Haina maana ukichanja Uviko ndo unakuwa safe 100% mzee hii ndo unasikiaga homa ya dunia
Na kuna tetesi kitaani ya kwamba ile team ya waunda virus vya Uviko wote washakufa Hivyo kinachofanyika kwa sasa ni wakati mataifa makubwa kupiga deal
Ng'ang'ania kuchaja shekh ili uepuke kifo[emoji3][emoji3]