TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

Sasa kwanini useme wapiganiji wa uchawi ndo wachawi ?
Hapa pia usiponielewa basi kila Mtu aamini anavyoamini [emoji116]

2 WAKORINTHO 11:14-15.

Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Zahara alilishwa sumu ya kichawi
Ma-dr Hawa ni wa pekee,wameona uchawi kwa vipimo vya kisayansi,. Mungu amrehemu dada huyu,sauti yake nzuri as if ana miaka 17,



Naendelea kuamini south Africa Wana roho mbaya, ni baada ya kusoma nyuzi mbili za Hawa jamaa ndani ya wiki Moja,,,

Ntawahusia wanangu hata maisha yakiwagonga wasiende south
 
Nimesoma kwny mwananchi online..kwamba alikua mlevi mnooo..na alishapewa onyo kuhusu pombe..maybe alipitia depression akaamua kuwa mlevi..ila wasanii wana maisha ya stress sana behind the camera...alijisemea Vanessa Mdee kuliko kuja kujiingiza kwny pombe na madawa kupoteza mawazo bora a quit the game....
 
Kunywa kangweso kupita kiasi ndio imechukua maisha yake na ini kufeli hakuna kurogwa
 
Mwezi wa Desemba ni mwezi wa mbaya sana kuliko miezi yote. Sifahamu kwa nini, yaani ni vifo na ajali, Tuwe makini .
Hii habari imenisikitisha.RIP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…