Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hasara ni ndogo ukilinganisha na faida !
Ni bora akosee mmoja kuliko kukosea wengi !

Akikosea mmoja haiwezi kuwa hasara kubwa kama wakikosea watu lukuki !
Mmmnh!
😀😅
Thubutuuu!
Hiyo haifai.
Umeona anawezakuja kiongozi akaonesha kuchukizwa na ufisadi (wizi wa rasilimali za umma , fedha n.k) lakini ukimfatilia utakuta na yeye anafanya mambo ambayo yanaligharimu Taifa kwa kiasi kikubwa sana ??

Kwa mfano uliona maamuzi alofanya jamaa wakati ule ya kwenda kujenga uwanja wa ndege kule porini kwao ambako hakuna hata kivutio cha utalii na kuweza kunufaisha wengi umeona jinsi ilivyo hasara kwa Taifa ??
Na sababu alisema hakuna wa kumpangia alilolitaka ndilo alolifanya hata kama ni hasara kwa Taifa ??
Na mengineyo.

kama sio Mwenyezi Mungu kuamua kuingilia kati unazani hali mpaka sasa ingekuwaje ??
Pata picha.

Ndio maana nakwambia dictatorship sio nzuri kwa ujumla wake.

Apatikane kiongozi mwenye misimamo mikali kama ya Kamanda Trump.
Trump sio dictator ,
Kule wanamtukana na sababu ya kuelewa maana ya democracy wala hajali yeye anajikita ktk kufanya mambo ya maana yatakayompa legacy ya kihistoria na kutimiza wajibu wale kwa uadilifu
 
Kwanza wakosoaji mara nyingi huwa ni Innocent people.
Wako mbali na mifumo ya wizi na ufisadi wa rasilimali za umma.
Kwanini kiongozi badała ya kuwa weka karibu badała yake utake kuwasakama ??
Kwanini wapotezwe??
Kwanini wauawe ??
Inatarajiwa kwa kiongozi anaependezwa ma uadilifu awe anapendezwa na Watu wa sina hiyo unless iwe vinginevyo.

Wakosoaji hawakuwa wakipendwa na hata tawala zote zilizopita !
Na walipata madhila ya kiasi chao !
Ila ukweli utabaki pale pale kwamba wakosoaji ni watu wema wanaoitakia mema Nchi kama ulivyosema !
Haipaswi kuwachukulia kama ni maadui wa Nchi !
Ndio maana nasema awe Muadilifu kweri kweri ! 🙏
 
Ni vignumu sana wapinzani kupata kiti cha urais. Ingawa ccm ina maovu mengi lakin ninaomba watuletee mgombea mwingine lakini sio samia. Samia ameonyesha udhaifu mkubwa sana kuliko maraisi wote waliopita. Ccm lifanyieni taifa la tanganyika wema kwa kutuletea raisi anaefaa kuliongoza taifa letu. Naunga mkono suala la kutoa fomu zaidi ya moja kwa wagombea wa ccm ili kama samia atapita awe amepita kihalali kupitia mchujo ndani ya chama.
 
Ni vignumu sana wapinzani kupata kiti cha urais. Ingawa ccm ina maovu mengi lakin ninaomba watuletee mgombea mwingine lakini sio samia. Samia ameonyesha udhaifu mkubwa sana kuliko maraisi wote waliopita. Ccm lifanyieni taifa la tanganyika wema kwa kutuletea raisi anaefaa kuliongoza taifa letu. Naunga mkono suala la kutoa fomu zaidi ya moja kwa wagombea wa ccm ili kama samia atapita awe amepita kihalali kupitia mchujo ndani ya chama.

pia ieleweleke kuwa hajawahi kuchaguliwa kuwa Rais, aliwekwa tu mahala kama geresha, mara paaap! kudra!!!!;
 
CHADEMA wana shida sana wale. Wanajiwazaga wao kabla ya wananchi!
Ilipaswa waje na sera kuwafungulie milango wote wasiomkubali bi Chura.
Lakini kwa ninavyo wafahamu wataanza masuala ya kuwaogopa wahamiaji!
Kushinda uchaguzi is all about numbers!
Hata wanao hamia kuja kuvuruga unadhani ni sawa, au una maana gani?
 
Hii ni kwa mjibu wa akili yako inavyo kuelekeza wewe. Usifanye ndio uwe ukweli usio hojiwa!
Na kwa maoni yako, hao wazee uwajuao wewe tayari wanalo jina la Samia mezani, au siyo?
We zubaa zubaa tu huo ndio ukweli
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Uongo mtupu. Form ni moja na atakayechukua anajulikana. Samia mi5 tena.
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Nani kama mama, wanajisumbua bure!
 
Wasiogope wahamiaji. Bali waboreshe internal systems za udhibiti.
Kwani walianza lini kuogopa hao wahamiaji. Kumbukumbu zinaonyesha miaka yote wahamiaji wamepitia CHADEMA na kuishia tena CCM. kama akina Shonza na wengi wengine.
Pengine wewe unalo lengo jingine kuhusu hili unaloona wewe CHADEMA wana woga nalo.
Na kama wana woga na baadhi ya hao wahamiaji, huoni kuwa wanazo sababu za kufanya hivyo?
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Je mwenyekiti wa chama umeongea naye yeye anasemaje kuhusu hilo swala?
 
Back
Top Bottom