Tetesi: Za ndani kabisa, Biteko kuwa makamu mwenyekiti wa ccm

Tetesi: Za ndani kabisa, Biteko kuwa makamu mwenyekiti wa ccm

Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.

Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Hakuna wengine wenye sifa!
Mrundikano wa vyeo kwa mtu mmoja,kinaitwa nini
 
Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.

Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Mkuu ungesubiri udhibitishe ukweli kuhusu tetesi hizo ndio uzilete huku. Haraka ya nini?? Taratibu ndio mwendo mkuu.
 
Kwa hiyo move nadhani ndio anaandaliwa kuwa makam wa Raid 2025,ni calculated movement,japo sijui kauli ya yule mkuu wa majeshi , General mkunda kama inamhusu huyu jamaa!!

Je Bashungwa atakomesha Teka Teka!!?au kawekwa pale kuwapoza TEC coz jamaa ni kipenzi wa harambee za kanisa namaaskofu!!

Na hiyo move ya kumchafua kinana kupitia huyo Binti imekaaje!!?he ni kweli Born towns wamefyata Kwa kizmkazi!!?

He kizimkazi ana Baraka zote za deep state kwamba by 2025 no yeye !?japo amekiuka maagizo Yao Mengi!!?ikiwemo agizo la Uchaguzi serikali za mitaa usubiri katiba mpya ambayo ilishapaswa kuwa imeanza kuandikwa Hadi wakati huu!!?

He Ile operation Yao ambayo hao deep state waliiahirisha na Sasa wameirejesha yaani "original plan in and out,itafanikiwa yaani code PJLK!!?

Bado mapema Sana ngoia tuone kazi!!
🤔🤔🤔💭🔊
 
Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.

Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Wanyarwanda wanazidi kupandishwa chati tutakuja juta sana huko tuendako sijui kwa nini CCM inawakumbatia sana wahamiaji haramu.
 
Naibu waziri mkuu siyo lazima hiyo nafasi iwepo.kwanza Samia kavunja katiba Kwa kupachika(kuanzisha)cheo ambacho hakipo kikatiba.Anakanyaga katiba Kwa kuwa watanganyika kawaona ni wajinga.
 
Hakuna anayempenda magufuli kanda ya ziwa. Mi nipo hapa mwanza najua hilo
Anapendwa Nchi nzima na Wanyonge ila pia anachukiwa na wapigaji Nchi nzima !



Kila kitu kina positive na negative !
Au nasema uongo ndugu zanguniiiii ??!
 
Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.

Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Samia ni Rais na mwenyekiti wa CCM, inawezekana kwa Biteko kuwa NWM na makamu wa mwenyekiti bara.
 
Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.

Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Jasusi Kagame amefanikiwa kupenyeza wanyarwanda kwenye uongozi wa juu wa nchi yetu, tumekwisha!
 
Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.

Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Swali lako linastaajabisha, kwamba hawezi kuwa makamu mwenyekiti ccm na naibu waziri mkuu at the same time!? Mbona Rais ni Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi?
 
Anapendwa Nchi nzima na Wanyonge ila pia anachukiwa na wapigaji Nchi nzima !



Kila kitu kina positive na negative !
Au nasema uongo ndugu zanguniiiii ??!
Wanyonge ndo wanamchukia sana mana kila kitu kilizinwa mpaka ajira akazimaliza zote na haajiri tena. Unemployment rate iaka rise mpaka 70%. Mama kaipunguza mpaka 20%. Kwa sababu hiyo lazima wanyonge wamchukie. Ila kilindo kile ukimchukia unauawa hivyo watu wakampenda kinafiki
 
Back
Top Bottom