Zahir Zorro ni dini gani?

Zahir Zorro ni dini gani?

Mzee Zahir Zorro ni mfano mzuri wa flexible parent.

He is exact like my Dad kwa falsafa zake kimaisha japo mzee wangu hayupo sana kwenye kufanya mambo ya ujana like partying na ulevi ila he is with a really open ended mindset.

Fanya unaloona sahihi as long as humletei madhara mtu, live your own life as long as uko na morals huwa hana tatizo. Sio autocratic parent kwa maana aanze ku dictate namna anavyotaka uishi mara unamuoa kabila gani au dini gani.

Huwa haingilii personal affairs zako yuko kama facilitator na supporter ila sio dictator. Thats why i love my Dad a lot.
Unasifia upumbavu wa baba yako?? Yaan mzee asiyeweza kumjengea misingi imara ya kidini mtoto wake wewe ndio unamuona wa maana??
 
Hutaweza kuelewa kama una akili za hovyo,soma Qur an uelewe kijana.
And even if We had sent down to you, [O Muhammad], a written scripture on a page and they touched it with their hands, the disbelievers would say, "This is not but obvious magic 6:7
QURAN ILIANDIKWA NA WALEVI NA WANYWAJI POMBE NA HAO WALEVI WALIKUWA WAMEKALILI QUR'AN HUKU WAKIWA WAMELEWA CHAKALI NA WENGINE WALIKUFA KWA ULEVI WAANDISHI WA MUHAMMAD
SWALI AYA ZIPI ZILIANDIKWA MASWAHABA WAKIWA HAWAJALEWA POMBE KATIKA SURA 114 ZA QUR-AN YENU?

✔
Quran 5:93. Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu na wakiamini na wakitenda mema, kisha wakachamngu, na wakaamini, kisha wakachamngu na wakafanya mazuri. Na Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao mazuri
Aya ya 5:93 Aya hizi za kukataza ulevi Kwa kashididi hii hizi zimeteremka mwaka wa sita wa Al-hijira baada ya kuwa maswahaba wengi WAMEKUFA na hali ya kuwa WAKILEWA POMBE. Basi maswahaba wengi wenziwao wakawahofia nini itakuwa hali yao siku ya Kiyama [TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY ]
 
Qur an 6:7,Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru: Haya si chochote ila ni uchawi dhaahiri.

فَوَيْلٌ لِلَّذِينَ يَكْتُبُونَ الْكِتَابَ بِأَيْدِيهِمْ ثُمَّ يَقُولُونَ هَٰذَا مِنْ عِنْدِ اللَّهِ لِيَشْتَرُوا بِهِ ثَمَنًا قَلِيلًا ۖ فَوَيْلٌ لَهُمْ مِمَّا كَتَبَتْ أَيْدِيهِمْ وَوَيْلٌ لَهُمْ مِمَّا يَكْسِبُونَ
Basi ole wao wanao andika kitabu kwa mikono yao, kisha wakasema: Hiki kimetoka kwa Mwenyezi Mungu, ili wachumie kwacho pato dogo. Basi ole wao kwa yale iliyo andika mikono yao, na ole wao kwa yale wanayo yachuma.

Allah hakushusha kitabu cha makaratasi na hapa anatoa onyo Kali waandishi wa Quran ya makaratasi ni kwasababu Quran ya makaratasi ni uchawi ( Quran 6:7)
 
utafikiri wana cha kujivunia huko kwa bwana yesu......!
Biblia. Mathayo 28:18
[18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
And Jesus came and spake unto them, saying, All power is given unto me in heaven and in earth.
Yesu anamamlaka , ni mkuu, hana wa kufanana naye jina lake nitaliinuwa siku zote za maisha yangu
 
HAKUNA KITU KIGUMU KAMA MUISLAM KUBADILI DINI. YAANI MBUNGI LAKE SI LA KITOTO. UKIONA MTOTO WA KIISLAM AMEBADILI BASI KUNA MAWILI.

1. HAISHI KWA BABA YAKE/BABA YAKE AMEFARIKI/BABA YAKE HAJAWAHI KUSOMA QURAN AU KUSWALI HATA MARA MOJA.

2. MZAZI WAKE MMOJA NI MKRISTO.

Nina uzoefu na hizo changamoto.
Ningefunguka mengi lakini kimoja nikujulishe ni kuwa alisoma madrasa sana na kwao wanaswali sana(on her father's side).Hapa namaanisha baba yake na nduguze alozaliwa nao ni 'swala tano'.
Amelelewa mazingira ya Kiislamu japo familia yao wapo Christians pia.
 
Qur an haikushuka ya makaratasi,kipindi inashuka hakukuwa na makaratasi,miujiza yake ndio inawafanya nyie washirikina mseme ni uchawi,hakuna sehemu imeandikwa kwamba qur an ni uchawi.
66:1- Ewe Nabii! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Mwenyezi Mungu? Unatafuta kuwaridhi wake zako. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Swali

(1) waislam ni kosa gani mohamadi alifanya mpaka allah akaanza kumlaumu?
2)tutajieni vitu alivyo haramisha mohamadi wakati Allah alihalalisha
(3)mpaka hapo bado mnaamini Mohammad ni mtume?
 
Ningefunguka mengi lakini kimoja nikujulishe ni kuwa alisoma madrasa sana na kwao wanaswali sana(on her father's side).Hapa namaanisha baba yake na nduguze alozaliwa nao ni 'swala tano'.
Amelelewa mazingira ya Kiislamu japo familia yao wapo Christians pia.
Kadanganye watoto wenzako, tuna uzoefu na hizo dini, na tunajua ni kwa jinsi gani waislam ni ngumu kuwabadilisha hasa wakipitia madrasa. Nimekupa sababu 2 hapo juu kama hakuna sababu yoyote kati ya hizo hapo juu, MUISLAM HUWEZI MBADILI DINI.

Ni labda mama yake awe mkristo na hakai na baba yake, mostly huwa watoto wa nje ya ndoa. Lkn Baba na Mama waislam na Baba awe swala 5 huwezi mbadili dini mtoto wa Kiislam, tunaishi nao na tunaona hizo Mbugi. Wanawake rahisi kubadili dini ni Wakristo tu, kidogo dhehebu la Sabato, walokole unaweza pata shida kiasi lkn Waislam uhusiano unavunjika mapema kwenye suala la kutaka kumbadilia dini.
 
Dini pia zinatuunganisha kama jamii, usilolijua vitu vingi Africa ni vyakuja uwezi kuvikwepa.

NB wote katika Dunia hii inasemekana walikuwa waislamu, ila baadae aidha wazazi wao au ndugu zao ndio wakawatoa kwenye uislamu na kuwapeleka dini zingine kwa kuwabatiza.
Juma Lokole hajabatizwa bado lakini ni dini gani yule
 
Kadanganye watoto wenzako, tuna uzoefu na hizo dini, na tunajua ni kwa jinsi gani waislam ni ngumu kuwabadilisha hasa wakipitia madrasa. Nimekupa sababu 2 hapo juu kama hakuna sababu yoyote kati ya hizo hapo juu, MUISLAM HUWEZI MBADILI DINI.

Ni labda mama yake awe mkristo na hakai na baba yake, mostly huwa watoto wa nje ya ndoa. Lkn Baba na Mama waislam na Baba awe swala 5 huwezi mbadili dini mtoto wa Kiislam, tunaishi nao na tunaona hizo Mbugi. Wanawake rahisi kubadili dini ni Wakristo tu, kidogo dhehebu la Sabato, walokole unaweza pata shida kiasi lkn Waislam uhusiano unavunjika mapema kwenye suala la kutaka kumbadilia dini.
Unadhani ni mafunzo ya dini wanayopata au ni ukali wa wazazi kwa nchi zingine kuritad nasikia adhabu yake ni kifo
 
Kadanganye watoto wenzako, tuna uzoefu na hizo dini, na tunajua ni kwa jinsi gani waislam ni ngumu kuwabadilisha hasa wakipitia madrasa. Nimekupa sababu 2 hapo juu kama hakuna sababu yoyote kati ya hizo hapo juu, MUISLAM HUWEZI MBADILI DINI.

Ni labda mama yake awe mkristo na hakai na baba yake, mostly huwa watoto wa nje ya ndoa. Lkn Baba na Mama waislam na Baba awe swala 5 huwezi mbadili dini mtoto wa Kiislam, tunaishi nao na tunaona hizo Mbugi. Wanawake rahisi kubadili dini ni Wakristo tu, kidogo dhehebu la Sabato, walokole unaweza pata shida kiasi lkn Waislam uhusiano unavunjika mapema kwenye suala la kutaka kumbadilia dini.
Huna akili hata kidogo, unaleta ubishi wa kipuuzi wakati namzungumzia mtu ninayeishi naye.
You must be very stupid.
 
Biblia. Mathayo 28:18
[18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
And Jesus came and spake unto them, saying, All power is given unto me in heaven and in earth.
Yesu anamamlaka , ni mkuu, hana wa kufanana naye jina lake nitaliinuwa siku zote za maisha yangu
Akili huna.??? Sasa kama kapewa mamlaka si inamaana yupo chini ya aliempa mamlaka??? Au hujui kiswahili?????? Pua pua pua
 
Huna akili hata kidogo, unaleta ubishi wa kipuuzi wakati namzungumzia mtu ninayeishi naye.
You must be very stupid.
Hizo kamba kawapige walugaluga wenzako, ila nilichokuambia ndio ukweli, endelea kujidanganya, eti umbadilishe dini mtu ambaye amekaa madrasa na baba yake ni swala 5 [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] tunajua hilo suala haliwezekani hata umzalishe mzee baba. Tumekumbana na hizo kesi zaidi ya 5 mpaka mtu unaamua unatafuta Mkristo mwenzako unaoa.
Kwa wasiojua utawadanganya ila nilichokuambia ndio ukweli, kwa Kesi ya Maunda Zorro iko open kabisa, mama yake ni mkristo hivyo ni rahisi mtoto kuamua wapi atafata, the same kwa PM Majaliwa na watoto wake ni Rahisi kuamua afate upande upi.
Ila kwa kesi yako kawadanganye wajinga wenzako.
 
Unadhani ni mafunzo ya dini wanayopata au ni ukali wa wazazi kwa nchi zingine kuritad nasikia adhabu yake ni kifo
1. MAFUNZO YA DINI. Mafundisho ya Kiislam huwa yana misingi mikali mno kwenye kubadili dini, na huwa ngumu kwa mtu akiyesoma QURAN kumbadili dini, hata awe mlevi, kwenye Kubadili Dini Waislam utahangaika sana, hata awe malaya kiasi gani, likifika suala la kubadili dini ni Shughuli pevu mno 99% mahusiano yataishia hapo.
2. WAZAZI, waislam sio Rahisi kwa mtu ambaye anayeswali swala 5 kama anavyodai huyo POPOMA uweze kumbadili dini mtoto wake. Ni hutoboi, na hapo yatatokea mambo mawili,
1. MTAACHANA
2. HATUKUWA RADHI KWA WAZAZI WAKE.

Ukiona umembadili dini kirahisi basi jua fika, BABA Yake sio mtu anayeswali au hajasoma Dini, au Hakai kwa baba yake, au Mzazi mmoja ni Mkristo.

Binafsi kwa waislam hata uwe na hela vipi Suala la kumbadili dini ni shughuli nzito mno.
 
Hata Mama'ke Yesu anavaa Nikabu. Tatizo nini?
Lete ushahidi scha kupiga fix

Halafu siku hizi ubalitaja sana jina YESU ,sijaona ukitaja jina la issa bin mariamu.

Hakika kila Taifa watalitaja jina.

NB YESU na issa bin mariamu ni watu wawili tofauti.
 
Hizo kamba kawapige walugaluga wenzako, ila nilichokuambia ndio ukweli, endelea kujidanganya, eti umbadilishe dini mtu ambaye amekaa madrasa na baba yake ni swala 5 [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] tunajua hilo suala haliwezekani hata umzalishe mzee baba. Tumekumbana na hizo kesi zaidi ya 5 mpaka mtu unaamua unatafuta Mkristo mwenzako unaoa.
Kwa wasiojua utawadanganya ila nilichokuambia ndio ukweli, kwa Kesi ya Maunda Zorro iko open kabisa, mama yake ni mkristo hivyo ni rahisi mtoto kuamua wapi atafata, the same kwa PM Majaliwa na watoto wake ni Rahisi kuamua afate upande upi.
Ila kwa kesi yako kawadanganye wajinga wenzako.
You're truly stupid, naive and illiterate. Hii forum tunatumia aliases hivyo mtu hawezi kuweka full details za kila kitu, amini au usiamini it won't change any shit.
Let's agree to disagree, it seems unamfahamu mke wangu zaidi ya ninavyomfahamu mimi.
 
You're truly stupid, naive and illiterate. Hii forum tunatumia aliases hivyo mtu hawezi kuweka full details za kila kitu, amini au usiamini it won't change any shit.
Let's agree to disagree, it seems unamfahamu mke wangu zaidi ya ninavyomfahamu mimi.
Hizo kamba kawapige vilaza wenzako, kwenye hizo jamii tunaishi nao. Huyu mke wako hatoki familia ya kiislam ile pure, yaan yy asome madrasa, na baba yake awe anaswali swala 5 pamoja na kaka zake. Acha hizo kamba.
Huyo mke wako lazma tu ametoka familia yenye mchanganyiko wa hizo dini na 100% ni mtoto wa nje ya ndoa.
 
Back
Top Bottom