Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

Umesahau mara hii? Ulikuwa unataka kuongelea nini kule selfika?

Kwanza tuachane nayo tutafaidisha watu tu hapa
Siwezi zungumzia jambo lako lolote binafsi, anyway nilipokosea I'm sorry, take it easy. Cheers
 
Zai wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu amuweke kabisa...

Ile clip yake ya jana uliiona?Kwamba alipata Bwana Facebook kufika kuonana ananuka Machenza huyo....akamwambia eti yeye ataki machenza[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zai bhana!
Anajua kupiga Soga, anajua kuwasilisha, anajua Kubadili Gia angani akiona Stori haivutii.

Stori moja pekee iliyonifanya nicheke ni Ile wa Panya Road Vs Ulinzi shirikishi, mtaa wao ati wakisema hawatoi Pesa ya ulinzi, Ila Wababa kazi Yao kulinda Usiku Kwa zamu.
Mumewe alichokipata Kwa Watoto waumbwa ndio ilinimaliza.
 

Wakipekee angalia na huu mchano
 

Wakipekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…