NABII WA UONGO ALIKUFA KWA SUMU K WA KUKATWA MSHIPA WA MOYO ANATUPWA KUZIMU KWA SABABU ALISEMA KAMA QURAN SIYO MANENO YA MUNGU NITAKATWA MSHIPA WA MOYO NA SIKU YA KUFA ALIKATWA MSHIPA
WA MOYO KWA SABABU NI MUONGO
Quran ni uongo, na maneno yake yamezuliwa na muandishi wa Quran ni Muhammad Mwenyewe Kwa Ushahidi Huu
QURAN 69:44-46
44)Lau kama angelituzulia baadhi
ya maneno tu.
45) Bila shaka tungelimshika Kwa
mkono wa kulia.
46) Kisha Kwa Hakika tungeli-
mkata "MSHIPA MKUBWA
WA MOYO"
Ushahidi wa kuwa Quran imezuliwa na muhammad upo ktk
SAHIH AL-BUKHARI 4492
Imesimuliwa na Aisha "Mtume katika ugonjwa wake uliomuua, alisema, "O Aisha! Bado Nasikia maumivu yaliyo sababishwa na chakula Nilicho kula Khaybar na Sasa jamani "MSHIPA WANGU MKUBWA WA MOYO UNAKATWA NA SUMU HIYO
Huu ndio Ushahidi tosha kuwa Quran Sio maneno yake Mungu na yamezuliwa na kiapo chake mwenyewe muhamadi kilimmaliza