Kwa hiyo move nadhani ndio anaandaliwa kuwa makam wa Raid 2025,ni calculated movement,japo sijui kauli ya yule mkuu wa majeshi , General mkunda kama inamhusu huyu jamaa!!
Je Bashungwa atakomesha Teka Teka!!?au kawekwa pale kuwapoza TEC coz jamaa ni kipenzi wa harambee za kanisa namaaskofu!!
Na hiyo move ya kumchafua kinana kupitia huyo Binti imekaaje!!?he ni kweli Born towns wamefyata Kwa kizmkazi!!?
He kizimkazi ana Baraka zote za deep state kwamba by 2025 no yeye !?japo amekiuka maagizo Yao Mengi!!?ikiwemo agizo la Uchaguzi serikali za mitaa usubiri katiba mpya ambayo ilishapaswa kuwa imeanza kuandikwa Hadi wakati huu!!?
He Ile operation Yao ambayo hao deep state waliiahirisha na Sasa wameirejesha yaani "original plan in and out,itafanikiwa yaani code PJLK!!?
Bado mapema Sana ngoia tuone kazi!!