[emoji23] nimecheka apo ulinzi wa mkopo..dah!Kwenye hizi mambo ya imani kumejaa utapeli mtupu, mtu anachukua mkopo benki baba yake wa kiroho anamwambia toa fungu la kumi kwa ajili ya ulinzi wa huo mkopo[emoji1664]
Kwahyo umeelewa hilo fungu Zaka ni kwa ajili ya wahitaji na sio mchungaji!Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Nawe utakula mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ng’ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha BWANA, Mungu wako, daima. Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua BWANA, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia BWANA, Mungu wako; ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata
Kanisa gani hilo iko hivi?Kwa kifupi 10% ni kwa kila ulichopata! Umepewa ng'ombe 100 unapaswa kutoa 10% kwa mara ya kwanza.
Baada ya hapo unaanza kutoa 10% ya Faida.
Sasa ukikutana na Wachungaji waliojaa tamaa ya hela,watakwambia ni 10% ya (Mtaji +Faida) kila mwezi! Ukifilisika wanakutimua Kanisani.
Wakitaka kukubana vizuri wanakupa Fomu ya kujaza! Unatakiwa kujaza vyanzo vyako vya mapato yote, kazi, biashara, zawadi, nk harafu wanakukadiria kiwango cha kutoa kila Mwezi.
Sasa kwa mfanya biashara wanakukadiria (Mtaji + Faida)! Sasa bila kujali kuwa biashara yako inaweza kukwama na usipate Faida, hilo hawaangalii.
Usipotoa unaitwa Mwizi, ukikwama zaidi wanakwambia umekufa kizaka!
Shughuli ukisema unajifufua, sikiliza mtiti wake!!
Kanisani.Unapeleka wapi?
Hapana,baada ya makato yote ya kiserikali yaliyoko kisheria, ndo unatoa 10% iliobaki, unainenea mbele za Mungu kama vile kuomba ulinzi wa kazi yako, kazi yako kuonekana, kupendwa na wafanyakazi wako na pia kupandishwa daraja au cheo.Kwenye Huo Mshahara sipaswi kutoa kwanza Matumizi, Sadaka, majitoleo Kwa wagonjwa na wasiojiweza kisha ndo nitoe 10p Kwa Salio lililobaki "saving'?
Sheria za kanisa au ww ni kobaziNani aliyekuambia Zaka ni 10%?
Tuanzie hapo
Kwa maagixo ya nani? Na una uthibitisho wowote unachosema?Kanisani.
Mimi naijua injili ya kweli ndiyo maana.... siyo hii ya mungu mwenye nafsi 3 wala Yesu wa dhambi ya asili ....siku nikiamua kuleta uzi wa dini waislamu na wakristo watapoteana .. siku za nyuma kuna jqmaa alileta uzi wa 666 ...ule uzi nilitoa fafanuzi hadi mwenye uzi aliukimbia watu wakawa wanangoja awaletee maelezo ya 666 jamaa alishindwa kutokana na fafanuzi niliyo toa nilieleza 666 ni nini ...wapumbavu wa makanisani wanadanganyani mambo mengiKuna Muda unaongea point sana..
Kama hapa umenifurahisha kusema ukweli!
Safi sana hapa sasa tunaenda sawa ndugu LwivaMimi naijua injili ya kweli ndiyo maana siyo hii ya mungu mwenye nafsi 3 wala Yesu wa zambi ya asili ....siku nikiamua kuleta uzi wa dini waislamu na qakristo watapoteana .. siku za nyuma kuna jqmaa alileta uzi wa 666 ...ule uzi nilitoa fafanuzi hadi mwenye uzi aliukimbia watu wakawa wanangoja awaletee maelezo ya 666 jamaa alishindwa kutokana na fafanuzi niliyo toa nilieleza 666 ni nini ...wapumbavu wa makanisani wanadanganyani mambo mengi
Mkuu kwa heshima ya Kanisa hilo naomba nisilitaje! Lakini naamini humu huenda wapo waumini wa Kanisa hilo.Kanisa gani hilo iko hivi?
ni endapo tu Mshahara wako una ziada baada ya kuondoa Mahitaji yako yote...Mkuu na vipi nfanyakazi wa mshahara. Tutacalculate vipi faida yake?
Asante Kwa hili Andiko nililisoma kitambo nikawa sikumbuki wapi nilisoma. Hayo ndiyo Matumizi halisi ya ZakaKumbukumbu 14:22-29
Tofauti ya hekalu na kanisa ni nini ?Zaka ni sadaka ya hekalu ila wapumbavu mnapeleka makanisani hata kule Israel zamani zaka ilipelekwa hekaluni tu siyo kwenye masinagogi na hekalu lilikuwa moja tu hata ujenge mengine hayawezi kuwa hekalu ....tumieni akili acheni upumbavu makanisani
Nipe andiko la BibliaSheria za kanisa au ww ni kobazi
Hekalu ni moja tu ...kama ujui kwanini jiulize kwanini daudi alikataliwa kujenga hekalu ...kanisa na sinagogi anajenga mtu yoyote ila hekalu lilikuwa ni moja milele daima kasome upya maandiko utajua kuwa hekalu siyo sawa na sinagogi .....fungu la kumi lilikuwa ni kwa ajili ya hekalu.Tofauti ya hekalu na kanisa ni nini ?
Hekalu ni Jengo na Kanisa ni mwili wa KristoTofauti ya hekalu na kanisa ni nini ?