milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Hakuna wengine wenye sifa!Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Mkuu ungesubiri udhibitishe ukweli kuhusu tetesi hizo ndio uzilete huku. Haraka ya nini?? Taratibu ndio mwendo mkuu.Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
π€£ π€£ π€£Huenda ndiye Rais ajaye baada ya Mama kumaliza muhula wake.
π€π€π€ππKwa hiyo move nadhani ndio anaandaliwa kuwa makam wa Raid 2025,ni calculated movement,japo sijui kauli ya yule mkuu wa majeshi , General mkunda kama inamhusu huyu jamaa!!
Je Bashungwa atakomesha Teka Teka!!?au kawekwa pale kuwapoza TEC coz jamaa ni kipenzi wa harambee za kanisa namaaskofu!!
Na hiyo move ya kumchafua kinana kupitia huyo Binti imekaaje!!?he ni kweli Born towns wamefyata Kwa kizmkazi!!?
He kizimkazi ana Baraka zote za deep state kwamba by 2025 no yeye !?japo amekiuka maagizo Yao Mengi!!?ikiwemo agizo la Uchaguzi serikali za mitaa usubiri katiba mpya ambayo ilishapaswa kuwa imeanza kuandikwa Hadi wakati huu!!?
He Ile operation Yao ambayo hao deep state waliiahirisha na Sasa wameirejesha yaani "original plan in and out,itafanikiwa yaani code PJLK!!?
Bado mapema Sana ngoia tuone kazi!!
.......... π€ππMpaka mambo yaharibike.sana. JK
π²π²π²Jimboni kwake kaua sana wapinzani wake wa ubunge. Ni muuaji mzoefu.
π€£ π€£ π€£Unanijua mm ni nani? Huongei na vilaza wa ccm hapa.
π€£π€£π€£hayo mambo ya kujimwambafai humu jukwaani si ya kizamani sana aise π€£
kwamba ndio unanitisha au unanifokea?π€£
eti kwani unajua mi nan?π€£
Wanyarwanda wanazidi kupandishwa chati tutakuja juta sana huko tuendako sijui kwa nini CCM inawakumbatia sana wahamiaji haramu.Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Hakuna anayempenda magufuli kanda ya ziwa. Mi nipo hapa mwanza najua hiloHilo linawezekana sababu kubwa ni kanda ya ziwa ina wapiga kura.wengi na kivuli cha magufuli kinaendelea kuwatesa ccm.
Miradi yote wanaendeleza vision and legacy ya magufuli japo hata stendi inawashinda kuiendesha
Hakuna mwenye ubavu wa kuchapisha fomu zaidi ya moja ! πAwe tu yeyote yule. Ila, habari za fomu moja ya urais hatutaki. Kila mtu ajipime ubavu hakuna mambo ya kudra
Anapendwa Nchi nzima na Wanyonge ila pia anachukiwa na wapigaji Nchi nzima !Hakuna anayempenda magufuli kanda ya ziwa. Mi nipo hapa mwanza najua hilo
Duh π ! π±Je yuko tayari kushiriki Mauaji?
Samia ni Rais na mwenyekiti wa CCM, inawezekana kwa Biteko kuwa NWM na makamu wa mwenyekiti bara.Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Jasusi Kagame amefanikiwa kupenyeza wanyarwanda kwenye uongozi wa juu wa nchi yetu, tumekwisha!Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Swali lako linastaajabisha, kwamba hawezi kuwa makamu mwenyekiti ccm na naibu waziri mkuu at the same time!? Mbona Rais ni Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi?Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Wanyonge ndo wanamchukia sana mana kila kitu kilizinwa mpaka ajira akazimaliza zote na haajiri tena. Unemployment rate iaka rise mpaka 70%. Mama kaipunguza mpaka 20%. Kwa sababu hiyo lazima wanyonge wamchukie. Ila kilindo kile ukimchukia unauawa hivyo watu wakampenda kinafikiAnapendwa Nchi nzima na Wanyonge ila pia anachukiwa na wapigaji Nchi nzima !
Kila kitu kina positive na negative !
Au nasema uongo ndugu zanguniiiii ??!
Umeandika upuuzi.Hakuna anayempenda magufuli kanda ya ziwa. Mi nipo hapa mwanza najua hilo
Hata na ukatibu mkuu apewe nyongeza. Niuamuzi tukwani inashindikana kua Naibu waziri mkuu na vile vile ukawa Makamu mwenyekiti wa CCM bara?π