Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanasema ata jeneza liwe zuri vp haliweza kumfanya alie hai atamani kufa!Kuna watu wamepanic aiseee. Msimuonee wivu aliye ndani ya jeneza
Maunda tangu zamani ni mkristo alifata din ya mama yake, hata banana mda mwingine alikuwa anafata ya mama akaja ya baba yakeMzee Zahir zoro ni muislam asiyeuishi uislam. Maunda alibadili dini kuwa mkristo sababu aolewe na alikuwa aolewe ndoa ya kikatoliki hivi karibuni
Sio kweli maunda tangu zamani ni mkristo coz mama yake alikuwa mkristo safi ni sawa na kasim majaliwa na mkewe na wanawe kuna watoto wa majaliwa nasikia wamefata kwa mama, au ummy mwalimu na watoto wake coz mme wake ni mkristo safi so watoto wa ummy wote majina yao yanaashiria ni wakristoMarehem alibadilisha dini maana mmewe ni mkristo
Baba wa marehem ni muislam
Mi nimembadili muarabu na kawa mkristo safii na anapenda church vibaya mno huko kwao wanabanwa sanaNa Mimi nataka nimbadili dini mtoto mmoja hv mashallah
Huwa wanasema ata jeneza liwe zuri vp haliweza kumfanya alie hai atamani kufa!
We jamaa una akili sana hufai kuishinchi za dunia ya 3 wala ya 2Dini yake inakuhusu Nini you are the most stupid person under the sun. Hovyo kabisa
Mwana kuli findAsante kwa kuja kucomment kwenye uzi wangu[emoji1787][emoji1787]
AhsanteNi muislamu
Mama wa kina banana alikuwa mkristo
Maunda kabadili dini kawa mkristo na mchumba ake ambaye pia baba watoto wake ni mkristo
Tupo wengi, wangu alibadili kabla sijamuoa na sasa kapitiliza mpaka kawa mlokole.Mi nimembadili muarabu na kawa mkristo safii na anapenda church vibaya mno huko kwao wanabanwa sana
Sifahamu dini yake.
Mtoto wake anaitwa Hellen maunda zorro sasa unafikili ni dini gani kama sio mkristoHii familia ya mzee Zahir Zorro ni waumini wa dini gani? Nimeshangaa huu msiba wa Maunda unavyoendeshwa!!
Ni mme wake walifunga ndoa sio mchumbaNi muislamu
Mama wa kina banana alikuwa mkristo
Maunda kabadili dini kawa mkristo na mchumba ake ambaye pia baba watoto wake ni mkristo