Zamani nilikuwa namshangaa mtu aliyefanikiwa kimaisha na hasaidii ndugu zake, Leo mimi natamani hata kuwapiga Risasi

Zamani nilikuwa namshangaa mtu aliyefanikiwa kimaisha na hasaidii ndugu zake, Leo mimi natamani hata kuwapiga Risasi

Lakini ukifa watakuzika tu utake usitake na watoto wako watatunzwa na wao.

Hongera wewe ambae umelelewa na hao ndugu, ukijua uwepo wa yatima wasiosaidiwa na ndugu subiri yajayo kwa wanao pigana sana usiache taabu ukifa, fight fight. Ndugu baadhi ni Mbwa wa kuuliwa mbali
 
Ndugu miyeyusho sana..mi wazazi wamefariki nipo std 4, hakuna hata ndugu aliyejishughulisha na mimi, nilivyosoma na kukua Mungu mwenyewe anajua..
Leo maisha yana afadhali ndo wanaanza kuibuka, mi huwa nawachora tu..
 
Mda mwingine kutumia hekima kwenye changamoto hizi za kifamilia ni kujimaliza mwenyewe, Unaonesha upendo kwa watu ambao wao hawana upendo na wewe. Wanakuchekea kinafiki ukiwapa msaada, wakitoka wanapanga mipango ya kukudhuru na kukuombea uharibikiwe.

Binadamu wana Roho mbaya sana, hata Yesu hakuwa na kosa lakini walimsulubu msalabani japo aliwapa chakula wakiwa hoi na njaa walivokula na kushiba wakaanza kumtesa. Wanaonesha kukupenda lakini mioyo yao imejawa chuki. Naandika haya nikiwa na Jazba siku kadhaa zilizopita ningekuwa niko karibu na viumbe hawa waliofanya niandike hapa basi leo maiti kadhaa zingekuwa mochwari au zishazikwa na mimi ningekuwa nyuma ya nondo.

Ndugu zangu kwa sasa ni ndugu wa damu tu wadogo zangu na mama zangu. Hawa wanaojiita ndugu za baba huu ushenzi wanaoniletea kwenye familia yangu na mimi binafsi pamoja na kujishusha sana kwao Imefika mahali imetosha, naona ni kama nakumbatia kundi la wachawi huku nikijifanya nawapenda. Huku wao wakiwa na mipango yao binafsi

Nimesaidia sana kifedha na kila aina ya msaada lakini hawa watu nia yao sio njema Lakini majibu niliyowapa nadhani washanifahamu kwamba mimi sasa ni mtu wa namna gani, siwezi kukumbatia nyoka tena.

Nilipofikia ukinipiga kofi, nakurushia bomu huu upuuzi wa kumuachia mungu aamue sina tena.Tutajibu dhambi zetu tukiwa kwenye kiti cha enzi
Mkuu Zegote pole sana na yaliyokukuta na kupelekea kukupa maumivu moyoni. Ila jambo moja ni sana muhimu kwako kulizingatia, pale jaribu kama hilo linapokujili, inakupasa kuwa na subira kubwa. Jaribu kwa kila njia kuwakwepa watesi wako, lkn fanya hivyo ukiwa kwanza umeshawafikishia ujumbe juu ya maovu yao.
 
Nanukuu..."mpaka sasa kwa umri huo hana hata nyumba, hana maendeleo yoyote yupo yupo tuu anazurura mjini"

Wakasahau kwamba Mwamba kila akikusanya akiba inaishia kusomesha na kuwatibia hao hao ndugu wanaosema hafanyi maenedeleo...
Asipo wasaidia wanamuita moaka kwenye vikao vya ukoo, akiwasaidia wanamcheka kisa hafanyi maendeleo...

Ndugu tuna maudhi mengi sana..
Kwani usipoenda kwenye vikao vyao utachubuka?????

Ndugu hawanaga shukrani

Wengine wanahisi ni haki yao ya msingi kusaidiwa.....
 
Mda mwingine kutumia hekima kwenye changamoto hizi za kifamilia ni kujimaliza mwenyewe, Unaonesha upendo kwa watu ambao wao hawana upendo na wewe. Wanakuchekea kinafiki ukiwapa msaada, wakitoka wanapanga mipango ya kukudhuru na kukuombea uharibikiwe.

Binadamu wana Roho mbaya sana, hata Yesu hakuwa na kosa lakini walimsulubu msalabani japo aliwapa chakula wakiwa hoi na njaa walivokula na kushiba wakaanza kumtesa. Wanaonesha kukupenda lakini mioyo yao imejawa chuki. Naandika haya nikiwa na Jazba siku kadhaa zilizopita ningekuwa niko karibu na viumbe hawa waliofanya niandike hapa basi leo maiti kadhaa zingekuwa mochwari au zishazikwa na mimi ningekuwa nyuma ya nondo.

Ndugu zangu kwa sasa ni ndugu wa damu tu wadogo zangu na mama zangu. Hawa wanaojiita ndugu za baba huu ushenzi wanaoniletea kwenye familia yangu na mimi binafsi pamoja na kujishusha sana kwao Imefika mahali imetosha, naona ni kama nakumbatia kundi la wachawi huku nikijifanya nawapenda. Huku wao wakiwa na mipango yao binafsi

Nimesaidia sana kifedha na kila aina ya msaada lakini hawa watu nia yao sio njema Lakini majibu niliyowapa nadhani washanifahamu kwamba mimi sasa ni mtu wa namna gani, siwezi kukumbatia nyoka tena.

Nilipofikia ukinipiga kofi, nakurushia bomu huu upuuzi wa kumuachia mungu aamue sina tena.Tutajibu dhambi zetu tukiwa kwenye kiti cha enzi
Nilidhani una point ulipoanza kubagua ndugu ni wa upande wa MAMA tu na shida ndugu upande wa BABA nimeona huna point ila umeathirika na MFUMO JIKE!
 
Ndugu miyeyusho sana..mi wazazi wamefariki nipo std 4, hakuna hata ndugu aliyejishughulisha na mimi, nilivyosoma na kukua Mungu mwenyewe anajua..
Leo maisha yana afadhali ndo wanaanza kuibuka, mi huwa nawachora tu..
Duh pole Sana...mie ndugu wamenipaga SoMo Sana..akiona mambo sio haba anaanza chokochoko za ajabu ajabu tu yaan unahis Kama katoroka milembe vile .eish...badala ya kukufata umpe abc anaanza kukuwekea mtima nyongo dah
 
Ndugu miyeyusho sana..mi wazazi wamefariki nipo std 4, hakuna hata ndugu aliyejishughulisha na mimi, nilivyosoma na kukua Mungu mwenyewe anajua..
Leo maisha yana afadhali ndo wanaanza kuibuka, mi huwa nawachora tu..
Ndo zao hizo
 
Kwa kuwajua aina ya ndugu wanaonizunguka nilitengeneza namna ya wao kubaki mbali nami na mimi kuwa mbali nao na imenisaidia sana,siwalaumu na wao hawanilaumu japo hawaishi vitimbi vya fitna
Na namshukuru mola kwa kunipa kizazi kwani nawafundisha na kuwaaminisha watoto kuwa kwa idadi yao wanaweza kutengeneza na kuendesha clan lao bila kuomba kuwajua ndugu wengine
Nimebakisha watoto na mke kwa mbaali kuwa ndo watu wangu wa karibu
 
Back
Top Bottom