Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
- Thread starter
- #301
Mtu anafikia hatua ya kuandika hivyo halafu anataka kusema sio shabiki wa YangaUnawekeza hisia sana kwa hizi timu na hawa wachezaji kiasi kwamba hata ukisikia utani tu unaumizwa. Usichukulie mambo serious sana dogo.
bullar unapata nini kuongea uongo?
Wewe na mwenzako Bila bila mmefanya ionekane kuwa shabiki wa Yanga ni kama ushamba au kitu fulani hivi ambacho sio cha kujivunia au kutangaza mbele za watu.
Just be free ndio timu yako sasa utafanyaje