Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Je yuko tayari kushiriki Mauaji?Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??