Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
"Sio mara ya Kwanza huyo Manara kuongea vitu ya ovyo, mimi ni Mkongomani, mimi ni mwalimu wa timu ya Taifa , AS Vita ina wachezaji wanne national timu. . Kocha mkuu wa AS Vita ni kocha mwenzangu national team, Kiongozi wa msafara wa AS Vita ndiye kiongozi wa shirikisho la soka Congo ambalo ndio wameniajiri timu ya taifa hivyo ni kiongozi wangu. . huyo Manara kwa akili yake haoni umuhimu wa mimi kwenda kuwasalimia? eti kisa nimeajiriwa Tanzania huo ni upumbavu kabisa. . kipi ninachoweza kukichezesha ama kupanga nikiwa karibu yao. . kocha wa Vita ana video zaidi ya 16 za Simba. . ANAOGOPA NINI?? sasa huyu mpumbavu Haji Manara yeye ni nani mpaka asitake nisisalimiane na wachezaji wangu, viongozi wangu na mwalimu mwenzangu, ANAOGOPA NINI? nimeshindwa kwenda Iringa kwa kuwa timu ya Taifa inaingia kambini jumapili na kuanza mazoezi jumatatu. . ntarudi kutoka Iringa lini na ntakamata ndege lini ili niwasili Congo jumapili?"
- Mwinyi Zahera. (Kocha wa Yanga SC)
Sent using Jamii Forums mobile app
- Mwinyi Zahera. (Kocha wa Yanga SC)
Sent using Jamii Forums mobile app