Tetesi: Za ndani kabisa, Biteko kuwa makamu mwenyekiti wa ccm

Tetesi: Za ndani kabisa, Biteko kuwa makamu mwenyekiti wa ccm

Kwa hiyo move nadhani ndio anaandaliwa kuwa makam wa Raid 2025,ni calculated movement,japo sijui kauli ya yule mkuu wa majeshi , General mkunda kama inamhusu huyu jamaa!!

Je Bashungwa atakomesha Teka Teka!!?au kawekwa pale kuwapoza TEC coz jamaa ni kipenzi wa harambee za kanisa namaaskofu!!

Na hiyo move ya kumchafua kinana kupitia huyo Binti imekaaje!!?he ni kweli Born towns wamefyata Kwa kizmkazi!!?

He kizimkazi ana Baraka zote za deep state kwamba by 2025 no yeye !?japo amekiuka maagizo Yao Mengi!!?ikiwemo agizo la Uchaguzi serikali za mitaa usubiri katiba mpya ambayo ilishapaswa kuwa imeanza kuandikwa Hadi wakati huu!!?

He Ile operation Yao ambayo hao deep state waliiahirisha na Sasa wameirejesha yaani "original plan in and out,itafanikiwa yaani code PJLK!!?

Bado mapema Sana ngoia tuone kazi!!
Mtu tishio na 2025 ndio watampa jukumu la awe makamu mwenyekiti asipate nafasi ya kugombea
 
Tulionywa na kiongozi mwandamizi wa vyombo vya ulinzi na mipaka ya nchi kwamba kuna watu wa mataifa mengine wamejipenyeza nchini kwetu na kushika nyadhifa nyeti ndani ya Serikali yetu - Je kauli hii tumeifanyia kazi.
 
Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.

Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Unafutaje kitu ambacho hakijawahi kuandikwa!? Constitutionally!?
 
Back
Top Bottom