Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mkuu wasije wakakuweka kwenye kiloba au wakaku Tundu Lissu.kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.
Zaidi ya hilo wana nini cha kunifanya?Mkuu wasije wakakuweka kwenye kiloba au wakaku Tundu Lissu.
Natamani nikusaidie kuwatukana kabisa hao mashetaniWanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.
Ukisha yafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.
Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka
Wamezoea matusi, hawataweza kuumizwa na tutusi twako.Natamani nikusaidie kuwatukana kabisa hao mashetani
Kumbe Mo marinda kushney?Tukikuvalisha khanga Kama Modewj utatulia tu au tutakufanya Kama alichofanywa Roma had leo hasemi alifanywa nini
Wanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.
Ukisha yafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.
Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka
WatakuuaZaidi ya hilo wana nini cha kunifanya?
Watafaidika na nini?Watakuua
Kuna faida yoyote wataipata?Kingine wanaweza Kukuua
kuuwawaWanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.
Ukisha yafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.
Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka