Zaka ya 10% unatoa kwenye faida au kwenye utajiri wako?

Zaka ya 10% unatoa kwenye faida au kwenye utajiri wako?

Mimi natoa kwenye faida mkuu..

MALAKI 3:8-10:-"Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? MMENIIBIA ZAKA NA DHABIHU. Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote. LETENI ZAKA KAMILIghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la."
Kuna ambao hawajui kabisa hili neno
Kuna ambao watakupinga tu😅.
Kuna ambao Watakwambia ni agano la kale
 
Kuna mahali nilienda unaweza ukalia
Mchungaji analipwa laki 2, 120.....yaani duh ,ana familia nk
Watu Huwa tukisema wachungaji wanawaangalia kina mwamposa,kumbe hao ni 1 ktk 100
Ila tunaongelea walio wengi kwenye mifumo hizo Hela wala ni ndogo sn
 
Back
Top Bottom