Zaidi ya Vijana 100 waondoka kwenye mradi wa BBT, sababu yadaiwa hakuna uelekeo

Zaidi ya Vijana 100 waondoka kwenye mradi wa BBT, sababu yadaiwa hakuna uelekeo

Walichukua vijana wa mjini badala ya kuchukua vijana wakulima walioko vijijini.Wakachukua mitoti ya mjini yenye connections na vigogo

Mtoto wa mjini Tanzania bara na visiwani na shamba wapi na wapi .Walijaza mitoto yao ya mjini na ndugu zao wa mijini ona sasa inakimbia shamba aubu kwa waziri wa kilimo na serikali Wangechukua vijana halisi wakulima wa vijijininau watoto wa wakulima waishio vijijini hiyo aibu isingekuwepo

Utapeli haulipi
 
Kwahiyo Bashe kapiga fungu lake hapo kapita hivi?
Yeye na yule wa Samaki😂! Soon pia wale wa Samaki nao watalia na kusaga meno😭😭
 

Attachments

  • IMG_4740.jpeg
    IMG_4740.jpeg
    42.4 KB · Views: 9
Shida ni siasa kila sehemu,kitu ambacho kinakwamisha maono yao kutimilika.Ukisema unampa posho basi mpe posho.Ukisema unampa shamba lake binafsi mpe shamba lake alime ajione.
 
IMG-20240320-WA0020.jpg

Zaidi ya vijana 100 wa Programu ya Kuwezesha Ushiriki wa Vijana Katika Kilimo Biashara (BBT- YIA) wanadaiwa kuondoka katika kambi ya Chinangali, Dodoma, ambako vijana hao wamekusanywa, wakidai hakuna mwelekeo kambini hapo, huku wakiishutumu Serikali kwa kushindwa kwake kutimiza ahadi ilizotangaza awali.

Kwa mujibu wa taarifa ilizozifikia The Chanzo, mpaka kufikia jioni ya Machi 19, 2024, vijana waliokuwepo kambini hapo ni kati ya 120 na 128 kutoka vijana 268 ambao Serikali imekuwa ikidai kuwepo Chinangali kushiriki kwenye programu hiyo inayokusudiwa kuongeza ajira za vijana milioni tatu na kuongeza ukuaji wa kilimo nchini hadi kufikia asilimia kumi ifikapo mwaka 2030.

“Watu tulioko pale [kambini] mpaka sasa hivi tunafika 134, kati ya watu 268 tuliotakiwa kuripoti, lakini walioripoti ni 261,” alisema mmoja wa viongozi wa vijana hao ambaye The Chanzo imeamua kutotaja jina lake kulinda usalama wake. “Watu wengine waliobaki hawako kwenye kituo, hawako kwenye kituo kwa sababu pale hakuna kinachoeleweka.”
 
Tangu lini kinachofanywa na serikali ya mbumbumbu na walafi wa ccm kikafanikiwa ?
Hii serikali na hii nchi na chama ni failure ,big time failure

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Bado mimi naamini kuwa, nia ilikuwa njema
Changamoto kubwa ni hizi mvua za Elmino zilizonyesha hapo nyuma; wakulima ndio wanajua madhara yake...
waliopo nyuma ya key board hawawezi kuelewa, watabakia kulaumu tu
Hii nimeandika kutokana na uzoefu wangu kwenye masuaa ya Kilimo!
Hakuna cha mvua za elnino wala makalio ya El nino ,kilimo ni biashara inayohitaji heavy investment
Mi upumbavu gani huo wa kupeleka hilo kundi la hao watu mnasema mnaenda kuwapa mafunzo ,mbinu na nyenzo za kisasa ili kufanya kilimo cha tija ,halafu mnakuja kuwatelekeza na kuwatumia kama peasants wa kwenye plantations za mkoloni , yaani kilimo ninyi sijui mnakionaaje , kilimo ni uwekezaji na si maneno , yaani hao vijana waje walime kwa kutumia jembe la mkono , wakati kilimo kwa sasa kuna heavy duty machineries na mifumo ya kisasa ndio inayotumika ili kuleta kilimo cha tija , ardhi yenyewe waliyo ahidiwa hawakupewa ,funds hawakupewa , wamekusanywa na kulundikwa kwenye concentration camps kama misukule .
Nchi ya kipumbavu sana hii

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hivi kuna mtu mwenye akili timamu alikuwa anategemea matokeo chanya kutoka kwa hawa matapeli? Daa watanzania ni rahisi sana kudanganywa. Maendeleo kwenye kilimo yangekuwa yanaletwa kwa usanii namna hiyo kuna nchi ingekuwa na tatizo la chakula?
Wana pesa za kununua Toyota landcruisers za milioni 500 + ila hawana pesa za kununua agricultural machineries na kuwapa ardhi hao vijana ili walime kisasa .
Kenge kabisa

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hivi kuna mtu mwenye akili timamu alikuwa anategemea matokeo chanya kutoka kwa hawa matapeli? Daa watanzania ni rahisi sana kudanganywa. Maendeleo kwenye kilimo yangekuwa yanaletwa kwa usanii namna hiyo kuna nchi ingekuwa na tatizo la chakula?
Watu wanalima huko maelfu ya hekari kwa kutumia mitambo ya kisasa , wanazalisha ngano , soya , mchele ,miwa nk
Nchi kama Brasil ,wale ndio watu walio serious na kilimo , na kilimo ndio big contributer wa GDP ya taifa hilo
Achana na tararila za CCM

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa Hivi Watu Hawana Woga Wanachota Pesa Wanatembea Nazo Hadharani
Mzilankende Angewapa Tabu Sana Wizara Ya Kilimo AngewAnyima Pumzi Haya Majizi

Naunga mkono hoja yako…majuzi nilikutana na kijana mmoja alikuwa kwenye huo mradi yani ni madudu matupu watu walitengeneza kamchongo cha kulamba tu hela kwenye mashirika wezeshi basi….wamepotezea vijana muda tu…kwa propaganda zao
 
Hakuna cha mvua za elnino wala makalio ya El nino ,kilimo ni biashara inayohitaji heavy investment
Mi upumbavu gani huo wa kupeleka hilo kundi la hao watu mnasema mnaenda kuwapa mafunzo ,mbinu na nyenzo za kisasa ili kufanya kilimo cha tija ,halafu mnakuja kuwatelekeza na kuwatumia kama peasants wa kwenye plantations za mkoloni , yaani kilimo ninyi sijui mnakionaaje , kilimo ni uwekezaji na si maneno , yaani hao vijana waje walime kwa kutumia jembe la mkono , wakati kilimo kwa sasa kuna heavy duty machineries na mifumo ya kisasa ndio inayotumika ili kuleta kilimo cha tija , ardhi yenyewe waliyo ahidiwa hawakupewa ,funds hawakupewa , wamekusanywa na kulundikwa kwenye concentration camps kama misukule .
Nchi ya kipumbavu sana hii

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app

Hivi hata kwa akili ya kawaida tu, hizo hekari 2000 zakuanzia unaweza kulima kwa jembe la mkono? si zingehitaji vijana kwa malaki? nafikiri tuwe tuna andika kwa logic na sio kwa kufurahisha watu

lakini pia; Kila mradi unahitaji hela nyingi lakini huwezi kusubiri hadi uwe na technologia ya Israeli ndio uanze kilimo
Mradi unaweza kuanza kwa uwezo uliopo kwani hata hao wawekezaji wakubwa kama kule Israel na japani, walianza kidogo kidogo; hawakuamka siku moja waka anza kutumia heavy machinery
 
Back
Top Bottom