Zamani nilikuwa namshangaa mtu aliyefanikiwa kimaisha na hasaidii ndugu zake, Leo mimi natamani hata kuwapiga Risasi

Uko njeMa kweli upstairs!??Unatushirikisha hapa ili iweje!?
umeongea na nani humu mkakubaliana hampaswi kushirikishwa? jiongelee wewe na kama haikuhusu potezea usiwasemee wengine. kila mmoja humu huweka changamoto zake kama sehemu ya kushea na wengine.
 
Duh pole Sana...mie ndugu wamenipaga SoMo Sana..akiona mambo sio haba anaanza chokochoko za ajabu ajabu tu yaan unahis Kama katoroka milembe vile .eish...badala ya kukufata umpe abc anaanza kukuwekea mtima nyongo dah
Mambo mrembo, ni rahisi Sana kushirikiana na rafiki kiuchumi kuliko ndugu,ndugu ni vichomi
 
Watu wanajidanganya sana..
Mkuu wasamehe mimi jamaangu alianza kukaa peke yake akiwa darasa la tatu advance aliacha kwenda shule ada ilisumbua akaenda mwaka unaofata baada ya kujichanganya soko la mtumba hapo mwanjelwa akaja akafanya vizuri paper ya advance akaenda chuo na akapata kazi nzuri na anafanya biashara zake wale waliomtenga walikua hoi kawasaidia na maisha yanaenda kuweka vinyongo kisa pesa sio na kwa kuwa alikosa ada yeyote mwenye matatizo ya ada anamsomesha hata Kama sio ndugu yake ni kwa vile ana pesa sio za mawazo na roho ya ubinadamu anayo...
 
Ndugu wa kitanzania hata umsaidie wengi huwa hawafanyi la maana sijui kwa nini wanatumia vibaya pesa wakitegemea Na kesho watakutafuta tena
 
Uko sahihi, hii dunia imebadilika kila mmoja anavutia kwake.
 
umeongea na nani humu mkakubaliana hampaswi kushirikishwa? jiongelee wewe na kama haikuhusu potezea usiwasemee wengine. kila mmoja humu huweka changamoto zake kama sehemu ya kushea na wengine.
Wewe ni ndugu yake!!? Au mnapenda zogo tu.

Haya kasaidika nini sasa!?
 
Mambo ya ndugu ni magumu. Lakini kama unacho na upo katika nafasi ya kusaidia. Saidia tu bila kuhesabu au kukumbuka. Fanya pale inapoweza, usijitenge sana sio vizuri lakini pia usiyabebe sana napo sio vizuri.
Ndugu yangu wewe acha tu
 
Ukiendekeza ndugu, utakufa kibudu na hata Mungu hutomuabudu, Utamkana WA Baridi na hata WA moto mwisho utabakiwa na WA uvuguvugu (Ndugu Masnitch Aka Wanafiki)
 
Kuna ndugu yako mwingine nae sasahv anawaambia watu ubaya wa ndugu zake na amekuunganisha na wewe.
 
kaa nao mbali ila usiache kuwasaidia panapo ulazima mfano suala la elimu,afya,na uhitaji wowote muhimu,pia usaidiapo usiwekeze kwenye kutegemea kuja kulipwa,fanya kama mabeberu wao jukumu lao ni kusaidia haijalioshi wananangwa vipi kwa walamba misaada kina jiwes and company
 
Unamaanisha watoto watapewa mahali pa kulala na chakula cha kuongeza siku ama?!!,... Unawajua ndugu vizuri wewe? Kufa kama kwa Mungu Kuna screen utakua unajionea
ukiishi kwa kutegemea upewe positive na watu au ndugu ili ukamilike utaishi maisha magumu sana,ishi huru maneno yao yasikuumize tumia principle ya kuishi na mtoto mdogo na uiapply kwenye maisha yako
 
Kabisa!
ukiishi kwa kutegemea upewe positive na watu au ndugu ili ukamilike utaishi maisha magumu sana,ishi huru maneno yao yasikuumize tumia principle ya kuishi na mtoto mdogo na uiapply kwenye maisha yako
Kabisa! Nmemshangaa aliesema ndugu watatunza watoto wake akifa
 
Ngoja ndugu zako waje kususia maiti yako ukajizike na pesa zako ndipo utajua umuhimu wa ndugu!

Nikifanyia mtu jambo namfanyia kwa ajili yangu na Muumba wangu ila sio kwa kutegemea wa kunizika. Mie nikifa hata mwili wautupe baharini au wauchome moto potelea mbali.

Lakini sitafanya jambo kwa kutegemea fadhila za watu wa kunizika, hiyo hapana. Ntahifadhiwa tu kwa namna yeyote ile. Usicheze na mzoga wa binadamu, hawataweza kuvumilia uvundo wake. Ntazikwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…