Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤣 🤣 🤣Kila mtu apambanie tumbo lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣Kila mtu apambanie tumbo lake
🙋♂️🎯👍👌👊👏🤝🙏Heshima, mkuu 'Ngaiwaye'.
Haya uliyo weka hapa kinadharia ndiyo sahihi; kivitendo ni tofauti kabisa.
Kwanza kumbuka, ni Kikwete huyo huyo aliye waondoa wazee wasiwe na mchango wowote tena katika maswala kama haya. Alifanya hivyo kwa maksudi kabisa, kuepukana na maamuzi ya wazee hao.
Sasa wewe leo hii, unamtaka Mwenyekiti, tena mwenye maslahi amkubalie tena mzee ambaye atahatarisha nafasi yake? Inaingia akilini hii?
Hivi unaelewa vizuri madaraka makubwa na ushawishi (wa nguvu/lazima/mabavu) alio nao mwenyekiti na Rais wa nchi hii? CCM na wazee wachovu watatoa wapi nguvu za kumkabili mtu wa aina hiyo, tena huku 'chawa' wakiwa wanamdondoka kila sehemu za mwili wake?
Unakumbuka alicho sema Mwenyekiti na Rais wa nchi hii wakati CHADEMA wanapanga maandamano ya "Utekaji" na kuimba wimbo ambao hawakuwa na uhakika nao wa "Samia Must Go"?
Mwenyekiti alicheka, na kuwaambia "Hawezi Kutoka Kizembe zembe namna hiyo"! Na unakumbuka maandamano ya CHADEMA yalivyo kuwa ya kufana sana!
Haya unayo yaeleza wewe hapa, ni sawa na kumwambia Mwenyekiti aachie ngazi Kizembe. Hilo sahau.
Ni wananchi pekee kwa umoja wao, ndio asioweza kuwazuia kumwondoa hapo alipo; atake au asitake.
Ccm ni one of the best political strategists kwa siasa aina setu dunianiNilishasema na nitaendelea kusema, ukomo wa utawala wa Chura ni 2025 kama atakuwa hai.
Faraja jipe mwenyewe. Jifariji Mkuu.Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.
Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.
Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.
Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.
Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.
Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Labda mamako afungishe virago hpo nyumbani kwenu. Xombie kwl. Tuko na mama mpk 2030Hana chake huyo tunamsubiri by June 2025 aanze kufungasha vilago!!!
Kipindi hiki hatukati tunachinja
Lasivyo tugawane mbao
You might be trueMkuu uzoefu ni tofauti ndani ya CCM.
Hasa kwenye mchakato wa uchaguzi kipindi cha uchaguzi Raisi aliyepo huwa hana uthibiti wa hatma ya kitakachojiri.
Fanya rejea vizuri.
Watanyamazishwa tuli kama maji mtungini !Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.
Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.
Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.
Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.
Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.
Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Hatumtaki mamaTaarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.
Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.
Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.
Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.
Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.
Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Vurugu yote Hiyo ni ya wanaoitwa watoto wa mjini !Natamani kuona majina haya yakitokeza katika hatua ya kuchukua form
•January Makamba
•Luhaga Mpina
Kuamini kwamba atarudi tena kutuongoza Awamu ijayo,
Ni Hadi ujichomoe nyaya kadhaa kichwani.
Ila kiukweli,
HATOGOMBEA!!
Wale wenye Elements za Ufisadi Ufisadi huwa wanazipenda sana Comments za aina hii 😅😂🙏👍Tatizo la jamaa toka kanda ya ziwa wanaonesha kuwa na elements za dictatorship kitu ambacho ni kinyume na Katiba .
Hawataki kukosolewa.
Wanasema hawapangiwi.
Hicho ni kiburi .
Na Imeandikwa; Mungu huwapinga wenye kiburi bali huwapa Neema wajishushao wanyenyekevu wa moyo.
Pia Imeandikwa; hekima itokayo juu Yaani kwa Mungu imejaa Rehema , iko tayari kusikiliza mawazo ya wengine, sasa kwanini useme hupangiwi ??
Nchi hii ni yako binafsi ?
Wewe kama kiongozi si umefanya ya kupewa ridhaa ya wananchi kwa muda uwe kiongozi wao ??
Kwanini unataka kuwa Mtawala badala ya kiongozi wa wananchi ??
Pia Imeandikwa; hekima itokayo juu Yaani kwa Mungu haina unafiki wala fitina .
Ni ya upole sio ukali. N.k
Walio wengi hawamchukii mama wanakichukia chama kilichoondoka kwenye misingi yake nakujivika mavazi ya kondoo.Chama kimeruhusu tabaka la watu matajiri kwa kutumia kodi za wananchi.Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.
Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.
Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.
Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.
Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.
Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Au sio?🤣🤣🤣Ccm ni one of the best political strategists kwa siasa aina setu duniani
Na haijawahi kuacha kushangaza watu type yako
We tuendelee tu kutoa mapovu na kuporojoka mitandaoni but wenye nchi yao wataamua with or without your comment
Na hakuna rais mwingine aliyeandaliwa 2025
Yupo mmoja tu na a nachapa kazi yake sasa
Ataipeleka uarabuni akale pension yakemama ataficha wapi sura yake.
Ni kosa kubwa sana kalifanya kugawa pikipiki kabla ya muda wa kampeni zenye mlengo wa kampeni bora zingebaki na logo ya chama tuu!Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.
Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.
Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.
Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.
Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.
Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.