Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Pia nashauri waikumbuke barabara ya Makambako Songea. Imesha chakaa sana kwasababu ya Magari yanayochukua Makaa ya mawe.....na pia ni ya zamani mno
Iko kwenye manunuzi,baadae mwaka ujao ujenzi unaanza kuanzia Songea km 100 Kuna pesa za IMF pale.
 
Lost Time kubwa ipo recorded kati ya DSM, Bandarini na Morogoro, fikiria hadi busses zinatumia masaa manne km 191 average traveling time 47.75 km per hour, this is too much, Je Kwa malori si ndio 30!?
 
Wewe kajinga kweli,alijenga Nchi nzima km ngapi Kwa mda gani?
Soma haya maelekezo hapa utoe ujinga kichwani
Mkjuu kweli ni jambo jema, lakini kwa upande wa pili kwa hali ilivyo, watoto wetu wa kike wanaojiunga na shule za secondary wengi wapangisha kwenye nyumba za mitaani; yaani ni kama wale waliohitimu elimu yao na kuajiriwa. Wengi wa watoto hawa wa secondary ni watoto wa watanzania maskini sana ambao nadhani hata kuwahudumia hao watoto ni kwa shida sana na kupelekea hata vijana wetu wa daladala wanachukuwa jukumu la kuwalipia pango hizo na hatimaye wengi kupata mimba na hivyo kukatishwa ndoto zao.
Aidha huduma ya maji kwa wa TZ wengi huko vijijini inatosha, mbona hamweki mikakati yenye nguvu kama hii? Magonjwa mengi ya wa-TZ yanatokana na matumizi ya maji machafu yasio salama na hivyo kupelekea kujenga mazahanati meengi na bajeti kubwa za madawa, kisa ni
 
Kitefu chake nilishakuona, ila huo ufafanuzi ndio nilitaka.

Anyway, tunaomba hiyo financing model isihusishe tozo ya barabara
 
Kitefu chake nilishakuona, ila huo ufafanuzi ndio nilitaka.

Anyway, tunaomba hiyo financing model isihusishe tozo ya barabara
Hakuna tozo mbona hamuelewi? Tozo zipo kwenye Barabara za Expressway zinazojengwa Kwa Model ya PPP na inakuja kati ya Kibaha Moro Dom
 
Huko kwenye Elimu usiseme,hakuna sekta ambayo Rais kaipa msukumo mkubwa kama hiyo,shida yenu hamfuatilii Bajeti za serikali..
 
Lost Time kubwa ipo recorded kati ya DSM, Bandarini na Morogoro, fikiria hadi busses zinatumia masaa manne km 191 average traveling time 47.75 km per hour, this is too much, Je Kwa malori si ndio 30!?
Umeshaambiwa hapo Kuna expressway inakuja iko.kwenye manunuzi huelewi nini?

Swala la kupotea Kwa mda ni kote kote mda unapotea,on top of that Ile section imechakaa sana,Barabara nyembamba,na Ina casualties sana Kwa sababu hizo na nature ya terrain ,so Serikali Iko sahihi kabisa kuanza na Ile section.
 
Hii ni zaidi ya maendeleo kwa nyakati hizi. Maelezo yote ya kimkakati. Bado tu morogoro mvuha dutumi kisaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…