Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

W
Ona fala hili,Mkapa ndio alianza kufuta ada ya primary,JK alifuta ada ya day na kupunguza ya Sekondari, Mwendazake akafuta ya Sekondari,Samia amefuta Hadi form six,na vyuo vya Ufundi vya Serikali na mikopo Hadi Diploma na boom la elfu 10 Juu.

Fala wewe , Mwendazake alipunguza Bajeti ya Kilimo akahamishia hela Nishati na Ujenzi mama mwaka wa kwenda tuu katoa Bajeti kutoka bil.290 Sasa ni bil.970 2023/24..

Ona unavyoleta excuses kama yule yule failure wako,NHC ilikufa nyumba zote zilisimama kuanzia Kigamboni,Morocco square Hadi Kakakuona Tower poster,sekta ya real estates ilikufa kama zilivhokufa sekta zingine mama kafufua Mjini kunachangamka.

Kama Ajira ni wajibu wa Serikali Kwa nini Mwendazake alishindwa kuajiri akasomamisha Ajira,akaua mashirika ya pensio,akatuongezea makato ya Bodi,wizi wa retention fee na upuuzi mwingine kama huo? Hana akili ndio jibu rahisi.

Hakuna mikutano yeyote ikifanyika,Mungu mtu akikosolewa unakula risasi na ushenzi mwingine kama huo Kama watu wasiojulikana kuteka Wapinzani wa Serikali

Mazao yoote yaliporomoka bei Hadi kuficha aibu Kwa eti jeshi kununua korosho 🤣🤣🤣🤣

Mwisho;Wajamaa na ujamaa ni upumbavu na umaskini wa akili Hadi Mali, propaganda na Vitisho ndio mnachoweza.
We mweu Ni kipindi gani umeshuhudia korosho imenunuliwa 4000?
 
W

We mweu Ni kipindi gani umeshuhudia korosho imenunuliwa 4000?
Haijawahi nunuliwa hiyo bei zaidi ya maigizo ya kuficha aibu,ndio tulisikia kwamba watu wakaoneshe mashamba walipolima korosho, mwisho wa siku iliozea kwenye Maghala ya serikali ikamwagwa maana wanunuzi waligoma 😂😂
 
Kama kawaida, tu-sifa twa kuokoteza. Sasa hapo historia ni gani? Barabara au EPC+F?

Sikilizeni nyie chawa. Huyo mama yenu hamna kitu anafanya. Anarukaruka tuu hatumwelewi huku. Barabara nayo ni kitu cha kumsifia? Hamna jipya.
 
Kama kawaida, tu-sifa twa kuokoteza. Sasa hapo historia ni gani? Barabara au EPC+F?

Sikilizeni nyie chawa. Huyo mama yenu hamna kitu anafanya. Anarukaruka tuu hatumwelewi huku. Barabara nayo ni kitu cha kumsifia? Hamna jipya.
Hamuelewi wewe na Sukuma gang wenzio au na nani?
Samia Kamatia hapo hapo panya wameanza kutoka mapangoni 😁😁
 
Duh! wewe mweu aliyeanzisha elimu Bila malipo unamjua wewe, baada ya Nyerere, JPM ndiye aliyesema elimu mpaka kidato cha NNE bure serikali itagharamia, mama yako anaendeleza TU.

Bajeti ya kilimo kufika hapo mama anaendeleza TU, Kwa kuwa JPM alishaanza Kwa kuifanya wizara iwe inajitegemea na alisema kwamba miaka ijayo bajeti ya kilimo itapanda Kwa Sababu 70% ya watanzania wanategemea kilimo, na ndiye aliyemteua bashe kwamba akatekeleze kile anachokizungumza bungeni Ni Kwa vile KIFO kilimkuta hakufanikiwa kukamilisha ndogo yake.

Barabara pia Ni kama unajitekenya yeye Yuko kwenye wizara miaka 20 barabara zote na madaraja yote makubwa yamejengwa na kusimamiwa na JPM Leo hii mnapita juu pale ubungo na sehemu nyingine mnazoendeleza kujenga Ni mitazamo yake kwamba tuko nyuma tubadilike Mzee Wa maamuzi magumu.


Mambo ya nyumba za NHC yeye alisisitiza Kwanza kwamba makusanyo ya nyumba hizo zinaliwa,mtu anakodisha nyumba Kwa mkodishwaji unakuta NHC wanalipwa laki moja alafu Yule mtu kati anachukia millioni,yeye alitaka akomeshe Kwanza ufisadi WA Kodi na miladi hewa na Ile ya isiyo na tija, kama mama yako anaendeleza ujue Kuna mtu kasafisha ndio maana mapato ya NHC yalipanda Kwa Sababu hapakuwa na madalali.


Demokrasia hipi haikuwepo mbona mkutano ilikuwa inaruhusiwa kwenye majimbo na ujue kwamba democracy Ni Jambo la ufahamu TU katiba inajieleza Ni uoga WA upinzani ,Kuna kijana alitaka kuandamana jumatatu amepewa onyo je? Nayo Ni democracy iyo unayoisema.

Ajila zinatolewa Kwa Sababu Ni wajibu WA serikali kuajili,lakini pia uelewe kuwa tofauti Ni viwango vya uajili TU lakini hata JPM aliajili na Sababu KUBWA alisema aondoe Kwanza vyeti feki na wafanyakazi hewa yeye ndiye aliyeweka mfumo Bora WA kutambua watumishi ili kuondoa udanganyifu na kupoteza pesa, hivyo Ni mwendelezo.


Kipindi cha JPM ndipo bank ya dunia ilisema Tanzania tumeingia uchumi WA kati, uchumi Ni suala pana unaweza ukawa unaona pesa IPO mfukoni lakini ikakosa thamani kama sasa elfu Kumi inapata kilo 3 za Mchele,NK;lakini kipindi kile Ni kilo Saba unaweza kulinganisha,kwenye bidhaa nyingine Leo kila kitu kipo juu Hadi JoJo.

Kifupi Ni kwamba anataka aonyeshe kuwa anaweza Ila Ni vizuri Ila afanye na afuatilie hasiache maagizo mlangoni watu wanatumbua pesa sana, pesa alizokopa angekuwa JPM ingekuwa Ni hatari alafu JPM mitazamo yake alitaka tujitosheleze Kwa kila Kwa kuwa ndio MSINGI imara WA nchi huru.
Huyo ChoiceVariable nimekuwa najadiliana naye hatimaye nimeamini ni mmoja wa CHAWA. Badala ya kuendeleza mjadala anatoa matusi, du! Hata kama ni kujipendekeza siyo kwa jinsi hiyo. Km, nimembana atoe na kueleza sheria inayosimamia mikataba ya EPC+F nikaishia kutupia tusi

Nakubaliana na wewe kuwa yanayofanywa na Awamu ya sasa, ambayo CHAWA anayapigia debe ni mwendelezo wa ya Awamu iliyopita lakini kwa kiwango cha chini sana ikizingatiwa Serikali ina fedha nyingi kutokana na Tozo mpya, misaada, mikopo na sasa inaingia kwenye mikataba ya ufisadi. Viongozi wa Serikali wanaamini nchi haina Wataalamu wala mitaji ya kutekeleza miradi ya maendeleo wakati ni tajiri kwa maliasili inayoporwa mchana kweupe.

Tufikiri nje ya sanduku kama alivyoweza JPM katika miaka 5 ya uongozi wake hadi upinzani kudai ni Rais wa barabara na maendeleo ya vitu
 
Huyo ChoiceVariable nimekuwa najadiliana naye hatimaye nimeamini ni mmoja wa CHAWA. Badala ya kuendeleza mjadala anatoa matusi, du! Hata kama ni kujipendekeza siyo kwa jinsi hiyo. Km, nimembana atoe na kueleza sheria inayosimamia mikataba ya EPC+F nikaishia kutupia tusi

Nakubaliana na wewe kuwa yanayofanywa na Awamu ya sasa, ambayo CHAWA anayapigia debe ni mwendelezo wa ya Awamu iliyopita lakini kwa kiwango cha chini sana ikizingatiwa Serikali ina fedha nyingi kutokana na Tozo mpya, misaada, mikopo na sasa inaingia kwenye mikataba ya ufisadi. Viongozi wa Serikali wanaamini nchi haina Wataalamu wala mitaji ya kutekeleza miradi ya maendeleo wakati ni tajiri kwa maliasili inayoporwa mchana kweupe.

Tufikiri nje ya sanduku kama alivyoweza JPM katika miaka 5 ya uongozi wake hadi upinzani kudai ni Rais wa barabara na maendeleo ya vitu
We Melinda ligacy acha porojo,Nitajie Barabara Moja ya kuunganisha Mkoa na Mkoa aliyoijenga Mwendazake nikurushie Laki Moja.

Mwendazake was a failure
 
Sihitaji fedha ya ufisadi au kujipendekeza. Mwenye macho haambiwi tazama
Nitajie Barabara ya kuunganisha Mkoa alijenga acha porojo mlinda ligacy 🤪🤪

Wajamaa ni watu wa hovyo na wajinga
 
Nitajie Barabara ya kuunganisha Mkoa alijenga acha porojo mlinda ligacy [emoji2957][emoji2957]

Wajamaa ni watu wa hovyo na wajinga
Miradi yote ya kimkakati aliyoanzisha Mwendazake, na Awamu hii inahangaika kuikamilisha, kwa kila hila, kuchelea aibu, huioni hadi utajiwe? Du!
 
Miradi yote ya kimkakati aliyoanzisha Mwendazake, na Awamu hii inahangaika kuikamilisha, kwa kila hila, kuchelea aibu, huioni hadi utajiwe? Du!
Taja Barabara, miradi ya kimkakati ndio Mdudu gani? 😂😂
 
Taja Barabara, miradi ya kimkakati ndio Mdudu gani? [emoji23][emoji23]
Samia hatakuja kujenga kitu zaidi ya hiki miaka yote akiwa madarakani
JamiiForums1731499731.jpg
 
Back
Top Bottom