Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Zaka haitakiwa itolewe kipindi hiki ambacho serikali zimechukiq majukumu ya kuhudumia wananchi. Ulishalipa kodi serikali ni inatosha zaidi ya hapo ni kutoa sadaka tu kwa wahitaji na ukienda kwenye ibadan.Zaka ni kodi na inatolewa kutoka kwenye pato lako ghafi, bahati mbaya watu siku hizi wanakatwa makato mengi sana kwenye mapato yao, hakuna zaka tena, labda kama unataka kujifurahisha na kuwafurahisha watu. Umeshatoa kodi ya mapato kwenda kughalimia huduma ambazo zilikuwa zinaghalimiwa na zaka enzi hizooo wakati dini zinaundwa.
Uwa kuna mafundisho kwamba zaka inatakiwa itolewe kwa usahihi yaani bila kuongeza au kupunguza, hivyo ibaki moja ya kumi ya faida. Sasa bila kutoa PAYE, NSSF na gharama nyingine zilizopelekea kupata huo mshahara kama usafiri wa kwenda kazini, chakula n.k. hicho kiasi sahihi cha kupunguzwa moja ya kumi yake kama zaka utakipataje?Ile net inayoingia kwenye account baada ya makato Mimi hua nafanya ivo
Yaani sijaelewa [emoji854]Uwa kuna mafundisho kwanza zaka inatakiwa itoleww kwa usahihi yaani bila kuongeza au kupunguza hivyo ibaki moja ya kumi ya faida. Sasa bila kutoa PAYE, NSSF na gharama nyingine zilizopelekea kupata huo mshahara kama usafiri, chakula n.k. hicho kiasi sahihi cha kupunguzwa moja ya kumi yake kama zaka utakipataje?
Nafikiri Unaitaji kujua tofauti ya baadhi ya vitu unavyovitaja...Ndugu Proved usibishane na watu wasioamini uwepo wa Roho MTAKATIFU,
Aliye na Roho mtakatifu anajulishwa yote,
Sadaka na ZAKA haijawahi kukatazwa, zaidi sana sadaka na ZAKA imeongezeka Kutoka 10 % Hadi 100% wakati mwingine, itategemea Roho mtakatifu amekusemeshaje Kwa habari ya Kutoa.
Tumeona zakayo aliposamehewa dhambi na YESU, ametoa nusu ya Mali zake zote na alikuwa tajiri, mfano mtu mwenye utajiri wa BL 100 atoe 50%zaka, huoni hiyo ni kubwa sana zaidi ya ZAKA ya kawaida?
Mama mjane akatoa senti chache alizokuanazo ambapo alotoa Kila kitu alochokuwa nacho 100%.
Hanania na Saphira, waliuza shamba na wakaadhimia kwenda Kutoa pesa yote ya kuuza shamba miguuni pa mitume Kwa ajili ya INJILI.
In short, ukiongozwa na Roho mtakatifu, huwezi kuuliza mara mbili kuhusu Kutoa Kwa ajili ya INJILI.
Yeyote anayekwambia Usitoe ZAKA na sadaka kwamba ni AGANO jipya ni Roho ya mpinga kristo inawaongoza hao.
INJILI itahubiriwa vipi watu tusipotoa sadaka na ZAKA? Watumishi watakula nini nk nk!!
Mungu akubariki.
Kajifunze tofauti ya hekalu na sinagogi ....kanisa ni kama sinagogi tu hekalu ni moja tu...kasome hata maandiko...pazia la hekalu likapapuka katikati kwanini siyo la sinagogi.Hujajibu swali....
Nimeuliza tofauti ya hekalu na kanisa ni nini ?
Hiyo haipo bwana! Ukienda kichwa kichwa tunafunga biashara. Tena mimi nimeenda mbali zaidi kama nina rejesho natoa kabisa hilo rejesho kwenye faida inayobaki ndiyo nakokotoa 10% yake!1,000,000+70,000=(Mapato yote)
1/10 ya mapato = Mapato yote/10.
Nionesheeni mahali palipoandikwa 10% inatokana na faida niache kuchangia.
Okay....hekalu ni zaidi ya Sinagogi ila ni kwa desturi za Kiyahudi tu.Kajifunze tofauti ya hekalu na sinagogi ....kanisa ni kama sinagogi tu hekalu ni moja tu...kasome hata maandiko...pazia la hekalu likapapuka katikati kwanini siyo la sinagogi.
AGANO jipya hakuna katazo la Kutoa sadaka na ZAKA.Nafikiri Unaitaji kujua tofauti ya baadhi ya vitu unavyovitaja...
Kuna Matoleo,malimbuko, Zaka ,sadaka na Nadhiri...
Wengi sana vinakuchanganyeni mnatakiwa kujifunza kuhusu hivyo vitu..
Zakayo aliuza nusu ya mali zake (Hii ilikuwa sadaka)
Mama mjano (alitoa sadaka)
Anania na safira na barnaba walitoa malimbuko ya mali zao na kufanya thamani ile kuendeleza injili.. japo anania alificha sehemu ya mali ile ...
Kipindi nikiwa mchungaji hatukuwa na mindset hii...naona wengi wa siku hizi ni wachungaji wa mishahara...
Yohana 10:12-13
"Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya.
Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake."
wachungaji siku hizi wako radhi kuon muumuni anaumia kwa sababu ya wao kuwadai zaka zao watu wanafatwa mpaka makazini watu wanashida ila bado wanalazimishwa si kati ya mafundisho ya yesu
Faida...Mfanyabiashara mwenye mapato ya 1,000,000/- kwa siku, ila profit ni 70,000/-,. Zaka atatoa kwenye faida au mapato ?
NDyo zaka lazma ilipwe na inalipwa kwa wanaohotaji tu na watu wasiokuwa na uwezo nndo watakaopatiwaAGANO jipya hakuna katazo la Kutoa sadaka na ZAKA.
Ndomana hata usipotoa, hudaiwi.
AGANO jipya tunaongozwa na Roho mtakatifu.
Kulipa ZAKA ni Kwa faida ya mtoaji na Si mpokeaji.
Apendaye sana hutoa sana, asiyependa ni bahiri.
Ukimpenda Mungu, lazima ulipe ZAKA zaidi hata ya 10% na utatoka sadaka na matoleo mengine, sawasawa na maelekezo ya Roho mtakatifu.
Amen
Ndyo kuna ubaya kwa sababu huduma za hekalu hazipo tena sasa unampa nani?Okay....hekalu ni zaidi ya Sinagogi ila ni kwa desturi za Kiyahudi tu.
Sasa tuje kwa wakristo je kupeleka zaka kanisani kuna ubaya ?
Dah huwa tunapishana sana ila niseme tu leo uko sahihi kwa 100%Kajifunze tofauti ya hekalu na sinagogi ....kanisa ni kama sinagogi tu hekalu ni moja tu...kasome hata maandiko...pazia la hekalu likapapuka katikati kwanini siyo la sinagogi.
Hakuna hekalu tena .....baada ya injili ndiyo maana ya pazia la hekalu kupasuka vipande viwiliIn maana mpaka karne hii hekalu ni moja tu ?
Kwani ibada za hekaluni na kwenye sinagogi zina tofauti gani ?
Sinagogi hata chumba chako unaweza kukifanya sinagogo ila hekalu hata daudi na kuongea kwake na mungu na kukubalika na mungu akuweza kupata ruhusa kulijenga ...je sinagogi na kanisa si mtu yoyote anajenga atakavyo ...tumia akili acha upumbavu wa ubishi husio na faida .In maana mpaka karne hii hekalu ni moja tu ?
Kwani ibada za hekaluni na kwenye sinagogi zina tofauti gani ?
Kama fungu la kumi alikupelekwa kwenye masinagogi imekuwaje upeleke kanisani wewe ni kichaa haswaKanisa ni mwili wa Kristo maana yake ni sawa na kusema Kanisa ndiye Kristo.
Kama Kichwa kinavyokuwa na mwili ili mtu akamilike.
Hivyo Kristo ni Kichwa na kanisa ni mwili ili Kristo akamilike.
Ndio maana mtu anapookoka na kumpokea Kristo, Kristo ndiye anayeishi ndani yake kupitia roho wake.
Hata sehemu/jengo tunalokutanika kufanya ibada kwenye ulimwengu wa mwili ni Kanisa pia, hivyo fungu la kumi ni sahihi kabisa kupeleka kanisani.
Rejea kanisa la mwanzo, wale waliouza mali zao walipeleka fedha zao Kanisani.
Matendo ya mitume 4:34-35
Faida ni kile Mungu alichokuwezesha kukipata baada ya wewe kuwekeza mtaji, hicho ndicho unachopaswa kukitolea zaka ya asilimia 10 au zaidi ukiamua hivyo.Wapi pameandikwa kwenye faida?
Kama ni mtumishi serikali imkate PAYE, makato ya mifuko ya kijamii (NSSF n.k.), makato ya mikopo, makato ya uanachama wa vyama vya wafanyakazi, bima ya afya kisha mtumishi huyo huyo atoe matoleo, malimbuko, zaka, sadaka, nadhiri n.k. mbona atakuwa na maisha magumu sana huyo mtumishi wajameni?Nafikiri Unaitaji kujua tofauti ya baadhi ya vitu unavyovitaja...
Kuna Matoleo,malimbuko, Zaka ,sadaka na Nadhiri...
Wengi sana vinakuchanganyeni mnatakiwa kujifunza kuhusu hivyo vitu..
Zakayo aliuza nusu ya mali zake (Hii ilikuwa sadaka)
Mama mjano (alitoa sadaka)
Anania na safira na barnaba walitoa malimbuko ya mali zao na kufanya thamani ile kuendeleza injili.. japo anania alificha sehemu ya mali ile ...
Kipindi nikiwa mchungaji hatukuwa na mindset hii...naona wengi wa siku hizi ni wachungaji wa mishahara...
Yohana 10:12-13
"Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya.
Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake."
wachungaji siku hizi wako radhi kuon muumuni anaumia kwa sababu ya wao kuwadai zaka zao watu wanafatwa mpaka makazini watu wanashida ila bado wanalazimishwa si kati ya mafundisho ya yesu
Acha kunitukana, jadili kistaarabu.Sinagogi hata chumba chako unaweza kukifanya sinagogo ila hekalu hata daudi na kuongea kwake na mungu na kukubalika na mungu akuweza kupata ruhusa kulijenga ...je sinagogi na kanisa si mtu yoyote anajenga atakavyo ...tumia akili acha upumbavu wa ubishi husio na faida .
Sisi wakristo tuna Kanisa sio Sinagogi hivyo kupeleka zaka kanisani ni sahihi kabisa.Kama fungu la kumi alikupelekwa kwenye masinagogi imekuwaje upeleke kanisani wewe ni kichaa haswa