha kuwa na elements za dictatorship kitu ambacho ni kinyume na Katiba .
Hawataki kukosolewa.
Wanasema hawapangiwi.
Hicho ni kiburi .
Na Imeandikwa; Mungu huwapinga wenye kiburi bali huwapa Neema wajishushao wanyenyekevu wa moyo.
Pia Imeandikwa; hekima itokayo juu Yaani kwa Mungu imejaa Rehema , iko tayari kusikiliza mawazo ya wengine, sasa kwanini useme hupangiwi ??
Nchi hii ni yako binafsi ?
Wewe kama kiongozi si umefanya ya kupewa ridhaa ya wananchi kwa muda uwe kiongozi wao ??
Kwanini unataka kuwa Mtawala badala ya kiongozi wa wananchi ??
Pia Imeandikwa; hekima itokayo juu Yaani kwa Mungu haina unafiki wala fitina .
Ni ya upole sio ukali. N.k
 
Hatukatai Kwamba ukiwa kiongozi lazima kuna mahala utapaswa kuwa aggressive lakini sio ukatili wa kusemekana kuua au kupoteza WAT-u wakosoaji hiyo ghadhabu na hasira ya Mwenyezi Mungu lazima ishuke haraka.
Dunia ina mwenyewe hiii.
 
Hatukatai Kwamba ukiwa kiongozi lazima kuna mahala utapaswa kuwa aggressive lakini sio ukatili wa kusemekana kuua au kupoteza WAT-u wakosoaji hiyo ghadhabu na hasira ya Mwenyezi Mungu lazima ishuke haraka.
Dunia ina mwenyewe hiii.
Ngoja nichangie kwenye maoni yako haya.

Yeye mwenyewe anasema ni "sisimizi" tu, anaojuwa kuhusika katika hayo.

Lakini, alipo anza mazungumzo na Mwenyekiti Mbowe, kupata maafikiano, sharti kuu la kwanza alilopewa Mbowe ni kudhibiti watu wake,; watumie "LUGHA ZA STAHA", wanapo msema yeye!

Hili lilipo shindikana, huku akina Mdude na wengine wakizidisha maudhi, maafikiano yakaghota! Vijana wakaanza kutekwa na kupotezwa. Askari wake kama yule UVCCM wa Kagera wakakosa uvumilivu. Yeye Samia kasema huko kutekwa, kuteswa na kuuawa ni "DRAMA"! Wanao uliwa:"kifo ni kifo tu"!

Sasa hatimaye tumefikia hapa, tukielekea kwenye uchafuzi mkubwa wa kuhakikisha mama anabaki akitawala. Tujiandae kushuhudia makubwa zaidi ya tuliyo kwisha yashuhudia?
 
Ningemshauri tu huyu Mama asichukue hata form maana atachafuliwa sana maana Wahuni walishaanza kumtumia Mange Kimambi kumchafua, sasa kama ndio kuelekea huu uchaguzi mkuu itakuwaje?

Siasa za Kiafrika ni ngumu sana na hii imemponza sana kwenye utawala wake maana alikuwa ana entertain sana mambo yaliyokuwa yanaenda kinyume na zile 4R alizozitangaza.

Mauaji ya kila aina yaliibuka na hakuna hatua za kisheria zilizochukuliwa yakaibuka Machawa from no where yakawa yanalamba ulaji tu huku akiwasahau Wazalishaji na walipa kodi ambao ni wengi kuliko hao Machawa.

Sijui ni mshauri gani aliyemuambia alete yale Mapikipiki ya Kijani ? Yaani akingia kwenye mchuano aisee anaweza kupata hata shambulizi la moyo.

Aangalie ustaarabu mwingine tu unless atadharirishwa sana. Ukipita kwenye page za kidaku amedhalilishwa sana na kama yale maneno ya kwenye page za kidaku ni kweli tutakuja kuyashuhudia kwa macho.
Pumzika tu Mama Samia, Siasa za Kibongo ni za Kinafiki mnooo.
 
Ngoja nichangie kwenye maoni yako haya.

Yeye mwenyewe anasema ni "sisimizi" tu, anaojuwa kuhusika katika hayo.

Lakini, alipo anza mazungumzo na Mwenyekiti Mbowe, kupata maafikiano, sharti kuu la kwanza alilopewa Mbowe ni kudhibiti watu wake,; watumie "LUGHA ZA STAHA", wanapo msema yeye!

Hili lilipo shindikana, huku akina Mdude na wengine wakizidisha maudhi, maafikiano yakaghota! Vijana wakaanza kutekwa na kupotezwa. Askari wake kama yule UVCCM wa Kagera wakakosa uvumilivu. Yeye Samia kasema huko kutekwa, kuteswa na kuuawa ni "DRAMA"! Wanao uliwa:"kifo ni kifo tu"!

Sasa hatimaye tumefikia hapa, tukielekea kwenye uchafuzi mkubwa wa kuhakikisha mama anabaki akitawala. Tujiandae kushuhudia makubwa zaidi ya tuliyo kwisha yashuhudia?
Ni sawa usemavyo. Lakini kwa upande wa pili wa CCM hawatakuwa tayari kuona Mama akiendekea. Wanasema Katiba ya Chama chao Rais atakaa Ikulu kwa miaka kumi. Baada ya hapo atawapisha wengine. Sasa alikaa Ikulu term ya kwanza (5yrs) akiwa kama Makamu wa Rais. Term ya pili ni hii anayomalizia akiwa Rais Kamili kwa mujibu wa Katiba ya Nchi yetu. Na ndiyo maana wao hawakubaliani kuita hii ni awamu ya sita bali ni awamu ya tano term ya pili.

Ili iwe awamu ya sita kulipaswa apite kwenye mchakato wa mchujo. Sasa upande wa pili wa Chama wanasema endapo atang'ang'ania basi ni lazima apite kwenye mchujo yaani lazima fomu ziwe zaidi ya moja.

Wanasema hawako tayari kumpata Mgombea wa CCM wa awamu ya sita ambae hajapitia utaratibu wa kawaida wa mchujo. Hivyo mchakato wa wa kumpata Mgombea lazima uwe wa mchuano.
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
CCM itatuletea Mgombea Urais Mwanaume kwenye Uchaguzi Mkuu 2025
 
Kugawa fedha kwa watu mbalimbali wakiwemo Viongozi wa Dini na kugawa bidhaa zilizo na jina lake ni kampeni kabla ya muda na mhusika anakosa sifa kwa mujibu wa Katiba ya CCM. Pia CCM watazingatia sana umri wa Mgombea kuweza kuhimili mikikimikiki ya kampeni na changamoto za wananchi mbeleni.
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Na iwe hivyo
 
Ni sawa usemavyo. Lakini kwa upande wa pili wa CCM hawatakuwa tayari kuona Mama akiendekea. Wanasema Katiba ya Chama chao Rais atakaa Ikulu kwa miaka kumi. Baada ya hapo atawapisha wengine. Sasa alikaa Ikulu term ya kwanza (5yrs) akiwa kama Makamu wa Rais. Term ya pili ni hii anayomalizia akiwa Rais Kamili kwa mujibu wa Katiba ya Nchi yetu. Na ndiyo maana wao hawakubaliani kuita hii ni awamu ya sita bali ni awamu ya tano term ya pili.

Ili iwe awamu ya sita kulipaswa apite kwenye mchakato wa mchujo. Sasa upande wa pili wa Chama wanasema endapo atang'ang'ania basi ni lazima apite kwenye mchujo yaani lazima fomu ziwe zaidi ya moja.

Wanasema hawako tayari kumpata Mgombea wa CCM wa awamu ya sita ambae hajapitia utaratibu wa kawaida wa mchujo. Hivyo mchakato wa wa kumpata Mgombea lazima uwe wa mchuano.
Huu ndio UKWELI mchungu.
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Yaan hakimi wako karan wako mahakama ni nyumba yako hukumu unaandika mwenye alafu ushindwe kes tatizo la watatanzia ubongo wenu mdogo mnazan urais unachaguliwa na kundi la watu mahohehae urais unachaguliwa na kundi la wazee type ya kina kinana wasiozid 20 kwenye meza ya round jina likipita kazi inayobakia ni kulilinda kwa njia zote
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Wamekamia kummaliza
 
Ni sawa usemavyo. Lakini kwa upande wa pili wa CCM hawatakuwa tayari kuona Mama akiendekea. Wanasema Katiba ya Chama chao Rais atakaa Ikulu kwa miaka kumi. Baada ya hapo atawapisha wengine. Sasa alikaa Ikulu term ya kwanza (5yrs) akiwa kama Makamu wa Rais. Term ya pili ni hii anayomalizia akiwa Rais Kamili kwa mujibu wa Katiba ya Nchi yetu. Na ndiyo maana wao hawakubaliani kuita hii ni awamu ya sita bali ni awamu ya tano term ya pili.

Ili iwe awamu ya sita kulipaswa apite kwenye mchakato wa mchujo. Sasa upande wa pili wa Chama wanasema endapo atang'ang'ania basi ni lazima apite kwenye mchujo yaani lazima fomu ziwe zaidi ya moja.

Wanasema hawako tayari kumpata Mgombea wa CCM wa awamu ya sita ambae hajapitia utaratibu wa kawaida wa mchujo. Hivyo mchakato wa wa kumpata Mgombea lazima uwe wa mchuano.
Unajuwa mkuu 'Halaiser', hata sisi wengine (wewe na mimi) tulio nje ya haya maswala, wakati mwingine tunajikuta tukichnganya akili kama wao hao hao waliomo ndani.
Ni nani asiye juwa kwamba hizi taratibu (katiba, n.k.,) ni kama mapambo tu inapo fikia wakati wa kupigania maslahi ya makundi.
Chukulia kama hilo la kutambua hii ni "Awamu " ya ngapi? Hili lina nguvu gani ndani ya CCM?

Sote tuna fahamu, mwenye nguvu na uamzi ni Mwenyekiti na timu yake; wakati huo huo akiwa Rais mwenye mamlaka na Dola, aliyo na mamalaka yote ya kuitumia atakavyo yeye kufikia malengo yake.

Sasa niambie, ni nani huko ndani ya CCM anaye weza kujenga kundi la kumtisha mtu mwenye nyenzo zote hizo!
Hawa wote ndani ya CCM ni watu wanao tegemea fadhila toka kwa mtu huyo huyo. Wataanzia wapi kum'challenge' huyu!

Nionavyo mimi. Hayo unayo yaeleza kuwa unayasikia sasa hivi; hayo ni maneno tu yanayo pita huko mitaani. Wakati wenyewe utakapo wadia, kila mtu atalala ndani ya msitari asikose fursa zinazo tegemewa kwa anaye zigawa.

Huko ndani ya CCM sioni hata mmoja wao mwenye uwezo wa kumtikisa mwenyekiti wao.

Kama ni 'challenge' ni kutoka huku nje ya chama.
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
ccm hata watoe fomu zaidi ya 10. Still watakayemleta hatokuwa na tofauti na waliyopo! Corrupt cartel of con-politicians
 
Back
Top Bottom