Hbzoo
JF-Expert Member
- May 30, 2018
- 246
- 370
We wazazi wako walikuachua nini?Elimu pekee haitoshi.
Dunia ya sasa mtoto unatakiwa umuachie na Miradi ya kuzalisha Mali mbali na elimu yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We wazazi wako walikuachua nini?Elimu pekee haitoshi.
Dunia ya sasa mtoto unatakiwa umuachie na Miradi ya kuzalisha Mali mbali na elimu yake.
Wewe ndio mpumbavu,Maandiko yanasema Enendeni mkazaane muijaze duniaWakiambiwa uzazi wa mpango wanasema mabeberu wanataka tusizae watutawale ,what a stupid argument ,kuna watu ni wapumbaf nchi hii basi tu
Maisha ni siri mdogo wangu haijalishi umesoma kiasi gan,Huyo unae mpeza Ali aliwai kusema yeye kasomeshwa na mama yake ambae alikuwa anauza gongo uku akitembeza samaki.Na mwishowe kuwa RaisKuna mtawala mmoja aliwahi kutawala Tanzania huku sijui akiwa amesahau kauli ya Rais ina Power pia ni Sheria alitamka kwenye mkutano wa hadhara kwamba "watanzania zaeni sana" nikajiuliza kwani nchi ina uhaba wa watu? maana mimi ninavyojua Watu ni rasilimali ya nchi pia katika kukuza Maendeleo.
Tanzania ina watu wa kutosha na wengi hawana ajira ni majobless. hujawapa kazi hawa bado unataka watu wazae he was not serously!
Rafiki yangu mmoja ana watoto saba mama tofauti anaishi nyumba ya kupanga he have not stability of finacial. aysee hapana watoto tunawapenda lakini tuangaliale na utaraibu wa kuzaa jamani nadhani hata na uelewa wengi hawana.
hakuna mashamba kama zamani ya kulima nowadays ushindani wa ajira ni mkali sana. ukuwaji wa technology kila kukicha unakuwa na wengi wanapoteza ajira due to ukuwaji wa tehema.
hata huko dunia yatatu wanao jitia kuzaa mtoto 1 mwisho 2 lakini kutumikishwa kuko pale pale viwandani migodini nk awezekani nyote muwe matajiri nani atakae mtumikisha mwenzie leo tunashudia watu waliozaliwa kwenye familia zenye watoto wengi ndio wanaomiliki vipato tunashudia mtu mwenye watoto 2 anaomba msaada kwa mtu mwenye watoto 10 kuzaa watoto wengi sio sababu ya umasikini na kuzaa watoto 2 sio sababu ya utotumikishwa kupata na kukosa yote mipango yake allahZAA KWA MAHESABU, SIO UZAE WATOTO WAJE KUFANYWA WATUMWA HUKU DUNIANI!
Anaandika, Robert Heriel
Shahidi!
UTUMWA!
Usukule!
Kutumwa tumwa! Kuvujishwa jasho pasipo malipo, Kulambishwa mavumbi ya viatu pasipo utu. Kuimba pambio katika wimbo wa walao nchi.
Manamba na vibarua wa mashamba, HAO ndio utakaowazaa waje kujambishwa na watoto wa wenzako? Sitaki majibu Yako hapa! Baki nayo.
Zaa Kwa Hesabu zenye jawabu. Sio uzae kama panya, kuzaa watoto wengi Kwa Zama hizi bila Hesabu sio tuu kukosa upendo Bali ni ukatili Kwa watoto wako.
Katika ulimwengu WA teknolojia na Ujuzi na maarifa wingi sio hoja Bali vioja.
Unakuwa na watoto wengi ambao wanatumikishwa kwenye viwanda Kama randa la mbao ndivyo wanavyoranda Randa wakinuka jasho.
Nazaa watoto Saba, najiita kidume kwenye mfumo dume.
Taikon sina shamba wala kiwanja, lakini ninawatoto Saba.
Haipendezi kuzaa watoto waje watumikishwe na kuteswa alafu mzazi bila aibu nawe Kwa ukatili mtoto unamnyonya zaidi mwanao licha yakuwa kipato chake ni duni.
Huo ni ukatili, unyanyasaji na ukosefu wa utu.
Tuzae Kwa Hesabu.
Watoto ambao tunauwezo wa Kuwatunza na kuwaandalia maisha MAZURI na Urithi ili wasiwe Watumwa.
Sio unazaa wapiga Kura wa watoto wa wenzako waluoandaliwa.
Sio anazaa watoto ambao watakuja kuwa vibarua.
Sisemi Kwa ubaya, au kupangia mtu Maisha.
Ila Kwa kweli hakuna kitu kibaya Kwa mzazi mwenye upendo kuona umezaa watoto ambao umewaleta kuja kuteseka na kuteswa na wanadamu wengine.
Mzazi asiye na upendo WA dhati hawezi ona uchungu Kwa mwanaye.
Kwani wengi huzaa Kwa ubinafsi wao tuu. Wakitaka watoto wao waje wawasaidie baadaye lakini hawataki kuwaandaa watoto hao kuishi maisha MAZURI.
Huo ni Ubinafsi na ukatili.
Kama huna uwezo wa kuandaa watoto waishi maisha mazuri, zaa Kwa hesabu. Watoto wachache wanaokutosha.
Jitahidi uangalie Quality zaidi kuliko Quantity.
Sio mtu unajivunia unawatoto wengi lakini watoto uliozaa ni Watumwa, misukule, na watu wanaoteswa na watu wengine.
Zamani watu walizaa watoto wengi Kwa sababu walikuwa wanauwezo wa kuwarithisha mashamba, maboma, na Urithi mwingine.
Lengo jingine na kuleta nguvu kazi katika jamii.
Lakini vipi Zama za leo?
Je tutazaa Kondoo wengi ambao wataongozwa na Simba mmoja?
Au tutazaa Simba mmoja kuongozwa Kondoo wengi?
Au tutazaa Simba wengi kutawala Mbuga?
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
hakuna ajue kesho yake masini na watoto tajiri na mali yake kama wewe umekosa mali sio ajabu ukaja pata utajiri kupitia kwa wanaoKuna watu hawajali,
Wanaona kabisa Hali ngumu, wanaona kabisa hawana vitu vya kuwarithisha watoto wao, hasa Ardhi na mashamba ya uzalishaji,
Wanajiona kabisa wao ni misukule au Watumwa wanalipwa mishahara ya punda, lakini bado mtu anazaa watoto wengi ili wapatikane vibarua wengi zaidi wakutumikishwa.
Hiyo ni laana.
Kuzaa watoto wengi ni Enzi zile Ardhi ipo ya kutosha. Tena yenye rutuba. Unawakatia tuu vipande watoto wako.
Lakini siku hizi tabia ya nchi sio rafiki, hata ukimpa mtoto shamba bado anaweza kuhenyeshwa
ukweli ndio huo ujawai kuona mtu masikini kizazi chke kikamtoa tajiri?Utaambiwa kila mtoto anakuja na sahani yake
hakuna anae jua mtoto wake baadae atakuwa nani mtoto mdogo atabiliki anaweza kuwa tajiri au masikiniTatizo sahani nyingi zipo kwenye Meza ya usukule na utumwa.
Yaani kuna maisha Kwa kweli ukiyatathmini halafu uone watoto wako wanayaishi Kwa kweli unaweza kufa Kwa kihoro
huo ni mtazamo wa kijinga hakuna ajuae kesho yake wengi walizaa watoto wao wakawalea kwa dhiki sana mlo 1 lakini watoto hao walikuja kuwa matajiri wakawakomboa wazazi wao nawapo walio zaliwa kwenye familia za mboga saba lakini baadae walikufa masikini hakuna ajuae kesho yakeSio tu kuzaa watoto wengi mimi kwangu hata kuzaa kwenyewe tu sitamani.
Dunia na ulimwengu wa sasa sio salama tena kwa binadamu sanasana watoto sanasana watoto wa kike na wa kiume.
Mimi kwa upande wangu ni bora niteseke kwa hali yeyote ile nipambane kwa namna yeyote na ikitokea nikafa basi nife mwenyewe kuliko kufa na kukiacha kizazi changu kiendelee na mambo kama haya ya kwangu.
Wewe ndio mpumbavu,Maandiko yanasema Enendeni mkazaane muijaze dunia
hacha kujifariji huyo unae mzalau huwezi kujua hao watoto wake baadae watakuwa wakina nani duniani hapa hata hao watoto wako ujui watakuwaje wakikuaMimi hawa wawili wanatosha, kuna jamaa mmoja hivi anao wanne, hana shamba, kapanga nyumba, mke wake ni house wife, unene sio afya lakini jamaa hata kamwili kuja hakuna na yuko kazini tena serikalini zaidi ya miaka kumi, ameajiriwa ndio lakini ajira mbuzi ndio maana ana mahasira muda wote na anahangaika na maushirikina ili apate ubosi wakati Hana connection
hakuna anae jua mtoto wake baadae atakuwa nani mtoto mdogo atabiliki anaweza kuwa tajiri au masikini
wasukuma kweli wanazaliana nenda mwanza geita shinyanga simiyu bariadi kisapu kilombelo baadhi ya mkoa wa mbea sumba wanga igunga tabora nzega kutoa ngozi nyeupe katika ngozi nyeusi wao ndio wanamiliki uchumi, chunguza kabila hili la wasukuma hili ujifunze kuzaa watoto wengi sio sababu ya kuwa masikini kuzaa watoto 2 sio kigezo cha kuwa tajiri tembea uone
Basi nawaombea waje kuwa maraisi au vipihacha kujifariji huyo unae mzalau huwezi kujua hao watoto wake baadae watakuwa wakina nani duniani hapa hata hao watoto wako ujui watakuwaje wakikua
endelea kuwaonea huruma lakini ujui wakikua maisha yao yatakuwaje usije shangaa huyu mwenye watoto wengi akatoa watu wenye majina makubwa wewe unao waonea huruma watoto wako wakenda tumikishwaMimi sijasema kabila hapa.
Ila nashangaa mtu anamatambo anawatoto wengi lakini ukiwatazama HAO watoto unabaki kuwaonea huruma.
hakikaWewe Robert achana na sisi.
Fahari ya maskini ni watoto.
Utajiri wa maskini ni watoto.
huo usemi uwezi jua maana yake katuKatika kitu nimekataa kukubaliana nacho ni hichi, uzae mtoto bila kuwa na mipango thabiti ya kumlea, uje ujipe moyo kila mtoto anakuja na sahani yake, hapana kwa kweli..!
hakuna ajua kesho yake nduguNchi zetu hizi za kifala, kuzaa zaa tu bila kuwa mikakati juu ya unaowaleta duniani ni ufala...
Ndio unaona sasa vilio vimeatawala kama vya bima za afya, ada za shule(ingawaje kiasi zimeondolewa) n.k
unajiona mjanja kumbe""""""""""""""Baadae aje kujisifu kweny vibanda vya kahawa " watoto wangu nimewalelea kwa tabu" kumbe tabu kazitafuta mwenyewe