ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #101
Nyie wakati mnaadhibu wenzenu mlijua ni raha si ndio?Kwahiyo Kanda ya Ziwa baada ya JPM Kufa tuna adhibiwa eti?
Tatizo hujishughulishi na takwimu, unaongozwa na mihemuko kuliko weledi.Acha porojo Mzee,Zingejengwa Km 12,000 kama unavyosema wewe Mikoa yote Tanzania ingekuwa imeunganishwa na lami..
Kikwete alijitahidi kujenga ndio ila sio zaidi ya km 8,000 tena Kwa miaka 10,Sasa hizi tunazozungumzia Sasa ni sehemu tuu ya maelfu ya Barabara zingine ambazo zikianza ujenzi 2021/22 na 2022/23,Bado za Bajeti Mpya ya 2023/24 hazijasainiwa elewa Hilo..
Ndio.kusema Kwa mwaka 2022/23 Kuna hizi km 2,000 plus plus hizi hapa zingine [emoji116]View attachment 2660092
Wewe kweli ni mzalendo uchwara.Poor journalism. WTF is EPC+F?? Lengo la habari ni ujumbe uwafikie walengwa (wananchi), kutumia maneno na vifupisho visivyoeleweka na wengi ni ukanjanja na unapoteza ujumbe wote kwa ujumla.
Unless kama huo mradi ni porojo tu na propaganda kwahiyo hiyo ni mbinu ili next time wasiulizwe zile barabara za 'EPC+'F zinaendelea vipi.
Mbona hayo ma fly-over Dar nzima, na Mogororo Road...ni JPMNyie wakati mnaadhibu wenzenu mlijua ni raha si ndio?
Pili huko Kanda ya Ziwa Kuna miradi kibao tuu inaendelea ya Barabara ila wewe Kwa kuwa umezoea umbea huwezi jua.
Mama anaupiga mwingi au siyoHiyo road ya Namtumbo Hadi kidatu nilikua nalisubiri kwa muda mrefu.
Kidatu mikumi or Morogoro kuna lami?
Ikikamilika tutakuwa tunatoka Songea asubuhi saa 6 tupo Moro, tunapanda sgr saa 10 upo Dar.
Matusi hayatawasaidia ,mtu wenu si aliwajengea airport ya Chato nenda mkaduke ndio kulikuwa kipaombele 😁😁Pumbavu. Mbona hakuna barabara hata moja ulizoorodhesha hapo katika Mikoa yoyote ya Kanda ya Ziwa kuanzia Mara mpk Kigoma. Uongozi ni ule unaoacha alama sio poroja unazoleta hapa. Afu unachokipenda wewe sio lazima akipende mwenzio so acha kauli za kubeza wanaopenda usichopenda wewe.
Tena dhahabu Nyekundu,wakati Jiwe anatumia mtutu kuongoza na visingizio kibao Samia anakimbiza mwizi kimya kimya..
Toka Nchi Imepata Uhuru Sasa ndio tumepata Rais .
Sasa flyover 2 ndio zinakuchanganya? Acha ushamba flyover ni daraja tuu na Kuna Madaraja Yana gharama kubwa kuliko huyo tu flyover..JK mwenyewe alijenga kule kurasini punguza ujinga.Mbona hayo ma fly-over Dar nzima, na Mogororo Road...ni JPM
Waulize CCM wenzako iliwezekana vipi wakampa umakamu then uraisKikwete alijenga nchi nzima na jina lake halijaandikwa kwa wino wowote sembuse huyo muuza nchi? Samia kazi yake ni kusaini mikataba tu, hasomi, hawamsomei, yeye anatia mkono tu.
Samia uwezo wake ni wa kua balozi wa nyumba 10 tu lakini ajabu eti ni rais wa nchi, hivi ni vichekesho.
Hawawezi kukubari hili ila nawaambia Tanzania itakuwa Mpya chini ya Samia Kwa sababu ni Rais mwenye akili bahati n Nyota kali sana.Ngoja ndugu zake nyerere wa jamiiforum wakuijie na hilo jibu la kupata uhuru 😁 yani huwaambii kitu kuhusu nyerere
Niseme tu, mama anaupiga sana, na tumtakie kila la heri
Mwisho kabisa,SSH is the best president ever
ALEYOMBA GEKKE NKOI CHOICE VARIABLE, SSH is the best president ever ever...wanaomchukia wana lao jambo
Matusi hayatawasaidia ,mtu wenu si aliwajengea airport ya Chato nenda mkaduke ndio kulikuwa kipaombele [emoji16][emoji16]
Ndio maana Huwa nasema hakuna kitu Cha maana aliwasaidia ni alikuwa mjinga,pesa bil.725 za daraja zingetosha kujenga Barabara zalami Lake zone yote na Jiji la Mwanza lote ila ndio hivyo tatizo ni kichwa kikubwa akili kisoda..
Sasa Iko hivi mama ni Muingwana wala usijari amewafikia hata huko..
Hapo Mwanza Jiji na Kahama Kuna tactic zaidi ya km 27 za lami mtaani mtapata na Kahama ni zaidi ya km 20..
Kuhusu Barabara Kubwa za Mikoa Kagera pekee Kuna miradi 4 inaendelea,Mara Kuna miradi 3 na Mwanza Kuna mradi 1..
Harafu usikariri sio lazima Kila Barabara ijengwe Kwa EPC+F,hii model ni Kwa Barabara za kiuchumi tuu,nyie mnajengewa Kwa utaratibu wa kawaida [emoji116]View attachment 2660119
Huwezi kumpinga Kikwete Kwenye Ujenzi Wewe Mbulula.Alijenga Nchi nzima km ngapi? Ingekuwa kajenga Nchi nzima hizi zinaenda kujengwa za nini Sasa si alijenga Nchi nzima?
Mwisho alijenga km ngapi na Kwa mda gani vs Samia ambae Kwa awamu hii tuu ya kwanza amefanya mambo mengi hakuna Rais ana weza kumfikia na ni Kwa sekta zote.kuanzia Kilimo Hadi Maji.
Kuna maeneo kweli serikali ipewe maua yakeii) Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42) inapita katika Mikoa ya Arusha, Manyara na Dodoma na inapita katika Majimbo ya Arusha Mjini, Arumeru Magharibi, Simanjiro, Kiteto na Kongwa;
iii) Barabara ya Handeni – Kiberashi – Kijungu – Kibaya – Njoro – Olboroti – Mrijo Chini – Dalai – Bicha – Chambolo – Chemba – Kwa Mtoro – Singida (km 384.33) inapita katika Mikoa ya Tanga, Manyara, Dodoma na Singida na inapita katika Majimbo ya Kilindi, Chemba, Kiteto, Singida Mashariki na Iramba Mashariki;
Huwezi kumpinga Kikwete Kwenye Ujenzi Wewe Mbulula.
Kama Unamsifia Samia Msifiye Lkn Usimfananishe Na Kikwete.
Bado Hajamfikia.
Kipara kipya una matatizo.Mpuuzi wewe umevimbiwa maharage unatoa mashuzi tu hapa barabara zilishajengwa hizo unazo pigia debe wewe ni marudio kwani watu wanapita kwenye vumbi hivi sasa!
Kuwa chawa ni Mzigo wa dhambi na kuwa mwanakijani aina yako tayari unatokuwa unatoka Ukoo mmoja wa kishetani. Haya kachukue UDASI wa Mchamba wima
Huwezi jua shida unashinda kwenye umbea mda mwingi..Ni mimi tu ndio sijaona maana ya EPFC, ni nini hasa?