RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Sawa ila Maandiko yanasema zaka itolewe hekaluni, kwa wenye uhitaji, ni sadaka.Zaka ntatoa kwa wenye uhitaji direct,kwingine HAPANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila Maandiko yanasema zaka itolewe hekaluni, kwa wenye uhitaji, ni sadaka.Zaka ntatoa kwa wenye uhitaji direct,kwingine HAPANA
Safi sana siwezi kupeleka pesa kwa mchungaji wakati wenye uhitaji wapo wengi.Zaka ntatoa kwa wenye uhitaji direct,kwingine HAPANA
Wanapigwa vibaya sanaaa...Kwenye hizi mambo ya imani kumejaa utapeli mtupu, mtu anachukua mkopo benki baba yake wa kiroho anamwambia toa fungu la kumi kwa ajili ya ulinzi wa huo mkopo🦍
Iseee hii sheria ni ya kiyunani au?Zaka ya asilimia 10 unatoa kote kwenye faida na kwenye utajiri lkn kwa kwenye utajiri unatoa baada ya muda fulani, wa miaka 3, au 5 itategemea na upandaji thaman ya mali zako.
NB: Kwa karne hii yaipaswi kutolewa kanisani, ipeleke kwa wahitaji😁
Wapo wale wengine pia ambao wanawabana wafanyakazi mpaka wanakondeana kwa mawazo,unakuta mshahara ni mil.2,umekopa unapata kigari chako na nyumba,makato kila mwezi unabakiwa na laki 3,anakwambia toa 10% ya basic salary yako,hapo ndio utakapoona kuwa kaumini kwako kumegeuka maumivu...Kwa kifupi 10% ni kwa kila ulichopata! Umepewa ng'ombe 100 unapaswa kutoa 10% kwa mara ya kwanza.
Baada ya hapo unaanza kutoa 10% ya Faida.
Sasa ukikutana na Wachungaji waliojaa tamaa ya hela,watakwambia ni 10% ya (Mtaji +Faida) kila mwezi! Ukifilisika wanakutimua Kanisani.
Wakitaka kukubana vizuri wanakupa Fomu ya kujaza! Unatakiwa kujaza vyanzo vyako vya mapato yote, kazi, biashara, zawadi, nk harafu wanakukadiria kiwango cha kutoa kila Mwezi.
Sasa kwa mfanya biashara wanakukadiria (Mtaji + Faida)! Sasa bila kujali kuwa biashara yako inaweza kukwama na usipate Faida, hilo hawaangalii.
Usipotoa unaitwa Mwizi, ukikwama zaidi wanakwambia umekufa kizaka!
Shughuli ukisema unajifufua, sikiliza mtiti wake!!
Zaka ni sadaka ya hekalu ila wapumbavu mnapeleka makanisani hata kule Israel zamani zaka ilipelekwa hekaluni tu siyo kwenye masinagogi na hekalu lilikuwa moja tu hata ujenge mengine hayawezi kuwa hekalu ....tumieni akili acheni upumbavu makanisaniHabari. Assume wewe ni mfugaji wa Kiebrania. Umepewa urithi wa ng'ombe 100 na baba yako. Ndani ya mwaka wakazaliwa ngombe 20. Ukawa na ng'ombe 120. Wakati wa kutoa zaka unefika.
Je utatoa ng'ombe wawili kama asilimia kumi ya ng'ombe ishirini walioongezeka au utatoa ng'ombe 12 kama asimilia kumi ya ng'ombe 120 ulionao? Vipi mwaka huo upate majanga na kubakiwa na ng'ombe 80. Utatoa zaka kiasi gani?
Kwenye hiyo sentensi ya mwisho yenye NB hawatakuelewa!😀😀Zaka ya asilimia 10 unatoa kote kwenye faida na kwenye utajiri lkn kwa kwenye utajiri unatoa baada ya muda fulani, wa miaka 3, au 5 itategemea na upandaji thaman ya mali zako.
NB: Kwa karne hii yaipaswi kutolewa kanisani, ipeleke kwa wahitaji😁
Yeah ipo kwenye vitabu vya kiyahidi piaIseee hii sheria ni ya kiyunani au?
Tofautisha msaada na fungu la 10%.Wanatoa inform of msaada na ni zaidi ya 10%.
Kwanini wachungaji na wasiajiriwe nao wakatoa fungu la 10?Kwa mfanyakazi wa mshahara, unatoa 10% ya mshahara wako maana yale ni malipo ya kazi uliyofanya, ila biashara, faida ya mtaji wako ndo unatoa 10%
Zaka iwe 10% au isiwe 10% bado ni wizi tu!!Nani aliyekuambia Zaka ni 10%?
Tuanzie hapo
Unatoka 20,faida ya kile kilichozaliwq/ongezeko!Habari. Assume wewe ni mfugaji wa Kiebrania. Umepewa urithi wa ng'ombe 100 na baba yako. Ndani ya mwaka wakazaliwa ngombe 20. Ukawa na ng'ombe 120. Wakati wa kutoa zaka unefika.
Je utatoa ng'ombe wawili kama asilimia kumi ya ng'ombe ishirini walioongezeka au utatoa ng'ombe 12 kama asimilia kumi ya ng'ombe 120 ulionao? Vipi mwaka huo upate majanga na kubakiwa na ng'ombe 80. Utatoa zaka kiasi gani?
Hata wachungaji pia wanatoa 10%Kwanini wachungaji na wasiajiriwe nao wakatoa fungu la 10?
je wao hawaruhisiwi kutoa fungu la 10 na kama wanatoa je wazipata wapi kama siyo kuchukua humohumo kwanwalizoleta waumini walio maskini wengi wao?
Malaki ndiyo nani bwana?Babu wa babu yako anamjua malaki?Mimi natoa kwenye faida mkuu..
MALAKI 3:8-10:-"Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? MMENIIBIA ZAKA NA DHABIHU. Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote. LETENI ZAKA KAMILIghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la."
Wachungaji pia wanapaswa kutoa fungu la kumi kutokana na mshahara wanaoupata. Tatizo you don't know the things of God.Kwanini wachungaji na wasiajiriwe nao wakatoa fungu la 10?
je wao hawaruhisiwi kutoa fungu la 10 na kama wanatoa je wazipata wapi kama siyo kuchukua humohumo kwanwalizoleta waumini walio maskini wengi wao?
Malaki alikuwa nabii wa Mungu wa miungu yote duniani.Malaki ndiyo nani bwana?Babu wa babu yako anamjua malaki?
Huko nyuma kabla ya dini za kuja fungu la 10 WAAFRIKA tulikuwa tunampa nani?
Achana na kukalilishwa hadithi ktk biblia jakuna kitu hicho