Zaa kwa mahesabu, sio uzae watoto waje kufanywa Watumwa huku Duniani

Zaa kwa mahesabu, sio uzae watoto waje kufanywa Watumwa huku Duniani

Ni rahisi kujua mtoto Watoto wako watakuwa Nani kama hufanyi maandalizi.
Mtoto anakuwa vile anavyoandaliwa.
akili zako bado zinaona hapo ulipo simama tu wapo walio andaliwa kufanya kazi fulani lakini akuifanya

wapo walio zaliwa wazazi wao awakuwaandaalia jambo lolote baadae lakini baadae walimiliki uchumi mkubwa mfano iko mingi tu hakuna ajua kesho yake
 
endelea kuwaonea huruma lakini ujui wakikua maisha yao yatakuwaje usije shangaa huyu mwenye watoto wengi akatoa watu wenye majina makubwa wewe unao waonea huruma watoto wako wakenda tumikishwa

Unazaa Kwa Ku-bet😂😂

Dunia ya sasa mtoto anaandaliwa na kuwekewa mifumo ili aje awe MTU Fulani.
Na mifumo yenyewe inahitaji gharama.
Sasa unazaa Watoto 10 hiyo mifumo huimudu gharama zake huoni kama unakuja kuwatesa watoto
 
Maisha ni siri mdogo wangu haijalishi umesoma kiasi gan,Huyo unae mpeza Ali aliwai kusema yeye kasomeshwa na mama yake ambae alikuwa anauza gongo uku akitembeza samaki.Na mwishowe kuwa Rais
kweli kabisha mdano kikwete mama samia muhammad shein rais msitafu wa zanziba hawa ni baadhi ya watu maarufu walio zaliwa katika familia za watu wengi mfano magufuli alikuwa akiuza maziwa mitaani tena kwa basikili ripumba kaziliwa kwa familia ya watu wengi babake alikuwa mkata mkaa na kuchoma na kuuza mitaani hawa vijana kinacho waaribu ni kukalili maisha ya wazungu
 
ZAA KWA MAHESABU, SIO UZAE WATOTO WAJE KUFANYWA WATUMWA HUKU DUNIANI!

Anaandika, Robert Heriel
Shahidi!

UTUMWA!
Usukule!
Kutumwa tumwa! Kuvujishwa jasho pasipo malipo, Kulambishwa mavumbi ya viatu pasipo utu. Kuimba pambio katika wimbo wa walao nchi.

Manamba na vibarua wa mashamba, HAO ndio utakaowazaa waje kujambishwa na watoto wa wenzako? Sitaki majibu Yako hapa! Baki nayo.

Zaa Kwa Hesabu zenye jawabu. Sio uzae kama panya, kuzaa watoto wengi Kwa Zama hizi bila Hesabu sio tuu kukosa upendo Bali ni ukatili Kwa watoto wako.

Katika ulimwengu WA teknolojia na Ujuzi na maarifa wingi sio hoja Bali vioja.

Unakuwa na watoto wengi ambao wanatumikishwa kwenye viwanda Kama randa la mbao ndivyo wanavyoranda Randa wakinuka jasho.

Nazaa watoto Saba, najiita kidume kwenye mfumo dume.
Taikon sina shamba wala kiwanja, lakini ninawatoto Saba.

Haipendezi kuzaa watoto waje watumikishwe na kuteswa alafu mzazi bila aibu nawe Kwa ukatili mtoto unamnyonya zaidi mwanao licha yakuwa kipato chake ni duni.
Huo ni ukatili, unyanyasaji na ukosefu wa utu.

Tuzae Kwa Hesabu.
Watoto ambao tunauwezo wa Kuwatunza na kuwaandalia maisha MAZURI na Urithi ili wasiwe Watumwa.

Sio unazaa wapiga Kura wa watoto wa wenzako waluoandaliwa.
Sio anazaa watoto ambao watakuja kuwa vibarua.

Sisemi Kwa ubaya, au kupangia mtu Maisha.
Ila Kwa kweli hakuna kitu kibaya Kwa mzazi mwenye upendo kuona umezaa watoto ambao umewaleta kuja kuteseka na kuteswa na wanadamu wengine.
Mzazi asiye na upendo WA dhati hawezi ona uchungu Kwa mwanaye.

Kwani wengi huzaa Kwa ubinafsi wao tuu. Wakitaka watoto wao waje wawasaidie baadaye lakini hawataki kuwaandaa watoto hao kuishi maisha MAZURI.
Huo ni Ubinafsi na ukatili.

Kama huna uwezo wa kuandaa watoto waishi maisha mazuri, zaa Kwa hesabu. Watoto wachache wanaokutosha.

Jitahidi uangalie Quality zaidi kuliko Quantity.
Sio mtu unajivunia unawatoto wengi lakini watoto uliozaa ni Watumwa, misukule, na watu wanaoteswa na watu wengine.

Zamani watu walizaa watoto wengi Kwa sababu walikuwa wanauwezo wa kuwarithisha mashamba, maboma, na Urithi mwingine.
Lengo jingine na kuleta nguvu kazi katika jamii.
Lakini vipi Zama za leo?

Je tutazaa Kondoo wengi ambao wataongozwa na Simba mmoja?
Au tutazaa Simba mmoja kuongozwa Kondoo wengi?
Au tutazaa Simba wengi kutawala Mbuga?

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mitoto mingi ya dadii ni mipunga, ila wengi waliokulia wakiuta bhabhaa ni vichwa sana. Chunguza umewai sikia mateja bushi? Mitoto hyo mnazaa kamoja ama tuwili yanakua mapunga usipime. Nakuapia life becomes soft when you pass through husling situations. Watoto wengi vichwa ni wale walipractrice Darwin theory of survival!!
 
Unazaa Kwa Ku-bet[emoji23][emoji23]

Dunia ya sasa mtoto anaandaliwa na kuwekewa mifumo ili aje awe MTU Fulani.
Na mifumo yenyewe inahitaji gharama.
Sasa unazaa Watoto 10 hiyo mifumo huimudu gharama zake huoni kama unakuja kuwatesa watoto
kitu kibaya ni kukata tamaa lakini kama ujakata tamaa alimumuhimu nikuzaa tu mbaya nikufatanisha watoto kila mwaka lakini kama itafatwa kanuni mtoto anyonye miaka 2 kisha kutafuta mimba hakuna mbaya

wapo amabo walizaliwa kwenye familia zenye watoto wengi na awakuandaliawa lakini walipo kuwa walipata majina makubwa tu mfano mafufuli mzazi wake alimuanda lini kuwa mbunge mpaka waziri kisha rais mama samia nawengine wengi kama hao

ruasa alijiandaa kwa gharama kubwa na kubebwe na hela lakini alishia wapi memba na wengine kama hao muhimu kupambana tu na kulewa watoto kadili ya uwezo sisi ni wasemaji tu hakuna ajua kesho yake itakuwa hasa kwa watoto wake
 
Mleta mada alichomaanisha ni kuzaa na kutimiza wajibu wako kama mzazi, kusomesha, sehemu ya kulala watoto ni kwako maana Kuna mtu anazaa Kisha anatapanya watoto wakalale kwa ndungu au majirani, chakula watoto wanapata vizuri na mavazi pia na siyo kumuandaa mtoto awe raisi hiyo ni mipango ya baadaye inayotokea wakati mtoto akiwa mkubwa, lakini mazingira ya ukuaji wa mtoto mzazi analazimishwa kumhudumia mtoto, kufundisha heshima na maadili mema na hapa kinachozingatiwa na mzazi kutimiza wajibu wako kulea uzao wako.
 
kitu kibaya ni kukata tamaa lakini kama ujakata tamaa alimumuhimu nikuzaa tu mbaya nikufatanisha watoto kila mwaka lakini kama itafatwa kanuni mtoto anyonye miaka 2 kisha kutafuta mimba hakuna mbaya

wapo amabo walizaliwa kwenye familia zenye watoto wengi na awakuandaliawa lakini walipo kuwa walipata majina makubwa tu mfano mafufuli mzazi wake alimuanda lini kuwa mbunge mpaka waziri kisha rais mama samia nawengine wengi kama hao

ruasa alijiandaa kwa gharama kubwa na kubebwe na hela lakini alishia wapi memba na wengine kama hao muhimu kupambana tu na kulewa watoto kadili ya uwezo sisi ni wasemaji tu hakuna ajua kesho yake itakuwa hasa kwa watoto wake
Mtu mzima kwa Sheria za nchi ni baada ya miaka kumi na nane huyo siyo mtoto tena na kama hasomi basi anarusiwa kuanza kujitegemea kama mtu mzima mwenye maamuzi yake na hata mzazi unapojadiliana naye unatakiwa ujadiliane naye kama mtu mzima na siyo mtoto tena sanasana kinachoangaliwa akiwa mtoto mzazi alimlea katika njia zipi za maadili, Sasa hapo kwa huyo Lowasa kutaka uraisi hilo lilikuwa nje ya wazazi wake maana alifanya kama mtu mzima mwenye maamuzi yake yaani inaitwa kujaribu bahati kwa jambo flani hapo Kuna kufanikiwa au kukosa, hivyo mzazi hatakiwi kuandaa mtoto eti awe Raisi kwa lazima Bali mzazi anatakiwa kutimiza wajibu wake wa matunzo Bora kwa mtoto.
 
Maneno ya kipumbavu kabisa yale [emoji23]
wewe ndie mpumbafu usie jua maana ya kila mtoto uzaliwa akiwa kapangiwa liziki yake sio saani yake

hata wewe ulisha pangiwa liziki yako ndio maana maisha yako ulionayo uwezi kuyafanya unavio taka wewe mfano kama una miliko mtaji wa m 20 uwezi kulamisha ikwa b 1 kwa sababu sio liziki yako

kama wewe ni mwalimu uwezi kulazima mshahara wa samia kwa sababu sio liziki yako lamuhimu kufanya kazi na kuzaa tu ajue kesho ni muumba tu ukweli kila mtu anapangiwa liziki yake na muumba wake sio binadamu mwenzie kama mnavio dhani mlio wengi ndio maana zaeni muijaze dunia
 
Mtu mzima kwa Sheria za nchi ni baada ya miaka kumi na nane huyo siyo mtoto tena na kama hasomi basi anarusiwa kuanza kujitegemea kama mtu mzima mwenye maamuzi yake na hata mzazi unapojadiliana naye unatakiwa ujadiliane naye kama mtu mzima na siyo mtoto tena sanasana kinachoangaliwa akiwa mtoto mzazi alimlea katika njia zipi za maadili, Sasa hapo kwa huyo Lowasa kutaka uraisi hilo lilikuwa nje ya wazazi wake maana alifanya kama mtu mzima mwenye maamuzi yake yaani inaitwa kujaribu bahati kwa jambo flani hapo Kuna kufanikiwa au kukosa, hivyo mzazi hatakiwi kuandaa mtoto eti awe Raisi kwa lazima Bali mzazi anatakiwa kutimiza wajibu wake wa matunzo Bora kwa mtoto.
[emoji106]
 
Mleta mada alichomaanisha ni kuzaa na kutimiza wajibu wako kama mzazi, kusomesha, sehemu ya kulala watoto ni kwako maana Kuna mtu anazaa Kisha anatapanya watoto wakalale kwa ndungu au majirani, chakula watoto wanapata vizuri na mavazi pia na siyo kumuandaa mtoto awe raisi hiyo ni mipango ya baadaye inayotokea wakati mtoto akiwa mkubwa, lakini mazingira ya ukuaji wa mtoto mzazi analazimishwa kumhudumia mtoto, kufundisha heshima na maadili mema na hapa kinachozingatiwa na mzazi kutimiza wajibu wako kulea uzao wako.
anae zaa hivio afai kabisa
 
Mitoto mingi ya dadii ni mipunga, ila wengi waliokulia wakiuta bhabhaa ni vichwa sana. Chunguza umewai sikia mateja bushi? Mitoto hyo mnazaa kamoja ama tuwili yanakua mapunga usipime. Nakuapia life becomes soft when you pass through husling situations. Watoto wengi vichwa ni wale walipractrice Darwin theory of survival!!
hoja yako nzuli tatizo lako ujui kiswahili unajua kingereza tu
 
wewe ndie mpumbafu usie jua maana ya kila mtoto uzaliwa akiwa kapangiwa liziki yake sio saani yake

hata wewe ulisha pangiwa liziki yako ndio maana maisha yako ulionayo uwezi kuyafanya unavio taka wewe mfano kama una miliko mtaji wa m 20 uwezi kulamisha ikwa b 1 kwa sababu sio liziki yako

kama wewe ni mwalimu uwezi kulazima mshahara wa samia kwa sababu sio liziki yako lamuhimu kufanya kazi na kuzaa tu ajue kesho ni muumba tu ukweli kila mtu anapangiwa liziki yake na muumba wake sio binadamu mwenzie kama mnavio dhani mlio wengi ndio maana zaeni muijaze dunia
Fyatua watoto wa kutosha ikiwa una uwezo wa kuwahudumia kikamilifu na malezi bora na sio kuwafyatua ovyo kwa kigezo riziki yake ipo. Na huu upumbavu umetamalaki baadhi ya makabila.
 
ZAA KWA MAHESABU, SIO UZAE WATOTO WAJE KUFANYWA WATUMWA HUKU DUNIANI!

Anaandika, Robert Heriel
Shahidi!

UTUMWA!
Usukule!
Kutumwa tumwa! Kuvujishwa jasho pasipo malipo, Kulambishwa mavumbi ya viatu pasipo utu. Kuimba pambio katika wimbo wa walao nchi.

Manamba na vibarua wa mashamba, HAO ndio utakaowazaa waje kujambishwa na watoto wa wenzako? Sitaki majibu Yako hapa! Baki nayo.

Zaa Kwa Hesabu zenye jawabu. Sio uzae kama panya, kuzaa watoto wengi Kwa Zama hizi bila Hesabu sio tuu kukosa upendo Bali ni ukatili Kwa watoto wako.

Katika ulimwengu WA teknolojia na Ujuzi na maarifa wingi sio hoja Bali vioja.

Unakuwa na watoto wengi ambao wanatumikishwa kwenye viwanda Kama randa la mbao ndivyo wanavyoranda Randa wakinuka jasho.

Nazaa watoto Saba, najiita kidume kwenye mfumo dume.
Taikon sina shamba wala kiwanja, lakini ninawatoto Saba.

Haipendezi kuzaa watoto waje watumikishwe na kuteswa alafu mzazi bila aibu nawe Kwa ukatili mtoto unamnyonya zaidi mwanao licha yakuwa kipato chake ni duni.
Huo ni ukatili, unyanyasaji na ukosefu wa utu.

Tuzae Kwa Hesabu.
Watoto ambao tunauwezo wa Kuwatunza na kuwaandalia maisha MAZURI na Urithi ili wasiwe Watumwa.

Sio unazaa wapiga Kura wa watoto wa wenzako waluoandaliwa.
Sio anazaa watoto ambao watakuja kuwa vibarua.

Sisemi Kwa ubaya, au kupangia mtu Maisha.
Ila Kwa kweli hakuna kitu kibaya Kwa mzazi mwenye upendo kuona umezaa watoto ambao umewaleta kuja kuteseka na kuteswa na wanadamu wengine.
Mzazi asiye na upendo WA dhati hawezi ona uchungu Kwa mwanaye.

Kwani wengi huzaa Kwa ubinafsi wao tuu. Wakitaka watoto wao waje wawasaidie baadaye lakini hawataki kuwaandaa watoto hao kuishi maisha MAZURI.
Huo ni Ubinafsi na ukatili.

Kama huna uwezo wa kuandaa watoto waishi maisha mazuri, zaa Kwa hesabu. Watoto wachache wanaokutosha.

Jitahidi uangalie Quality zaidi kuliko Quantity.
Sio mtu unajivunia unawatoto wengi lakini watoto uliozaa ni Watumwa, misukule, na watu wanaoteswa na watu wengine.

Zamani watu walizaa watoto wengi Kwa sababu walikuwa wanauwezo wa kuwarithisha mashamba, maboma, na Urithi mwingine.
Lengo jingine na kuleta nguvu kazi katika jamii.
Lakini vipi Zama za leo?

Je tutazaa Kondoo wengi ambao wataongozwa na Simba mmoja?
Au tutazaa Simba mmoja kuongozwa Kondoo wengi?
Au tutazaa Simba wengi kutawala Mbuga?

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hakuna ajuaye kesho au baada ya masaa mawili nin kitatokea punguza ujuaji
 
Tatizo linakuja kwa hao hao wawili, je akitokea mmoja akawa shoga? Wewe hauoni tatizo lake litakuwa limesababishwa na ujinga wangu?

Ni pia nina imani hata nikizaa mmoja sitakuwa na plan ya kumfanya huyo huyo mmoja kuja kuwa simba atakayeongoza kundi la ng'ombe msituni.

Bado atakuwa maskini na mwenye magonjwa kibao
Serikali ina kazi kufuga watu wajinga kama wewe na wewe unapata huduma zote za serikali ?

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom