Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

Mimi nimemsikia huyo zaka,nataka kumwambia yeye ahesabu atakavyo haitusumbui,al mradi sisi ni mabingwa mara 30,amesema pia kuwa eti huo ushindi wetu ni sawa na kufaulu mtihani wa mocco,namjibu mtihani wa mocco huwa hauna cheti,lakini ushindi tulioupata sisi una makombe 30,yapo makao makuu ya yanga,hatuhedabu ubingwa kwa kuandikwa kwenye tovuti ya fifa au caf,tunahesabu ubingwa pale tunaponyanyua kwapa na kubeba kombe
 
Inaonekana mwaka 1993 Simba anapofika fainali ya CAF, kulikuwa na mashindano mengine ya Abiora.

Ulikuwa ni mwaka ambao una mashindano mengi sana

Asante kwa kunijuza ndio naskia kwako.
Bingwa wa kombe la washindi mwaka alikuwa
Ebu pitia hiyo link hapo chini.

 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…