Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Actually hata kama ingekuwa ni full term president na kumaliza kipindi cha kwanza cha miaka 5 lakini anapokuja kugombea kipindi cha pili bado forms zinpaswa kutolewa kwa ambao wako interesting na sio kwa mgombea mmoja ambae ni Rais tu , hiyo haitendi haki.
Ilianzia kwa JPM kama sikosei. Na Mungu akakataa.
Enzi za nyuma zilitolewa forms zaidi ya moja.
na wakilazimisha kwa huyu, Mungu naye atakataa. Makamu awe standby!

JESUS is Christ
 
Atuachie ile katiba mpya ya warioba zawadi yake yeye tu aendelee kukaa mpk 2030 ila si kuwa na dictator ikulu
 
Hiyo fomu ya pili atato
Hiyo fomu ya pili atatoa mamako. We bwege kafanye mambo yako, CCM is another level si level ya manyumbu
Manyumbo ni wanaofikiria fomu moja ya Urais. CCM ni Chama kinachofuata Katiba yake kumpata mgombea Urais na kina wanachama wengi wenye sifa ambao wanashindanishwa na kumpata mmoja mwenye sifa zaidi.
 
Wale wenye Elements za Ufisadi Ufisadi huwa wanazipenda sana Comments za aina hii 😅😂🙏👍


Tujadili kwa kuangalia uwiano wa mizania kotekote.
Unataka kusema marais wanaotokea mwambao wa Pwani uzoefu unaonesha kuwepo na ufusadi wa kutisha ?
Sikatai, huenda kuna ukweli fulani.
Tujadili tuelezane ili tuache wizi kisha tujenge Taifa letu.
Siwezi kutetea wizi wa rasilimali za umma wa Tanzania kwa vizazi hivi na vijavyo.
Mfano kuingiza nchi kwenye mikataba ya kinyonyaji na wizi mkubwa sana ?
Grand corruption.
Vizazi vijavyo hata milioni na zaidi vinatakiwa vikute rasilimali alizotupatia Mungu bure ziwepo tuzitunze na sio kufanya wizi na ufisadi.
Wakute mbuga za wanyama na wanyama wawe wamezaliana zaidi kama ambavyo idadi ya watu inaongezeka kadiri miaka inavyoongezeka kutoka Uhuru hadi kesho na wanyama mbughani waongezeke na sio kuuzwa ??
Eti wanyama wanapandishwaga ndege ktk kusafirishwa ??

Umenielewa @ Mdau ?
 
Atuachie ile katiba mpya ya warioba zawadi yake yeye tu aendelee kukaa mpk 2030 ila si kuwa na dictator ikulu


Kwa hali ilivyo wachambuzi wa mambo wanakwambia ili nchi izidi kukaa Sawa na kurejea kwenye misingi ya uadilifu (rasilimali za umma) inabidi aje kiongozi wa mlengo huo wa dictatorship kwanza anyooshe mambo yakae kwa mstari.

Binafsi sipendi awe dictator kiasi cha kuitia nchi nzima hofu kama wakati ule.
Sipendi hali ya kupotezwa watu (wakosoaji)
Sipendi kusikia Habari za kuuliwa watu.
Napenda kama mtu ako na tuhuma apelekwe mahakamani sheria ichukue mkondo wake.
Napenda rule of law.
Good governance.
Sipendi kiongozi anaeogopwa. Napenda aheshimiwe na heshima ni kwa mkubwa na mdogo.
Binafsi sipendi mtu aniogope. Hata awe mjakazi au Mtumwa nataka tuheshimiane tu na mimi ninawajibu wa kumheshimu hata Mdogo kwangu na sio niogopwe.
Mimi ni mwanadamu nakosea, sina ukamilifu naishi kwa kutegemea rehema na Neema za Mwenyezi Mungu.
 
Inashangaza kuona mtu anakubali kuwa kiongozi wa Watu kwa hiyari yake Halafu Eti hataki kukosolewa na watu. 🤔🤔
Ukijua una udhaifu huo tafadhali msiende kuchukua form za kugombea wakati ukifika.
Na kama ni nafasi za uteuzi muwe mnakataa hizo offer .
Sio lazima kila offer ya uteuzi lazima ukubali , inaruhusiwa kukataa kwa hekima.
Sababu hata anaekutea anapaswa kujua hapaswi kumlazimisha mtu maana anaweza asiende kutimiza wajibu wake vizuri kule anakoenda kufanya kazi.
Sema wabongo kwa njaa sizani kama kuna wanaoweza kukataa kwa uaminifu wa moyo.

Unakuwa kiongozi wa Watu hata kama ni Mkuu wa kitengo kwenye taasisi ya umma yoyote usitake kuabudiwa kama Mungu.
Kuwa na mtazamo chanya . Kubali mawazo ya wengine, kubali kuwa huwa unakosea, kubali kukosolewa maana wewe sio Mungu.
Tatizo wengi vyeo wanavipata kwa ushirikina na uchawi.
They don’t deserve ndio maana hawafit wana kalia kujihami na mitazamo hasi na kuona wengine kuwa threat kwao.
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Kama ni kweli haya yaliyoandikwa basi,CCM haitaki kumsimamisha Samia.Kwani kuna desturi ambazo siyo rasmi kumuachia Rais aliyepo madarakani amalizie kipindi cha pili.Na desturi hiyo Iko hata kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani.
 
Mama ana bahati mbaya. Hatapata 2025, chawa waanze kutafuta mtu mwingine. Inakuwa kama ngumu vile, ila itakuwa rahisi hadi watu watashangaa.

Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
 
Kama ni kweli haya yaliyoandikwa basi,CCM haitaki kumsimamisha Samia.Kwani kuna desturi ambazo siyo rasmi kumuachia Rais aliyepo madarakani amalizie kipindi cha pili.Na desturi hiyo Iko hata kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani.


Mbona Trump alipigwa chini juzi tu hapo ?
Halafu nyakati na scenario hutofautina.
Usikariri.
 
Hakuna jambo kama hilo hii sio tetesi umejitungia baada ya kupata picha za hizo pikipiki!
Ajabu ni pale chama chenye DEMOKRASIA ccm chawa wake wanapobaliki kuchapishwa kwa fomu moja! Hii itakuwa na tofauti gani na kura ya mtu na kìvuli?????
 
Kwa hali ilivyo wachambuzi wa mambo wanakwambia ili nchi izidi kukaa Sawa na kurejea kwenye misingi ya uadilifu (rasilimali za umma) inabidi aje kiongozi wa mlengo huo wa dictatorship kwanza anyooshe mambo yakae kwa mstari.

Binafsi sipendi awe dictator kiasi cha kuitia nchi nzima hofu kama wakati ule.
Sipendi hali ya kupotezwa watu (wakosoaji)
Sipendi kusikia Habari za kuuliwa watu.
Napenda kama mtu ako na tuhuma apelekwe mahakamani sheria ichukue mkondo wake.
Napenda rule of law.
Good governance.
Sipendi kiongozi anaeogopwa. Napenda aheshimiwe na heshima ni kwa mkubwa na mdogo.
Binafsi sipendi mtu aniogope. Hata awe mjakazi au Mtumwa nataka tuheshimiane tu na mimi ninawajibu wa kumheshimu hata Mdogo kwangu na sio niogopwe.
Mimi ni mwanadamu nakosea, sina ukamilifu naishi kwa kutegemea rehema na Neema za Mwenyezi Mungu.
Dikiteta muadilifu ! Kisha Uchaguzi uwe ni kuanzia Ubunge na kushuka chini na uwe kila baada ya miaka mitano !

Yule atakayekuwepo huko Juu kabisa aendelee kupiga kazi na Uadilifu wake mpaka atakapochoka mwenyewe 😳🙄🙏 !
 
Binafsi bila kutumia lugha ya matusi wala kashfa simuungi mkono mama hata kidogo na nnaumia mno kutwaliwa nae nautumia muda wangu mwingi nikiwa Kongo kwa ajili nakosa amani kabisa mutanzania
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
 
Dikiteta muadilifu ! Kisha Uchaguzi uwe ni kuanzia Ubunge na kushuka chini na uwe kila baada ya miaka mitano !

Yule atakayekuwepo huko Juu kabisa aendelee kupiga kazi na Uadilifu wake mpaka atakapochoka mwenyewe 😳🙄🙏 !


Mmmnh!
😀😅
Thubutuuu!
Hiyo haifai.
Umeona anawezakuja kiongozi akaonesha kuchukizwa na ufisadi (wizi wa rasilimali za umma , fedha n.k) lakini ukimfatilia utakuta na yeye anafanya mambo ambayo yanaligharimu Taifa kwa kiasi kikubwa sana ??

Kwa mfano uliona maamuzi alofanya jamaa wakati ule ya kwenda kujenga uwanja wa ndege kule porini kwao ambako hakuna hata kivutio cha utalii na kuweza kunufaisha wengi umeona jinsi ilivyo hasara kwa Taifa ??
Na sababu alisema hakuna wa kumpangia alilolitaka ndilo alolifanya hata kama ni hasara kwa Taifa ??
Na mengineyo.

kama sio Mwenyezi Mungu kuamua kuingilia kati unazani hali mpaka sasa ingekuwaje ??
Pata picha.

Ndio maana nakwambia dictatorship sio nzuri kwa ujumla wake.

Apatikane kiongozi mwenye misimamo mikali kama ya Kamanda Trump.
Trump sio dictator ,
Kule wanamtukana na sababu ya kuelewa maana ya democracy wala hajali yeye anajikita ktk kufanya mambo ya maana yatakayompa legacy ya kihistoria na kutimiza wajibu wale kwa uadilifu na kufuata sheria.
 
Kwanza wakosoaji mara nyingi huwa ni Innocent people.
Wako mbali na mifumo ya wizi na ufisadi wa rasilimali za umma.
Kwanini kiongozi badała ya kuwa weka karibu badała yake utake kuwasakama ??
Kwanini wapotezwe??
Kwanini wauawe ??
Inatarajiwa kwa kiongozi anaependezwa ma uadilifu awe anapendezwa na Watu wa sina hiyo unless iwe vinginevyo.
 
Back
Top Bottom