Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Heshima, mkuu 'Ngaiwaye'.
Haya uliyo weka hapa kinadharia ndiyo sahihi; kivitendo ni tofauti kabisa.
Kwanza kumbuka, ni Kikwete huyo huyo aliye waondoa wazee wasiwe na mchango wowote tena katika maswala kama haya. Alifanya hivyo kwa maksudi kabisa, kuepukana na maamuzi ya wazee hao.
Sasa wewe leo hii, unamtaka Mwenyekiti, tena mwenye maslahi amkubalie tena mzee ambaye atahatarisha nafasi yake? Inaingia akilini hii?
Hivi unaelewa vizuri madaraka makubwa na ushawishi (wa nguvu/lazima/mabavu) alio nao mwenyekiti na Rais wa nchi hii? CCM na wazee wachovu watatoa wapi nguvu za kumkabili mtu wa aina hiyo, tena huku 'chawa' wakiwa wanamdondoka kila sehemu za mwili wake?
Unakumbuka alicho sema Mwenyekiti na Rais wa nchi hii wakati CHADEMA wanapanga maandamano ya "Utekaji" na kuimba wimbo ambao hawakuwa na uhakika nao wa "Samia Must Go"?
Mwenyekiti alicheka, na kuwaambia "Hawezi Kutoka Kizembe zembe namna hiyo"! Na unakumbuka maandamano ya CHADEMA yalivyo kuwa ya kufana sana!

Haya unayo yaeleza wewe hapa, ni sawa na kumwambia Mwenyekiti aachie ngazi Kizembe. Hilo sahau.
Ni wananchi pekee kwa umoja wao, ndio asioweza kuwazuia kumwondoa hapo alipo; atake au asitake.
🙋‍♂️🎯👍👌👊👏🤝🙏
 
Nilishasema na nitaendelea kusema, ukomo wa utawala wa Chura ni 2025 kama atakuwa hai.
Ccm ni one of the best political strategists kwa siasa aina setu duniani

Na haijawahi kuacha kushangaza watu type yako

We tuendelee tu kutoa mapovu na kuporojoka mitandaoni but wenye nchi yao wataamua with or without your comment

Na hakuna rais mwingine aliyeandaliwa 2025

Yupo mmoja tu na a nachapa kazi yake sasa
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Faraja jipe mwenyewe. Jifariji Mkuu.
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Watanyamazishwa tuli kama maji mtungini !
URais ni Taasisi !
Mwenyekiti ndio kila kitu Chamani. !
Mwenye kuwashwawashwa shauri yake ataambulia patupu !
Mama kanyaga twende !
Usiwaangalie Usoni !
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Hatumtaki mama
Hatuitaki CCM

Dawa ni kuiweka CCM pembeni 2025
 
Tatizo la jamaa toka kanda ya ziwa wanaonesha kuwa na elements za dictatorship kitu ambacho ni kinyume na Katiba .
Hawataki kukosolewa.
Wanasema hawapangiwi.
Hicho ni kiburi .
Na Imeandikwa; Mungu huwapinga wenye kiburi bali huwapa Neema wajishushao wanyenyekevu wa moyo.
Pia Imeandikwa; hekima itokayo juu Yaani kwa Mungu imejaa Rehema , iko tayari kusikiliza mawazo ya wengine, sasa kwanini useme hupangiwi ??
Nchi hii ni yako binafsi ?
Wewe kama kiongozi si umefanya ya kupewa ridhaa ya wananchi kwa muda uwe kiongozi wao ??
Kwanini unataka kuwa Mtawala badala ya kiongozi wa wananchi ??
Pia Imeandikwa; hekima itokayo juu Yaani kwa Mungu haina unafiki wala fitina .
Ni ya upole sio ukali. N.k
Wale wenye Elements za Ufisadi Ufisadi huwa wanazipenda sana Comments za aina hii 😅😂🙏👍
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Walio wengi hawamchukii mama wanakichukia chama kilichoondoka kwenye misingi yake nakujivika mavazi ya kondoo.Chama kimeruhusu tabaka la watu matajiri kwa kutumia kodi za wananchi.
 
Ccm ni one of the best political strategists kwa siasa aina setu duniani

Na haijawahi kuacha kushangaza watu type yako

We tuendelee tu kutoa mapovu na kuporojoka mitandaoni but wenye nchi yao wataamua with or without your comment

Na hakuna rais mwingine aliyeandaliwa 2025

Yupo mmoja tu na a nachapa kazi yake sasa
Au sio?🤣🤣🤣

Umeandika kwa hisa kubwa sana kutaka kujiaminisha kuwa you are somebody huko CCM.
Basi sawa.
 
Taarifa ndio hiyo inayotembea ndani ya wana CCM kindaki ndaki.

Ni kwamba 2025, rais Samia itabidi apite kwenye kichujio kwa chama kuruhusu wagombea wengine wachukue form kwa ajili ya kuomba ridhaa ya chama kuwapitisha kuwa wagombea urais kupitia chama hicho tawala.

Mchukano utakuwa mkali sana kwa sababu kuna kambi zaidi ya mbili zenye nguvu zilizo onesha hitaji hilo la kum challenge mama katika nafasi hiyo.

Mzee maarufu wa chama inaonekana yupo upande ambao sio wa rais na hapo ndipo panaonekana patakapoleta mchuano mkali, kwa sababu mwishoni mama atasalitiwa na wale anao amini ndio wabeba siraha zake.

Najiuliza kwa hii staili ya kuji brand kila eneo kwa kuwa matangazok kila eneo, piki piki zenye nembo ya mama nchi nzima halafu wajumbe wa chama wakamtosa kwenye kichang'anyiro cha urais, mama ataficha wapi sura yake.


Kaa kwa kutulia, nafasi ya urais awamu ya 7 imeanza kunoga kuelekea 2025.
Kikubwa mama asisahau kwamba watanganyika bado hatujamalizana nae.
Ni kosa kubwa sana kalifanya kugawa pikipiki kabla ya muda wa kampeni zenye mlengo wa kampeni bora zingebaki na logo ya chama tuu!
 
Back
Top Bottom