Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Break even ni faida au hasara Mkuu.. hii terminology ya kiuchumi huwa naikorogaMfano Nina milioni moja na nimefanya biashara na nimebreak even hakuna faida ,hapo hakuna point ya kutoa zaka ,vinginevyo utafilisika
Umekosea1,000,000+70,000=(Mapato yote)
1/10 ya mapato = Mapato yote/10.
Nionesheeni mahali palipoandikwa 10% inatokana na faida niache kuchangia.
Onesha panapogusia kutoa kwenye faida Kwa kutumika vitabu vitukufu vyovyote..nipo hapaUmekosea
Sasa mkuu ni hivi,Biblia kwenye zaka imetamka na ipo mifano kadhaa imeelekeza kutumika kichwa au kutokukariri labda ni kupindisha maelekezo.
Kumbukumbu 14:22Onesha panapogusia kutoa kwenye faida Kwa kutumika vitabu vitukufu vyovyote..nipo hapa
Iseee hii sheria ni ya kiyunani au?
Chochote unachojaliwa sehemu Moja kati ya kumi si mali yako hata ukijaliwa saa 24 Kwa siku elewa saa 2 na dakika _ siyo yakoKuna mbegu inapandwa ukishavuna ndio zaka itolewe,lazima Kuna process ya uzalishaji,mfano mtu akikupa mtaji 1000000,hutakiwi kuitolea zaka ila unaweza kuitolea sadaka ya shukrani,
Ukikopa million kumi unaweza kuitolea shukrani lakini siyo zaka,zaka utatoa baada ya kuzalisha hyo Hela na kupata faida,
Ulipata urithi wako milioni 150 unaweza kutoa shukrani million 20 lakini siyo zaka,hakuna double payment,
Wengine akikopea benk m 10 anatoa zaka lakini Kila mwezi mshahara ulikuwa unatolewa zaka
Angalia context ya andiko vizuri utaona inasisitiza kutoacha kutoa 1/10 siyo kuelekezaKumbukumbu 14:22
Hakuna Kitu kinaitwa zKa kwa sasa hiviHabari. Assume wewe ni mfugaji wa Kiebrania. Umepewa urithi wa ng'ombe 100 na baba yako. Ndani ya mwaka wakazaliwa ngombe 20. Ukawa na ng'ombe 120. Wakati wa kutoa zaka unefika.
Je utatoa ng'ombe wawili kama asilimia kumi ya ng'ombe ishirini walioongezeka au utatoa ng'ombe 12 kama asimilia kumi ya ng'ombe 120 ulionao? Vipi mwaka huo upate majanga na kubakiwa na ng'ombe 80. Utatoa zaka kiasi gani?
Maaandiko yapi hayo ningepnda na mimi nifahamuSawa ila Maandiko yanasema zaka itolewe hekaluni, kwa wenye uhitaji, ni sadaka.
Safi sana ⚘️⚘️⚘️🌺🌺🌺🌺Zaka ya asilimia 10 unatoa kote kwenye faida na kwenye utajiri lkn kwa kwenye utajiri unatoa baada ya muda fulani, wa miaka 3, au 5 itategemea na upandaji thaman ya mali zako.
Niongezee kwenye zaka ya mali itakuwa unapigia hesabu kile kilichoongezeka mfano thaman ya mali zako now ni 1000 sp utatoa 100 utatoa zaka then baada ya miaka 5 inakuwa na thaman ya 1500 kinaongezeka 500 unatoa zaka kilichoongezela 50 hvyo hvyo
NB: Kwa karne hii yaipaswi kutolewa kanisani, ipeleke kwa wahitaji😁
Kwenye Huo Mshahara sipaswi kutoa kwanza Matumizi, Sadaka, majitoleo Kwa wagonjwa na wasiojiweza kisha ndo nitoe 10p Kwa Salio lililobaki "saving'?Kwa mfanyakazi wa mshahara, unatoa 10% ya mshahara wako maana yale ni malipo ya kazi uliyofanya, ila biashara, faida ya mtaji wako ndo unatoa 10%
Unapeleka wapi?Kwa mfanyakazi wa mshahara, unatoa 10% ya mshahara wako maana yale ni malipo ya kazi uliyofanya, ila biashara, faida ya mtaji wako ndo unatoa 10%
Kuna Muda unaongea point sana..Zaka ni sadaka ya hekalu ila wapumbavu mnapeleka makanisani hata kule Israel zamani zaka ilipelekwa hekaluni tu siyo kwenye masinagogi na hekalu lilikuwa moja tu hata ujenge mengine hayawezi kuwa hekalu ....tumieni akili acheni upumbavu makanisani