Zaidi ya Vijana 100 waondoka kwenye mradi wa BBT, sababu yadaiwa hakuna uelekeo

Wakulima halisi wenye kazi zao wamewatosa,mna watafuta vijana waliyozoea kushinda kidimbwi ndy muwapeleke shamba,wataweza wapi ???

Ova
Kilimo sio amapiano. Ila huo mradi watu wengi tumelalamika una dalili za upigaji wa hela. Hao vijana wanakuwa mbuzi wa kafara. Hizo hela za bbt wanaenda kukopa nje huko benki ya dunia (WB), Benki ya maendeleo ya Afrika ( Afdb), wanazipiga, kisha vijana wanateseka tu.
 
Karne hii bado Kuna vijana wanaamini katika ujamaa! Hiyo move ilikuwa ya kijamaa sana, kijana inabidi aamini katika ubepari na kupambana mwenyewe hadi ufanikiwe. Yani upewe shamba la bure eka 10 lenye miundombinu sijui na blah blah nyingine ukaamini, ukaacha na shughuli zako kabisaaa what an imbecile!
 
Tena kuwamini wanasiasa ni ujinga.
 
Umenikumbusha miaka ya 90+ huko kuna rasta mmoja tena alikuwa anyone wNgu aliwakusanya marasta kibao tz akawambia waende wakaanzishe maisha morogoro shambani,wawe wanalima tu yaani maisha yao yote yawe huko
Wakaenda bana,unafikiri walikaaa
😄

Ova
 
Kuna mmoja namfahamu kabla ya hapo alikuwa muuza genge na maisha yako powa ila nadhani nae katoroka maana namwona karudia biashara yake ya genge ila kachoka utadhani alikuwa jkt Kwa mujbu wa Sheria.

Kawa mpole , wenzake wanamcheka Kwa ujinga aliofanya
 
Shida ilianzia hapa!! tena ngoja yawapate.....Jamaa walichaguliwa kwa kujuana uccm mwingi
 
Kama tunajenga majengo mazuri makubwa wanashindwa kufanya matengenezo ya vitasa tu ndiyo waweze mradi mkubwa huo, hakuna tunachoweza zaidi ya kujipambanua majukwaani
 
Watanzania ni wachawi na maneno ya watanzania ni ya kichawi. Watu walishasema na kutabiri huu mradi wa BBT hautafanikiwa.
Siyo uchawi tatizo mradi ni wazo la waziri siyo wizara wala,serikali hapo ndio shida ina maana waziri anaawafundisha watalaamu cha kufanya baada ya wataalamu wamuelekeze waziri nini chakufanya
 
Ipo hivi: Kuna Kampuni ndo waanzilishi wa hizi programs Duniani Kote! Kwa karibu na Tanzania Wapo Zambia:Kilichotokea baada ya hii kampuni kuleta Wazo Biashara(proposal) Bashe na Mwenzake wa Wizara ya Samaki - wakaja na mawazo yao wenyewe ?? WATAPIGA MAHELA NA SOME HOW MIRADI ITAENDA😁😁wakaomba na Rushwa kwa hawa majamaa pia...Wakamwakikishia Mama Samia kuwa kila kitu kitaenda sawa na pia wakawaakikishia wawkezaji hivyo hivyo.Ikimbukwe kama Nchi atuna mbegu zetu wenyewe,ata Mbolea na madawa pia!! Bashe akajiona Mkombozi atafanya , atapiga na mahela pia😂😂Yeye na mwenzake wa Samaki wote chali..... bado kidogo tutaanza sikilizia ile BBT ya Sato kule Mwanza.-Nao Wakileft Group kutokana na Ukapa. Bashe hili daima litamfata kama kivuli katika maisha yake yote yaliobaki hapa Duniani yeye na yule wa samaki
 

Attachments

  • IMG_4744.jpeg
    31.3 KB · Views: 6
  • IMG_4743.jpeg
    32.1 KB · Views: 7
  • IMG_4742.png
    83.2 KB · Views: 5
  • IMG_4741.jpeg
    50.6 KB · Views: 9
  • IMG_4740.jpeg
    42.4 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…