Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Hizo ni basi 200 tu, hiyo ishu ndogo sana, Abood peke yake anaweza kuisort,, 😀
 
Njoo kwenye hoja.
Leo kumetokea kituko Dar. Kuna wanawake zaidi ya 1,500 wamewasili Dar kutokea mikoa yote ya Tanzania. Nia ya wao kuja Dar ni Ili waweze kukutana Kesho asubuhi hadi saa nane Mchana Ili kumpongeza mama Samia.

Kwa masikitiko makubwa na huzuni kubwa wamama hao wamelipa nauli kwa fedha za mifukoni mwao wakitarajia kuwa watakuja kurejesha fedha walizotumia kusafiria.

1. Kituko kimeanza baada ya wao kukosa pa kulala wakitarajia kuwa wangekuwa wameandaliwa Maeneo au hotel za kulala. Kilichotokea hawajarejeshewa fedha za nauli za kuja Dar.

2. Hawajui watapata wapi nauli za kurudi makao mikoani.
3. Hawana mahali pa kulala.
4. Hawana uwezo wa kununua vyakula mahotelini.
5. Wengi wameamua kuondoka Kesho Jioni kurudi mikoani baada ya kutoka uwanja wa Taifa saa nane Mchana kwa Wale wachache wenye uwezo.
6. Kesho jumapili Mchana haijulikani watakuwa wapi.
7. Kuhudhuria kongamano hilo masharti ni lazima ununue kitenge 20,000 na kukishona kwa Gharama zako mwenyewe na wote wana sare ya kitenge cha Rais.

8. Wanawake wengine wamekuja na Watoto wadogo ambao wananyonyesha.
9. Wabunge wa ccm wanakotokea Viongozi wa UWT wamegoma Hata kuwachangiachakula, makazi na Usafiri Kwa mantiki kwamba maza anajipongeza mwenyewe na amealika na Bawacha.
10. Zaidi ya Wanawake 110 waliotokea Tarime mkoa wa Mara nauli ni 70,000 kila mmoja kwenda Dar tu, Bado kulala 50,000 na chakula Bado kurudi na walidanganywa na CCM kuwa watalipiwa Kila kitu imekuwa kinyume chake.

11. Wanawake wamekuwa frastrated kwa sababu kuna walioondoka tar 18.3.2023 kuelekea Dodoma Kwa nauli zao, kuna walioelekea Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao the same day, Pia Leo tar 19.3.2023 kuna kundi lililokuja Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao na Kesho wanakwenda Dodoma kwa nauli zao kuonana na tulio tangulia Dodoma.

Wenyeviti wa UWT mikoa yote mungu anawaona. Mama Samia wamama wenzako wako Dar kukufuata kukupongeza ila wamelala uwanja wa Taifa na hawajala na hawajui Kesho watakuwa wapi na watasafi vipi kurudi makwao.

HABARI HIZI UNAZO?KAMA UNAZO OKA WAKINAMAMA HAWA KUEPUSHA LAANA YA WATU WASIO NA HATIA
Haya mambo ya ubabe na ukatili yalianzia kwa JPM tuhakikishe viongozi kama hawa hawapati nafasi tena nchini.
 
Watu wanateseka namna hii halafu wanaolamba asali ni wale wenye koneksheni.
 
Shughuli yenyewe mama kaikimbia baada ya kuona mvua ghafla, mambo ayaeleweki.

Sasa kama kuna watu hawana pa kwenda baada ya hapo sijui itakuwaje.
 
Njoo kwenye hoja.
Leo kumetokea kituko Dar. Kuna wanawake zaidi ya 1,500 wamewasili Dar kutokea mikoa yote ya Tanzania. Nia ya wao kuja Dar ni Ili waweze kukutana Kesho asubuhi hadi saa nane Mchana Ili kumpongeza mama Samia.

Kwa masikitiko makubwa na huzuni kubwa wamama hao wamelipa nauli kwa fedha za mifukoni mwao wakitarajia kuwa watakuja kurejesha fedha walizotumia kusafiria.

1. Kituko kimeanza baada ya wao kukosa pa kulala wakitarajia kuwa wangekuwa wameandaliwa Maeneo au hotel za kulala. Kilichotokea hawajarejeshewa fedha za nauli za kuja Dar.

2. Hawajui watapata wapi nauli za kurudi makao mikoani.
3. Hawana mahali pa kulala.
4. Hawana uwezo wa kununua vyakula mahotelini.
5. Wengi wameamua kuondoka Kesho Jioni kurudi mikoani baada ya kutoka uwanja wa Taifa saa nane Mchana kwa Wale wachache wenye uwezo.
6. Kesho jumapili Mchana haijulikani watakuwa wapi.
7. Kuhudhuria kongamano hilo masharti ni lazima ununue kitenge 20,000 na kukishona kwa Gharama zako mwenyewe na wote wana sare ya kitenge cha Rais.

8. Wanawake wengine wamekuja na Watoto wadogo ambao wananyonyesha.
9. Wabunge wa ccm wanakotokea Viongozi wa UWT wamegoma Hata kuwachangiachakula, makazi na Usafiri Kwa mantiki kwamba maza anajipongeza mwenyewe na amealika na Bawacha.
10. Zaidi ya Wanawake 110 waliotokea Tarime mkoa wa Mara nauli ni 70,000 kila mmoja kwenda Dar tu, Bado kulala 50,000 na chakula Bado kurudi na walidanganywa na CCM kuwa watalipiwa Kila kitu imekuwa kinyume chake.

11. Wanawake wamekuwa frastrated kwa sababu kuna walioondoka tar 18.3.2023 kuelekea Dodoma Kwa nauli zao, kuna walioelekea Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao the same day, Pia Leo tar 19.3.2023 kuna kundi lililokuja Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao na Kesho wanakwenda Dodoma kwa nauli zao kuonana na tulio tangulia Dodoma.

Wenyeviti wa UWT mikoa yote mungu anawaona. Mama Samia wamama wenzako wako Dar kukufuata kukupongeza ila wamelala uwanja wa Taifa na hawajala na hawajui Kesho watakuwa wapi na watasafi vipi kurudi makwao.

HABARI HIZI UNAZO?KAMA UNAZO OKA WAKINAMAMA HAWA KUEPUSHA LAANA YA WATU WASIO NA HATIA

Itakuwa alihitaji kuwalipa Simba kwanza. Wawe na subira hazina milango itafunguliwa kesho.
 
Wafwate kilichowapeleka kumpongeza rais sio kula wala kulala.

Waambie waache uvivu wakeshe wakiimba nyimbo za kumpongeza rais baada ya kongamano kila hao watakimbia mchaka mchaka kurudi kwao.
😂😂😂😂 nchi hii nyie!
 
Ivi Aya maswala ya kupongeza mbona yamekua mengi Sana Ina Maana watangulizi wa mama hakuna walichokifanya au ndo imekua Wimbo kila raisi alieko madarakani atakua anapongezwa tu!? Mbona sijawahi kuskia wakenya Wanaenda Nairobi kutoka Mikoani eti kumpongeza rais!!!
Huu ni ujinga mpya wa watanganyika.
 
Back
Top Bottom